Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa



Hivi hicho chama kilianzishwa kwa masilahi ya Waislamu peke yao?.......iweje mtu ajiulize kuwa huyu bwana hatakuja kutujali? kutujali alikuwa akimaanisha akina nani? na kwa misingi ipi?.....ya uanzilishi wa chama au Uislamu wao?




Hizi ndizo huitwa "prejudices"



Kwa nini watu waingie wasiwasi Watanganyika wengine kuingia Barazani?........huo umoja wa Kitaifa la Tanganyika unakuwaje hapo?


..........Sheikh Takadir alihitaji nini hasa.....kwa kuwa yeye na Waislamu wenzake walianzisha chama basi wasije wengine kuongoza chama? ambacho madhumuni yake ni kushika uongozi wa nchi yenye watu wenye imani na makabila mbali mbali.......ambao nao pia walipigana vilivyo ili kupata uhuru wa Tanganyika..........

Mkasa wa Nyerere na Sheikh Suleiman Takadir unaendelea. Baada ya hayo likaja sakata la All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT). Usiwe na haraka subiri hadi mwisho huenda baadhi ya maswali yako yakawa yamejibiwa humu ndani. Kwa miaka mingi sana TANU ilikuwa inaogopa hata kueleza ugomvi huu wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere. Endelea na historia ya TANU New Street, Dar es Salaam, 1958 sasa inaingia 1959...:

Mwafrika,[1] gazeti la kila wiki chiniya uhariri wa Heri Baghdelleh na Robert Makange, lilichapisha habari za SheikhSuleiman Takadir katika ukurasa wa kwanza, likitangaza kufukuzwa kwake kutokaTANU kwa wino mzito, picha yake akiwa amevaa kanzu na kofia ya mkono akikodoamacho ikachapishwa gazetini.[1]Picha ya Sheikh Takadir iliwekwa pale ili wote wauone uso wa ëmsalitií anaetakakuchelewesha uhuru kwa kutaka Waislam wapewe uthibitisho wa hali yao yabaadae kwa sababu ya mchango wao katikaharakati za kudai uhuru. Mtu mmoja tu ndiyo aliyejitokeza kumuunga mkono SheikhTakadir na huyo alikuwa Ramadhan Mashado Plantan. Akiandika katika gazeti lakela Zuhra alihoji ile harara ya Nyerere kuwatumbukiza wananchi ndani ya uchaguziwa kura tatu ingawa ilikuwa wazi kuwa yale masharti ya kupiga kura yalikuwa yakuchukiza na ile haraka ambayo kwayo Sheikh Takadir alifukuzwa kutoka TANU.[1]Wakati wa mkasa wa Sheikh Takadir,Mwafrika lilikuwa likifaidi mauzo makubwa kwa sababu TANU ilisusia gazeti laBaraza gazeti la kila wiki la serikali. Baghdelleh na Makange walikuwa wamechapishamakala moja ambayo serikali iliiona ni ya uchochezi. Baghdelleh na Makangewalipatikana na hatia na kufungwa miezi sita gerezani. [1] TANU ililipa kisasi kwakuwataka wananchi wasusie gazeti la Baraza. Hakuna Mwafrika aliyenunua gazetihilo na kwa ajili hii yake mauzo ya Mwafrika yalipanda sana, hivyo kuipa sakataya Sheikh Takadir katika Mwafrika nafasi kubwa gazetini. Baraza ilikuwa katikaukingo wa kufa kabisa kama isingelikuwa juhudi na mbinu za kidiplomasia zameneja