Leo utalala na viatu kwa uwongo wako uliojaa udini.
Chezea Nyerere weye?!
Nyerere amekuwa mungu sasa? Hebu fafanua udini unamaanisha nini maana mie naona kama umeishiwa hoja na kutafuta maneno na majina kunibandika nayo. Hii mada ni intellectual debate kama huna cha kuchangia na una hamaki hujalazimishwa kuchangia!!!!!!!!!!!