Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa


Sweke34,

Ikiwa unategemea mimi nifuate unavyotaka utachelewa sana.

Huwa si mtu wa ubishi ule wa nipe nikupe Mwanakijiji nishamweleza hilo. Sina hulka ya kung'ngania mimi ikiwa tumefika mahali tumekwama sote wawili nasonga mbele na mjadala.

Ningekuwa na tabia hiyo mngelikuwa mshachoka na mnakasha toka jana. Bado mpo na mimi kwa kuwa mnasoma kila uchao.

Tuendelee mbele na historia ya wazee wangu toka jana nimeweka vitu vingi ambavyo nina hakika hamkuwa mnavijua hata FF akanipa mji.

Mohamed
 

unataka nini kifanyike baada ya historia zako??
 

M,

Usifanya haraka majibu atakujanayo Kigarama kutoka Kalenga. Hebu soma vizuri huo uzi wangu uone nimesema nini.

Haya mambo hayataki haraka, taratibu na kwa kushuhudia wewe mwenyewe utajua.

Huku ndiko kujifunza. Mimi natamba humu kwa kuwa nimeona mwenyewe licha ya kuhadithiwa. Mtu akikupa barua anakuambia hii ni ya babu yangu mkuu aliiandika kwa mkono wake 1898 usifanye mchezo inasisimua.

Rumaliza kafanya makubwa na Mkwawa.

Sheikh Nurdin Hussein alikuwa na kilemba kina umri wa miaka zaidi ya 200 kinarithiwa kutoka kizazi kimoja kwenda kingine kwa makhalifa wa Shadhily. Hii kanihadithia yeye mwenyewe.

Kinavaliwa mara moja kila mwaka mfungo sita katika Maulid Makubwa ya Bwana Mtume SAW. Historia hujengwa na mambo kama haya.

Mohamed
 

Mie nasubiria sheikh ni vizuri ukatufafanulia barua inaandikwa vp kwa kiarabu kama inaanza kwa jina la mwenyezi mungu mwingi wa rehemu na kushuhudia mmungu moja na mtume muhammad (SAW) ni mjumbe wake. Basi hapo itakuwa kigezo tosha kuwa alikuwa huyo bwana ni Mwislamu otherwise ni ngumu sana kuamini kauli ya kuwa Mkwawa alikuwa Mwislamu bila ya vithibitisho kamilifu. Ni mtazamo wa mawazo ya wazi (open mindness).
 
Exactly! Hata mfumo kristo umeuweka hapa wewe mwenyewe. Sasa kwanini unashindwa kuonyesha kwa takwimu zinazoelewa huo upendeleo kwenye elimu kwa miaka ya hivi karibuni? Mbona takwimu/mabandiko mengine unayo mengi? Tunaelemishana tu ndugu yangu.
 
 

M,

Usitaabike ndugu ndugu yangu uhuru ni wako wa kuamini au kutoamini. Hili nishalizungumza mara nyingi humu ukumbini.

Mimi kilichonisukuma hadi leo unaona tuko jamvini hapa ni kueleza kile nilichojifunza katika historia ya wazee wangu na kukiweka bayana watu wasome.

Ni hilo basi.

Ningesema mie nitake kuaminika ningelikosa basi.

Mohamed

PS: Krapf alipigwa na bumbuazi alipomkuta Chifu Kimweri katika baraza lake anaandika na kusoma kwa irabu za Kiarabu na Muislam. MS.
 
 
 
 
QUOTE=Mohamed Said;2730763]
 
 
 

Mkwawa vilevile alikuwa Muislam na alikuwa na ndugu yake ambae alikuwa mmoja wa makamanda wake akiitwa Yusuf.

Mohamed
mmmmmhhhhh!!!!! MS hapo mpendwa umechemka. Mimi daima nakushangaa kwa msimamo wako. Naamini kuwa Wazee wako wa Kariakoo kweli walishiriki ktk ukombozi wa nchi hii ila hawakushiriki kama MUSLIMS bali kama WATANZANIA wazalendo, sasa ww unataka kutuaminisha sisi tuliozaliwa baada ya uhuru kuwa uhuru wa nchi hii haukutafutwa na WATANZANIA bali na WAISLAM.

BILA shaka hata leo hii, na wewe ni shahidi nafasi zote muhimu ktk nchi zimeshikwa na MOHAMEDIANS, kilio chako daima Waislam wanaonewa, kwa bahati nzuri nimesoma nao ktk ngazi zote za elimu hicho unachopigia upatu sikukiona, na hata ktk ajira hali iko hivyo. please do not talk about idadi kwani halina uhusiano kabisa na dini, kwa sa7 at the end of tha day utajikuta unasahau dini unahamia ktk ukabila, lkn kwa kuwa huenda unahidden agenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…