wake, Page Jones na Meneja wa Tanganyika Standard, Nihill waliokwendamakao makuu ya TANU kusuluhisha baina ya gazeti hilo la serikali na TANU.Nihill alifanya mazungumzo na makamu wa rais wa TANU, John Rupia; kaimu katibumwenezi, Amos Kissenge; katibu wa TANU Youth League, Dr. Michael Lugazia; DossaAziz na Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya TANU Idd Faiz. Hawa viongoziwaandamizi wa TANU walitoa amri ya kusitisha ususiaji wa gazeti la Baraza. Kwa kitendo hiki TANU ilikuwa imeojielezavyema na ilikuwa imeonyesha nguvu zake. Katika kipindi hiki mashambulizi kwa waleWaislam walionekana wanaipinga TANU na Nyerere yalizidishwa. Sheikh HusseinJuma makamu wa rais wa UTP alikuwa na pacha mwenzake, Sheikh Hassan Juma.Sheikh Hassan Juma alikuwa akiendesha madrasa pamoja na shule ikiitwa AlHassanein Muslim School, moja ya majaribio ingawa hafifu ya Waislamkujiendeleza katika elimu. Shule nyingi zilikuwa mikononi mwa wamisionari.Watoto wengi waliozaliwa mjini Dar es Salaam baada ya vita ya pili walisomeshwaQurían katika Al Hassanein chini ya Sheikh Hassan Juma. Wazazi waliwatoa watotowao katika shule hii kwa sababu waliihusisha madrasa hii na upinzani dhidi yaTANU. Watoto hawa hawakuishia katika kuacha kuhudhuria madrasa bali walitunganyimbo za kebehi ambazo waliziimba kwasauti kubwa walipokuwa wakipita katika shule yao ya zamani ili kuwakebehi,Sheikh Hussein Juma na nduguye pacha Sheikh Hassan. Wazee wao hawakuona haja yakuwakataza watoto wao tabia hii isiyofaa. Kwa kawaida ilionekana kwamba yeyotealiyekuwa anaipinga au hakujinasibisha na TANU, alikuwa adui.Huu ndiyo ukuwa mwanzo wa upinzani wachini chini dhidi ya TANU. Mwaka 1959, Ramadhani Mashado Plantan, mharirihodari wa gazeti la Zuhra wakati mmoja gazeti hili likiwa ndiyo sauti ya TANUna wananchi wa TAnganyika, pamoja na kikundi kidogo cha Waislam akiwemo SalehMuhsin walijiuzulu kutoka TANU na kuunda chama chao cha upinzani, All MuslimNational Union of Tanganyika (AMNUT).[1]Wanachama wengine waasisi walikuwa Abdallah Mohammed ambaye alichaguliwa kuwarais na Plantan akiwa katibu. Plantan alijitolea chumba kimoja nyumbani kwakeKirk Street, Gerezani kama ofisi ya kwanza ya AMNUT. Mara tu baada ya kuundwakwa AMNUT, ulizuka mgogoro katika uongozi na ofisi hiyo ilibidi ihamishwekutoka nyumbani kwa Plantan hadi Libya Street, eneo lenye Wahindi wengikatikati ya mji. Uongozi mpya ulikuja madarakani na katibu mpya AbduwahidAbdulkarim. Abduwahid Abdulkarim, kijana mwenye umri wa miaka 25 alichaguliwakuchukua nafasi ya Plantan. Abdallah Mohamed alibakia na cheo chake kama rais.AMNUT haikuweza kumudu kodi ya nyumba katika eneo lile la matajiri wa Kihindi.AMNUT ikaihamisha ofisi yake na kwenda Kariakoo, Narungíombe Street, karibu namsikiti wa Sheikh Idris bin Saad."

