FF,kaptura kaja nayo dar akitokea scotland kwa akina david livingstone ambaye aliwakuta watupu akawaonyesha ustaarab wa kuvaa nguo[/QUOT
Mungu wangu....huu ni msiba
Kaka SOA,ustaarabu wa kiisilam ulikuwapo kabla ya kuja kwa wamissionari katika pwani yetu....huwezi kuswali kama hujawa nadhifu kwa mwanaume nguo safi selawili chini ya magoti ,(sio kaptura),Livingstone kaja baadae saaana.
Sanda Matuta, ukiona hivyo wanatafuta pakutokea. Hujawajua tu bado?
mwarabu na selawili wapi na wapi? mwaarabu ustaarabu wake kanzu, hao wavaa suruali waliiona kwa mkoloni wale ma masters ndio walio kuwa wanavaa selawili hususana kwenye tafrija, wakiwa kazini ni mwendo wa kaptura, sasa wale walio jiona wazungu weusi ndio haiba yao ikawa kuvaa sarawili mida yote kuonyesha kwamba wanafana au wapo karibu na mthungu
Hiyo ndio nini? kama unamaanisha suruali basi hata hilo ni neno la kiarabu, soma historia itakujulisha suruali zimeanzishwa na nani. Just kukujuza tu, ni vazi la kike lililoanzia Mashariki ya kati. Utajaza mwenyewe.
hata wahindi akina mama wakivaa mavazi yao huva suruali kwa ndani, kwa hiyo usituaminishe kwamba ni vazi la waarabuHiyo ndio nini? kama unamaanisha suruali basi hata hilo ni neno la kiarabu, soma historia itakujulisha suruali zimeanzishwa na nani. Just kukujuza tu, ni vazi la kike lililoanzia Mashariki ya kati. Utajaza mwenyewe.
Hivi kwa nini baadhi ya waislamu wanataka special treatment katika nchi masikini kama ya kwetu? You guys wake up! Tufanye kazi tulijenge taifa na kila mmoja wetu atafaidika tuache hizi siasa mfilisi. Wote tuna shida na tunaumizwa na serikali hii hii ya wakristo na waislamu (Lowasa, Pinda na Kikwete!) Hivi kweli inawezekana mtu mwenye akili zake safi akasema kwamba taifa hili watu wanabaguliwa kwa ajili ya dini yao? Eee bwana watu mnachosha sana. TANZANIA ni ya watanzania wote..uwe muislamu, mpagani mkiristo au vinginevyo.I imagine mafisadi huko waliko wanavyochekelea kwa furaha..maana wanaweka sumu halafu wanaacha mnaumana wenyewe!
Halafu wakati mwingine najiuliza, hivi Tanzania ingekuwa haijawahi kuwa na viongozi waislamu nchi yetu ingekalika kweli? Mungu mkubwa..viongozi wetu wote wa juu ni hao hao waislamu. If thats what it takes kuwaridhisha hawa jamaa zetu..mi naona tuongozwe na waislamu tuu..kwa sababu hawa viongozi wetu sioni lolote la maana wanalolifanya! Its tragic kuona baadhi ya waislamu wanalia na historia wakati 'nyinyi' ndo mmeshikilia mpini wa madaraka leo hii katika nchi yetu. SASA JAMANI MNATAKA MPEWE NINI?????????? Au sote tuvae kanzu ndo mtaamini kwamba Tanzania ni nchi inayotoa fursa sawa kwa wote? Yaani mimi naumia sana nikiona mijadala na hoja za watu humu..ambao wao ni kulaumuu tuu..baada ya 'kukuna vichwa' na kuangalia namna ya kutatua matatizo ya taifa letu
I can guarantee you, hata leo Kikwete akiteua waislamu kwenye baraza lote la mawaziri/makatibu wakuu/wakurugenzi, I am sure hakuna mpagani au mkiristo atakayeandamana kwa hilo! Its a shame kuona kwamba kuna watu bado wanalia na uongozi wa Nyerere mzee aliyestaafu kibarua chake cha uongozi miaka mingi iliyopita! wakati wengine humu walikuwa hata hawajazaliwa...
Kuna waislamu kibao tunaona wame-win maisha mjini..hao walisoma wapi? acheni unafiki hapa. Umasikini utaondolewa na juhusi zetu wote kama taifa. Huyo 'shujaa' Malima ningemuheshimu kama angekuwa alifanya lolote la maana katika uchumi wa taifa letu! Nothing..zero!
Masanja
Hiyo ndio nini? kama unamaanisha suruali basi hata hilo ni neno la kiarabu, soma historia itakujulisha suruali zimeanzishwa na nani. Just kukujuza tu, ni vazi la kike lililoanzia Mashariki ya kati. Utajaza mwenyewe.
