Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Bibie,
Uwongo ni uwongo tu. Hata kama utaubadilisha kuwa sera utaendelea kuwa ni uwongo. Kung'ata hakuna uhusiano wowote na kung'atuka. Na msikiti wa Butiama ulijengwa kwa uwezeshaji wa Mwalimu Nyerere. No matter how you and Barubaru spin it, uwongo utaendelea kuwa uwongo.

Labda nikupe suala kidogo hapo.

Kinyume cha Ng'ata ni nini?

 
ASALAM ALAYKUM!

Nachokiona ni Jazba. Soma mandishi ya Mohammed na vitabu vyake kisha ukosoe. Waislamu wametendewa vibaya sana na kuna hatari juu ya hili, ingawa watawala siku zote hua hawayaoni hayo.
 
Mwalimu Nyerere Memorial Lecture delivered by Prof. Haroub Othman on 14 October 2005 at the University of Cape Town, South Africa.



Poor Mohamed Said of Gerezani !

Mag 3,

Poor me!
My foot.

Mohamed
 
Mohamed Said;2661731Waislam walizikwepa shule za kanisa kwa sababu zilikuwa ni nyenzo za kupiga vita Uislam.Soma historia utakuta kuwa watu wa mwanzo kuelimika pwani ya Afrika ya Mashariki ni Waislam. Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri nadhani 1874 alimkuta Kimweri na wanae wote wanajua kusoma na kuandika wakitumia irabu za Kiarabu.Hizi irabu za Kiarabu zilikujapigwa marufuku na utawala wa Kiingereza kwa wivu na hasad tu.Uislam ni adhim sana sisi wazee wetu waliona bora kuikosa hiyo "elimu" kuliko mtoto kuritadi

Kwa taarifa yako uislamu haukuleta elimu yoyote ya maarifa na elimu ya kisasa. bali ulileta kufundisha kiarabu kwa ajili ya kusoma kurani. Lakini ukristo ulikuja na elimu. mashule pamoja na mahospitali. ndiyo maana kwamba pamoja na uislamu kuwako pwani ya tanganyika tangu karne ya 17 lakini watu hawakuelimika na elimu hii mnayoidai mliogopa kuifuata kwenye mashule ya kanisa. Mahali popote kanisa lilipofika watu wa pale waliendelea kwa sababu kanisa linaenda na elimu.
 
Kwa kuwa umenitaja, tafadhali niwekee huo "uongo" niliokuja nao, ukishindwa ina maana wewe ndiye muongo.

Vipi kuhusu ule uongo/ukweli kwamba MS anatuchezea shere ati yuko kwenye system.. ushafafanua? manake ulipotea.
 
Labda nikupe suala kidogo hapo.

Kinyume cha Ng'ata ni nini?


Kiswahili kina "exceptions" zake kama huna habari. Mfano tunatumia salamu "hujambo?" na "tunajibiwa "sijambo" ikiwa na maana niko salama sasa hujajiuliza kwa nini isiwe jibu lisiwe "najambo" kama unamaanisha uko salama?? Kwani neno Ng'ara kinyume chake ni Ng'aruka?
 
WC,

Hicho kitabu nimekisoma ila sikumbuki hicho kipande cha elimu kinasema nini labda unikumbushe Insha Allah.

Mohamed
Maktaba yako kubwa. Kisome tena ili uone mchango wa mila na desturi zetu kwa upande mmoja na UISLAMU kwa upande mwingine ulivyodumaza elimu hasa Pwani.
 
Kiswahili kina "exceptions" zake kama huna habari. Mfano tunatumia salamu "hujambo?" na "tunajibiwa "sijambo" ikiwa na maana niko salama sasa hujajiuliza kwa nini isiwe jibu lisiwe "najambo" kama unamaanisha uko salama?? Kwani neno Ng'ara kinyume chake ni Ng'aruka?

Mgalanjuka.

japo ni mwarabu laakin nakijua kiswahili vizuri sana.

Kinyume cha Funga ni fungua
Kinyume cha Nenda ni rudi,
Kinyume cha kelele ni kimya.

Nimekuuliza neno dogo tu. Kinyume cha Ng'ata ni nini?



 
Nilipo RED.

Hakika siku zote lazima ujue unaandika katika mazingira gani hususan unapofuata tartibu na kanuun za uandishi.

lazima uelewe pamoja na uliobainisha lakini msingi mkuu wa uandishi unabaki pale pale ni kuelimishana, kupashana habari na kuburudisha jamii.

Siku zote mwandishi anapaswa kuandika kile tu alichokiona pasi na kuegemea upande wowote au kutoa suluhisho la tukio zima kwani kazi hiyo ya kuamua inabaki kwa wasomaji.

Lakini vile vile unatakiwa ujue kuna habari za aina tofauti tofauti. Anachoandika Bw Moh'd katika makala yake ni kuandika historia ya Tanzania. Na amejikita zaidi na kutafiti na kutoa kile anachoamini kuwa ni sahihi kuwajuza historia watanganyika ambao hawakuwepo wakti huo.

Na lazima ufahamu pia kuwa Historia haiwezi fichika na hakuna mwenye uwezo wa kuifuta au kuificha historia kwani hayo ni mambo yaliyofanyika katika jamii. Yawe mabaya au mazuri ni vyema yawekwe hadharani. (Historia ni kama pembe la ng'ombe). Na wajuzi wa mambo ndio maana wanaunda tume za maridhiano ili kuondoa pale penye kasoro na kuhakikisha mambo yanakuwa sawia siku hadi siku.