Mohamed
 
Mkasa wa Nyerere na Sheikh Suleiman Takadir unaendelea. Baada ya hayo likaja sakata la All Muslim National Union of Tanganyika (AMNUT). Usiwe na haraka subiri hadi mwisho huenda baadhi ya maswali yako yakawa yamejibiwa humu ndani. Kwa miaka mingi sana TANU ilikuwa inaogopa hata kueleza ugomvi huu wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere. Endelea na historia ya TANU New Street, Dar es Salaam, 1958 sasa inaingia 1959...:

Mwafrika,[1] gazeti la kila wiki chiniya uhariri wa Heri Baghdelleh na Robert Makange, lilichapisha habari za SheikhSuleiman Takadir katika ukurasa wa kwanza, likitangaza kufukuzwa kwake kutokaTANU kwa wino mzito, picha yake akiwa amevaa kanzu na kofia ya mkono akikodoamacho ikachapishwa gazetini.[1]Picha ya Sheikh Takadir iliwekwa pale ili wote wauone uso wa ëmsalitií anaetakakuchelewesha uhuru kwa kutaka Waislam wapewe uthibitisho wa hali yao yabaadae kwa sababu ya mchango wao katikaharakati za kudai uhuru. Mtu mmoja tu ndiyo aliyejitokeza kumuunga mkono SheikhTakadir na huyo alikuwa Ramadhan Mashado Plantan. Akiandika katika gazeti lakela Zuhra alihoji ile harara ya Nyerere kuwatumbukiza wananchi ndani ya uchaguziwa kura tatu ingawa ilikuwa wazi kuwa yale masharti ya kupiga kura yalikuwa yakuchukiza na ile haraka ambayo kwayo Sheikh Takadir alifukuzwa kutoka TANU.[1]Wakati wa mkasa wa Sheikh Takadir,Mwafrika lilikuwa likifaidi mauzo makubwa kwa sababu TANU ilisusia gazeti laBaraza gazeti la kila wiki la serikali. Baghdelleh na Makange walikuwa wamechapishamakala moja ambayo serikali iliiona ni ya uchochezi. Baghdelleh na Makangewalipatikana na hatia na kufungwa miezi sita gerezani. [1] TANU ililipa kisasi kwakuwataka wananchi wasusie gazeti la Baraza. Hakuna Mwafrika aliyenunua gazetihilo na kwa ajili hii yake mauzo ya Mwafrika yalipanda sana, hivyo kuipa sakataya Sheikh Takadir katika Mwafrika nafasi kubwa gazetini. Baraza ilikuwa katikaukingo wa kufa kabisa kama isingelikuwa juhudi na mbinu za kidiplomasia zameneja wake, Page Jones na Meneja wa Tanganyika Standard, Nihill waliokwendamakao makuu ya TANU kusuluhisha baina ya gazeti hilo la serikali na TANU.Nihill alifanya mazungumzo na makamu wa rais wa TANU, John Rupia; kaimu katibumwenezi, Amos Kissenge; katibu wa TANU Youth League, Dr. Michael Lugazia; DossaAziz na Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya TANU Idd Faiz. Hawa viongoziwaandamizi wa TANU walitoa amri ya kusitisha ususiaji wa gazeti la Baraza. Kwa kitendo hiki TANU ilikuwa imeojielezavyema na ilikuwa imeonyesha nguvu zake. Katika kipindi hiki mashambulizi kwa waleWaislam walionekana wanaipinga TANU na Nyerere yalizidishwa. Sheikh HusseinJuma makamu wa rais wa UTP alikuwa na pacha mwenzake, Sheikh Hassan Juma.Sheikh Hassan Juma alikuwa akiendesha madrasa pamoja na shule ikiitwa AlHassanein Muslim School, moja ya majaribio ingawa hafifu ya Waislamkujiendeleza katika elimu. Shule nyingi zilikuwa mikononi mwa wamisionari.Watoto wengi waliozaliwa mjini Dar es Salaam baada ya vita ya pili walisomeshwaQurían katika Al Hassanein chini ya Sheikh Hassan Juma. Wazazi waliwatoa watotowao katika shule hii kwa sababu waliihusisha madrasa hii na upinzani dhidi yaTANU. Watoto hawa hawakuishia katika kuacha kuhudhuria madrasa bali walitunganyimbo za kebehi ambazo waliziimba kwasauti kubwa walipokuwa wakipita katika shule yao ya zamani ili kuwakebehi,Sheikh Hussein Juma na nduguye pacha Sheikh Hassan. Wazee wao hawakuona haja yakuwakataza watoto wao tabia hii isiyofaa. Kwa kawaida ilionekana kwamba yeyotealiyekuwa anaipinga au hakujinasibisha na TANU, alikuwa adui.Huu ndiyo ukuwa mwanzo wa upinzani wachini chini dhidi ya TANU. Mwaka 1959, Ramadhani Mashado Plantan, mharirihodari wa gazeti la Zuhra wakati mmoja gazeti hili likiwa ndiyo sauti ya TANUna wananchi wa TAnganyika, pamoja na kikundi kidogo cha Waislam akiwemo SalehMuhsin walijiuzulu kutoka TANU na kuunda chama chao cha upinzani, All MuslimNational Union of Tanganyika (AMNUT).[1]Wanachama wengine waasisi walikuwa Abdallah Mohammed ambaye alichaguliwa kuwarais na Plantan akiwa katibu. Plantan alijitolea chumba kimoja nyumbani kwakeKirk Street, Gerezani kama ofisi ya kwanza ya AMNUT. Mara tu baada ya kuundwakwa AMNUT, ulizuka mgogoro katika uongozi na ofisi hiyo ilibidi ihamishwekutoka nyumbani kwa Plantan hadi Libya Street, eneo lenye Wahindi wengikatikati ya mji. Uongozi mpya ulikuja madarakani na katibu mpya AbduwahidAbdulkarim. Abduwahid Abdulkarim, kijana mwenye umri wa miaka 25 alichaguliwakuchukua nafasi ya Plantan. Abdallah Mohamed alibakia na cheo chake kama rais.AMNUT haikuweza kumudu kodi ya nyumba katika eneo lile la matajiri wa Kihindi.AMNUT ikaihamisha ofisi yake na kwenda Kariakoo, Narungíombe Street, karibu namsikiti wa Sheikh Idris bin Saad."

Mohamed

hiyo quote hapo juu.....haijibu jambo lolote juu ya maswali yangu.........unajaribu kujenga...prejudices.......