Nilipo andika hilo neno nilijua utakosoa sikuwa na uhakika nalo.sawa ni suruali ila tunalo neno kwenye "mzizi" wa neno hilo ila silikumbuki kwa ufasaha "selawili" kwa maana ya suruali.asante kwa kunisahihisha tuendelee
Hivi nchi hii ingekalika ikiwa 70% ya mawaziri wangekuwa waislamu? (wakristo ndio wamechukua hiy asilimia sasa)
Hivi nchi ingekalika ikiwa 86% watumishi wa umma ni waislamu? (wakristo ndio wamechukua nafasi hiyo sasa) ikiwa Dr dau kelele hadi mnataka kufa..
Hivi nchi hii ingetawalika ingekuwa taasisi za kiislamu zingepewa fedha trillion 3 kila mwaka kutoka mfuko wa hazina (sasa hivi taasisi za kikristo zinapewa through MoU) wakristo wamepinga hadharani (maaskofu) serikali ku-finance mahakama ya kadhi..upo???
Hivi nchi hii inakalika tu ikiwa wakristo wanapendelewa? na waislam kunyonywa na kubaguliwa?
Sijakusoma mkuu?
hata wahindi akina mama wakivaa mavazi yao huva suruali kwa ndani, kwa hiyo usituaminishe kwamba ni vazi la waarabu
Nna uhakika unaowasema ni wahindi wavaao Punjabi Dress lakini wahindi wahindu huwakuti wakivaa suruali vazi lao ni sari, Sasa jiulize hao wavaao Punjabi Dress waliitoa wapi hiyo mila? Na hili ndio vazi la Pakistan zaidi kuliko India. Just goodle Indian dress na google Pakistani Dress, halafu utapata jibu.
Sasa nijibu, "suruali" hilo neno, wachana na vazi ni la asili ipi? waulize na wenzako.
Hawa watu wana kila hila, wanatupeleka tusipokutaka. Sheikh Mohamed, shushaaaa! Nyundo tu, kwa hisani yako.
Hii si picha ya Mwarabu. Ni Mmisri wa kale kabla nchi haijavamiwa na Waarabu. Masalia wao ndio Waethiopia wa leo na Wanubi wa Sudan. Na wewe kajifunze historia.Hiyo ndio nini? kama unamaanisha suruali basi hata hilo ni neno la kiarabu, soma historia itakujulisha suruali zimeanzishwa na nani. Just kukujuza tu, ni vazi la kike lililoanzia Mashariki ya kati. Utajaza mwenyewe.
Hapa mbona umewataja Chenge na Lowassa tu? Rostum, Kikwete, Karamagi, Hussein Mwinyi, Ridhwani unawaweka wapi? Ufisadi hauna dini ndugu yangu.Jamaa hawaoni kama wanaiba bali wanaona halali yao si umeona Juzi Askofu Mokiwa amewaambia mafisadi poa wasiwatenge waishi nao na kucheka pamoja non sense!!! Mtu anaiba kodi yangu ninayoitolea jasho mpaka mgongo kuuma halafu nimchekee nilitamani atokee kijana mmoja amnase kibao huyo askofu. Ila sishangai kama wenyewe wameshazoe kuiba Trilioni 2 hela za kina EL, Chenge na wengineo ni cha mtoto tu.....Wanakuja justification za ajabu kabisa ila mkuu Topical usitoke nje ya mada wewe wakikutoa warudishe kwani wanataka kuharibu mjadala. Nimewapa uhuru waanzishe topic kuhusu mfumo kristo tutakutana huko hapa tunamsubiri Sheikh Mohamed Said awashindilie misumari na nyundo maana inawapata mpaka wengine hawajui hata wanaandika nini!!!!
Eeeh bwana weee! yaani mtu mweusi kapiga linen suit nyeupeee!..halafu mnataka kuleta maneno machafu?....Yap, nimemkubali jamaa sijui nani huyu!
angalau ingekuwa sledge-hammer..ila nyundo yenyewe ya plastic ...kwa hiyo atashusha nyundo we mpaka atakaposhika mkongojo..! Zaidi ya kujifariji wenyewe hizo nyundo hazina manufaa yeyote kwenu!Hawa watu wana kila hila, wanatupeleka tusipokutaka. Sheikh Mohamed, shushaaaa! Nyundo tu, kwa hisani yako.
angalau ingekuwa sledge-hammer..ila nyundo yenyewe ya plastic ...kwa hiyo atashusha nyundo we mpaka atakaposhika mkongojo..! Zaidi ya kujifariji wenyewe hizo nyundo hazina manufaa yeyote kwenu!
