Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mwanakijiji,
Swali hilo mbona nyie ndiyo wa kulijua zaidi kwa kuwa ndiyo mmeshika madaraka kwa 83%.
Masikini ya mungu sisi nafasi zetu wahudumu, wapika chai, madereva, shamba boy sasa hayo mambo ya huko maofisini ya ufisadi, sijui nini tutayajuaje?
Mohamed
Swali hilo mbona nyie ndiyo wa kulijua zaidi kwa kuwa ndiyo mmeshika madaraka kwa 83%.
Masikini ya mungu sisi nafasi zetu wahudumu, wapika chai, madereva, shamba boy sasa hayo mambo ya huko maofisini ya ufisadi, sijui nini tutayajuaje?
Mohamed