Nitaongezea kwa alivyosema Pasco............"simulizi with a mission"......mimi nitasema simulizi za Mamluki with a mission
 
Ogah, you're wasting your time arguing with this deluded, attention-craving geezer, bro. He's simply looking for an audience ya kusoma ushuzi wake. Achana naye.

Spot on!!!! you are right. The more I read his comments, the more I get convinced that this guy is half witted. He's written a "Safari Saba za Sindbad Baharia", "The little marmaid", and the likes and he want to make us believe it actually happened and call it a History! The best way to deal with these kind of people is to ignore them. They eventually run out of audience and resort to violence. TISS should be watchful of this guy.
 
Ogah, you're wasting your time arguing with this deluded, attention-craving geezer, bro. He's simply looking for an audience ya kusoma ushuzi wake. Achana naye.

Actually, I have a novel idea for him. Let him try to sell the story to Disney. They would come up with a Box Office hit for Children the likes of Peter Pan and Anastacia (Actually, some people believed that the Rusian Royal survived!)
 
Ogah, you're wasting your time arguing with this deluded, attention-craving geezer, bro. He's simply looking for an audience ya kusoma ushuzi wake. Achana naye.

Ndjabu,

Kuchangia sawa hii kunitukana inakujaje?
Mie sijakutukana.

Nilichofanya hapa jamvini ni kuileta historia ambayo wengi hawakuwa wanaijua.
Hii yote katika kuelimishana sasa haya matusi yanakujaje ndugu yangu?

Hivi unakosa adabu kiasi hiki kufikia akili yako kukutuma kuandika matusi bila ya haya?
Nakusihi ndugu yangu juu ya kuwa historia hii kwa kweli ni kitu kipya sana kwako na kimevuruga ile picha ya awali uliyokuwanayo ya Nyerere tustahamiliane tufanye mnakasha kwa heshima na adabu.

Mohamed
 
hiyo quote hapo juu.....haijibu jambo lolote juu ya maswali yangu.........unajaribu kujenga...prejudices.......

Nitaongezea kwa alivyosema Pasco............"simulizi with a mission"......mimi nitasema simulizi za Mamluki with a mission

Ogah,

Hebu tuachane na hoja kwanza.
Tuisoome historia iliyosahauliwa.

Tukishaijua tutakaa vyema Insha Allah.

Mohamed
 
najaribu sana kumwelewa mohamed lakini kwa vile amekaa kidini zaidi ni vizuri kupata mawazo yake.Bado najiuliza enzi hizo waasisi wa chama cha tanu ni wengi waisilamu kwa nini hawakumtoa Nyerere katika Chama kwa njia ya kura? Tunakusoma na tunakuelewa lakini haya yote huruma ya wakristo kuwapa elimu kwa kutumia shule za wakristo walizotafisha kusudi kuondoa wasipate elimu.Nilitarajia msomi angekuwa wa kutoa elimu amabyo isiyo na harufu ya dini wala ubaguzi.
 
hiyo quote hapo juu.....haijibu jambo lolote juu ya maswali yangu.........unajaribu kujenga...prejudices.......

Nitaongezea kwa alivyosema Pasco............"simulizi with a mission"......mimi nitasema simulizi za Mamluki with a mission

Mtu anapokosa hoja hujulikana, Kama huna hoja , kaa usome historia.
 
Ogah, you're wasting your time arguing with this deluded, attention-craving geezer, bro. He's simply looking for an audience ya kusoma ushuzi wake. Achana naye.

What a great thinker you are, the inability to come to terms derived from years of being programmed with fictitious ideas lacking even half truths is what boils you when truth prevails.

The greatest leader of them all started with an audience of one. Mohamed Said seeks no audience, audience seeks him, you are the living proof.
 
najaribu sana kumwelewa mohamed lakini kwa vile amekaa kidini zaidi ni vizuri kupata mawazo yake.Bado najiuliza enzi hizo waasisi wa chama cha tanu ni wengi waisilamu kwa nini hawakumtoa Nyerere katika Chama kwa njia ya kura? Tunakusoma na tunakuelewa lakini haya yote huruma ya wakristo kuwapa elimu kwa kutumia shule za wakristo walizotafisha kusudi kuondoa wasipate elimu.Nilitarajia msomi angekuwa wa kutoa elimu amabyo isiyo na harufu ya dini wala ubaguzi.

Zenge,

Usiwe na hofu yote utayasoma yote humu ndani.
NImeweka ugomvi wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere nikafuatisha na sakata la AMNUT.

Utakuja kuona Waislam kwa ujumla wao walishughulika vipi na matatizo haya ambayo yalikuwa yanakuja karibu sana na kupatikana kwa uhuru mwaka 1961.