Haaa haaa haa! leo hii kuna member waislaam wengi CCM kuliko wakati wowote! na wameyabeba mabango kwa ajili ya CCM... Wengine tunao humu JF, wengi wameondoka hata CUF na hawataki hata kusikia, halafu unataka kusema vitu vilivyotungwa na mtu akilini wakati hajui ukweli umesimama wapi?Sweke34,
Tumezunguka nchi nzima kuwaeleza Waislam kuhusu mfumokristo na wameuelewa. Hili kwetu si dogo. Ama la kujifariji. Faraja ni kitu chema. Baada ya kazi ya takribana miaka 40 matokeo yake ni haya soma hapa chini:
"Muslims are now organising nationwide mass rallies which openly and inlive broadcasts denounce the church, criticise the government and church agentswithin the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Parliament for oppressingMuslims. Seemingly derogatory words like "pandikizi" (singular) and"mapandikizi" (plural) meaning "turncoats;" or the new coined word "MfumoKristo" roughly meaning "Christian dominance" are now part of the Muslim and Swahilivocabulary. These analogies are used freely in the Muslim media and amongMuslims in every day conversation. But what usually thrills Muslims and utterlysignificant showing that times have changed is when in the rallies and innormal discussion Muslims refer to Nyerere hitherto known respectfully as "Babawa Taifa" as "Baba wa Kanisa," meaning "Church Elder."[1] The moveby the Catholic Church to make him a saint has not helped matters. More so itproves all the allegations levelled against Nyerere that he never was anationalist but a Catholic zealot. Respectand love which Muslims once had for Nyerere has been completely wiped out. Thenew generation of Muslims no longer believe in the official history of TANU andthe propaganda that it was Nyerere who single handed defeated the British.Muslims instead are honouring the forgotten heroes of independence movement andin so doing invoking emotions particularly in the new generation to stand upagainst oppression as their forefathers had done against Germans and theBritish. Muslim heroes of the Maji Maji War like Suleiman Mamba, Ali SongeaMbano,[2] andMuslim nationalists like Abdulwahid [3] and AllySykes,[4] DossaAziz, Sheikh Hassan bin Amir,[5] SheikhSuleiman Takadir, Sheikh Yusuf Badi, Bibi Titi Mohamed,[6] BibiTatu bint Mzee, Bilali Rehani Waikela,[7] Ali Migeyo[8] andothers are now part of nationalist history which was suppressed for many years.[9]Muslimsare demanding the restoration of their history and honour as true liberators ofTanganyika. This is unprecedented. One can only speculate and wonder where thiswould lead to. Can we identify thisphenomenon as corrective and revision of history or is it a lesson of anarchyin recording history?[10] Theresult of all this is that the Church has been made to stand naked. That theChurch did not play any role during Maji Maji[11] orduring the struggle against the British or that it has worked hand in hand withthe government to sabotage Islam and Muslims is now common knowledge. "
Mohamed
Mdondoaji,
Mama Maria siku alipofikishiwa taarifa za kifo cha Abdu alianguka akapoteza fahamu.
Unajua Nyerere alikuwa na dada yake anaitwa Sophia ni marehemu. Huyu mama aliolewa
na Lawrence Gama.
Basi Bwana Abdu kwa mapenzi aliyokuwanayo kwa Sophia alikuwa haipiti siku mbili tatu atakwenda
kumjulia hali na gari yake kwenye buti katika vitu kwa ajili ya watoto wa Sophia.
Watoto wa Gama ni wakubwa sasa bila shaka wanakumbuka "Uncle Abdu." Wote hawa
wakija kwa Bi Mluguru pale Kirk Street. Mimi pale nikenda kumfuata 'pacha mwenzangu" Ebby.
Nimelisema hili sikutaka lakini nia ni kukufahamisha hawa mie nawajua ni wazee wangu.
Siku hizo Abdu anaendesha Mercedes Benz.
Mohamed
Hilo swali la mambo ya EPA, ndege ya rais nk kalielekeza sipo.
Mohamed
.........."MfumoKristo" roughly meaning "Christian dominance" are now part of the Muslim and Swahilivocabulary. ....
Mohamed Saidi said:.......Tumezunguka nchi nzima kuwaeleza Waislam kuhusu mfumokristo na wameuelewa. Hili kwetu si dogo. Ama la kujifariji. Faraja ni kitu chema. Baada ya kazi ya takribana miaka 40 matokeo yake ni haya soma hapa chini:
"Muslims are now organising nationwide mass rallies which openly and inlive broadcasts denounce the church, criticise the government and church agentswithin the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the Parliament for oppressingMuslims.