Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,324
Hivi kwanini usichukue nafasi hii adimu kwenda Kuwa hoji hao unaosema ili wao nao waje na upande wao wa hadithi alafu utekee hapa tuone kipi kweli na kipi uongo?kukazania kwamba MS ni mzushi hauta eleweka kwani kunabaadhi yetu hapa tunajua ya MS kabla hata yeye hajayaleta.
Kwakua wewe unao watu ambao unadai maelezo yao hata kua "hearsay" nenda upate maelezo yao kwani "angles" tayari MS ameshakupa.baadae kwa kutumia ujuzi wako na ile "radio" sijui podcast yako utatuwekea hata sauti achilia mbali maelezo
Mwanakijiji.
Huo ndio hata mimi ushauri wangu kwako. Kumbuka hapa nia ni kuandika kile kilichojificha na kufichwa iwe kwa kusahaulika au kwa makusudi maalum katika historia ya Tanganyika.