Vuta subira Insha Allah.
Ukiwa tayari nifahamishe nitakuwekea kipande hicho.

Mohamed
 
Actually, I have a novel idea for him. Let him try to sell the story to Disney. They would come up with a Box Office hit for Children the likes of Peter Pan and Anastacia (Actually, some people believed that the Rusian Royal survived!)

Mween,

Kuna kitabu Nicholas and Alexandra kitafute upate kisa cha Tsar na familia yake vilevile google kuhusu Rasputin nk. nk.
Disney movies nikizitazama Empire Cinema comics zake nikinunua pale sasa ilipo Salamander katika 1960s ndizo zilizonisomesha Kiingereza nikiwa na umri mdogo sana.

Mohamed

PS: Hadi leo bado naangalia cartoons na kutazama movie za Walt Disney. Wakati Disneyland inafunguliwa Paris mimi nilikuwa Uingereza na nilitazama "live" group yangu maarufu "The Temptaions" was on stage." ms
 
Bi FF,
Brother MS anakiri hapa chini kama ifuatavyo............
Ogah,

Hebu tuachane na hoja kwanza.
Tuisoome historia iliyosahauliwa.
.......Mohamed

halafu wewe unakuja na hii yako............

Mtu anapokosa hoja hujulikana, Kama huna hoja , kaa usome historia.

kwa mtizamo wako Brother MS akiulizwa maswali.......sio hoja (ila MS mwenyewe kaona hoja).......kwako wewe Brother MS asipojibu maswali kwako ndio hoja.....mind yangu haijawa programmed kumeza kila analoleta/andika Brother MS.............where is your mind.?.......
 
Bi FF,
Brother MS anakiri hapa chini kama ifuatavyo............


halafu wewe unakuja na hii yako............



kwa mtizamo wako Brother MS akiulizwa maswali.......sio hoja (ila MS mwenyewe kaona hoja).......kwako wewe Brother MS asipojibu maswali kwako ndio hoja.....mind yangu haijawa programmed kumeza kila analoleta/andika Brother MS.............where is your mind.?.......

Mohamed Said kawa "diplomatic", anakupa za mbavu huku kavaa "gloves", mimi nakupa kavukavu:

Kwa mtazamo wako hii ndio hoja?

quote_icon.png
By Ogah

hiyo quote hapo juu.....haijibu jambo lolote juu ya maswali yangu.........unajaribu kujenga...prejudices.......

Nitaongezea kwa alivyosema Pasco............"simulizi with a mission"......mimi nitasema simulizi za Mamluki with a mission
 
Mohamed Said kawa "diplomatic", anakupa za mbavu huku kavaa "gloves", mimi nakupa kavukavu:

Kwa mtazamo wako hii ndio hoja?

.........wavivu wa kusoma utawaona na vioja vyao.....una-quote maandishi yanayorejea maandishi mengine halafu una-conclude.......au kwa vile uko programmed kumeza tu hizo simulizi za gerezani na kwa kuwa wewe ni "mswahili" mzaliwa wa mamluki huko basi we ni kumeza tu............milango yote ya fahamu umeifunga........sina msaada zaidi........samahani
 
.........wavivu wa kusoma utawaona na vioja vyao........au kwa vile uko programmed kumeza tu hizo simulizi za gerezani na kwa kuwa wewe ni "mswahili" mzaliwa wa huko basi we ni kumeza tu............milango yote ya fahamu umeifunga........sina msaada zaidi........

Ogah,

Unapoweka nukta zinatakiwa ziwe tatu...

Mohamed
 
Ogah,

Unapoweka nukta zinatakiwa ziwe tatu...

Mohamed

asante nimekuelewa...lakini unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa...acha Kudharau JF Brother MS,

Mwanakijiji amekupa maelezo mengi awali...ukaishia kumwambia, sio yeye anayetakiwa kujibu au kutoa hoja...wengine pia wametoa hoja maswali mengi tu...hujajibu...

kama ulizoea watu wakisoma na kukupongeza tu...JF ni tofauti...
 
asante nimekuelewa...lakini unatakiwa kujibu maswali unayoulizwa...acha Kudharau JF Brother MS,

Mwanakijiji amekupa maelezo mengi awali...ukaishia kumwambia, sio yeye anayetakiwa kujibu au kutoa hoja...wengine pia wametoa hoja maswali mengi tu...hujajibu...

kama ulizoea watu wakisoma na kukupongeza tu...JF ni tofauti...

Mzee wa midoti...umesikia? Teh...teh...
 
Back
Top Bottom