Usione wajinga South Africa kuunda tume ya maridhiano au Rwanda na mauaji ya kimbari. Hiyo yote ni kuisafisha historia kwani itajiandika kutetea kile kilichokuwepo.
Nawashauri wa Tanganyika ni vizuri kuipokea na kuipinga pale ilipoteleza na kuyafanyia kazi yale ya kweli kwa mustakabali wa nchi yenu. Kwani kuna mengi lakini kubwa kutokana na maandiko yake naona mengi yamejitokeza likiwamo la UDINI ndani ya jamii za wa Tanganyika.

Eleweni kuwa mficha maradhwi siku zote kifo kinamuumbua.

Kila la kheir

kimsingi huwa siwaelewi WAISLAM kabisaaaa. Kila jambo,sentensi, kauli au tendo linapofanyika, wao hulitafsiri kwa mujibu wa IMANI yao. Hii itawapa shida na kuwasumbua sana. Dini na Sayansi haviendani, lakini wao huilazimisha SAYANSI kuwa SEHEMU ya IMANI yao.huwez ajiriwa kwa kusoma Quran bhana, soma SAYANS tukupe kaz si vinginevyo
 
Mzee Mohamed Saidi, chuki na fitina zako ulizopandikiza kwa vijana wa kiislam wasioweza kuchambua mambo sasa hivi zimezaa matunda uliyoyataka. Wanafunzi wachache wa kiislam katika shule ya sekondari ya Ndanda iliyoko wilaya ya Masasi, wamesababisha fujo na maandamano yasiyo na msingi wakidai wajengewe msikiti ndani ya shule hiyo. Wanadai pia kuwe na serikali ya wanafunzi ya waislam. Wamekuwa wakiwatishia maisha wanafunzi wengine wasiotakakuwaunga mkono! Matokeo yake shule imefungwa na wanafunzi wote kurudishwa makwao. Wako wazee wakiislam wenye mtazamo wa Mohamed Saidi ambao wamekuwa wakichochea fujo hizo. Sasa mnakusudia nini kuwarubuni vijana hao kudai miskiti badala ya elimu bora?miskiti mashuleni itatatuaji mahitaji ya elimu nchini?kwanini mnasababisha vijana wachukiane kwa imani zao?Yameanza Ndanda, yatakapo enea nchi nzima mtafaidikaje?
 
kimsingi huwa siwaelewi WAISLAM kabisaaaa. Kila jambo,sentensi, kauli au tendo linapofanyika, wao hulitafsiri kwa mujibu wa IMANI yao. Hii itawapa shida na kuwasumbua sana. Dini na Sayansi haviendani, lakini wao huilazimisha SAYANSI kuwa SEHEMU ya IMANI yao.huwez ajiriwa kwa kusoma Quran bhana, soma SAYANS tukupe kaz si vinginevyo

Mwanawavitto.

Ndio maana hao unaosema wamekwenda madrasa wameandika kitabu kamili cha utafiti wao. Sasa na wewe msomi wa shule lete japo paper moja tu ya kitafiti kupinga yaliyoelezwa sio kuleta bla bla na porojo. Kumbuka tafiti inapingwa na tafiti na si vinginevyo.

 
Mzee Mohamed Saidi, chuki na fitina zako ulizopandikiza kwa vijana wa kiislam wasioweza kuchambua mambo sasa hivi zimezaa matunda uliyoyataka. Wanafunzi wachache wa kiislam katika shule ya sekondari ya Ndanda iliyoko wilaya ya Masasi, wamesababisha fujo na maandamano yasiyo na msingi wakidai wajengewe msikiti ndani ya shule hiyo. Wanadai pia kuwe na serikali ya wanafunzi ya waislam. Wamekuwa wakiwatishia maisha wanafunzi wengine wasiotakakuwaunga mkono! Matokeo yake shule imefungwa na wanafunzi wote kurudishwa makwao. Wako wazee wakiislam wenye mtazamo wa Mohamed Saidi ambao wamekuwa wakichochea fujo hizo. Sasa mnakusudia nini kuwarubuni vijana hao kudai miskiti badala ya elimu bora?miskiti mashuleni itatatuaji mahitaji ya elimu nchini?kwanini mnasababisha vijana wachukiane kwa imani zao?Yameanza Ndanda, yatakapo enea nchi nzima mtafaidikaje?

Gwalihenzi,

Huo uliosikia ni upande mmoja wa shilingi. sasa fuatilia upande wa pili pasi na shaka utasikia mengi tofauti.

Ndio maana waswahili husema, Msema pekee ushinda.

Kwani hata mimi niliona Ilboru enzi hizo walianzisha mradi wa kufuga Nguruwe. Na form one walitumika kwenda kuwapa chakula na kusafisha mabanda yao regardless wewe mwislam au sio. Tukiwa form five tulienda kuongea na Mkuu wa shule enzi hizi Mwl G Mushi maarufu kwa jina la Bino. Naye alitusikia na kuamuru waislam wasihudumie Nguruwe. sasa kuna mengi lakin sifikirii kuwa sababu ya msikiti inaweza kuwa chanzo kwani kuna misikiti mingi sana nje ya shule ya Ndanda. isijekuwa wamekatazwa wasiifanye ibada za swala zao za kila siku.

nakushauri uchunguze na kutafuta upande wa pili wanasemaje?

 
... Sheikh wangu Maalim Haruna (Mungu amrehemu)akitueleza katika madras
wakati anatufunza adab za mnakasha (majadiliano) kuwa dalili ya kwanza ya mtu kushindwa ni ukali na lugha zisizokuwa kiungwana.
Huyo aliyekufundisha, yeye alikuwa na kiwango gani cha elimu? Kwa kuwa wewe ni product ya huyo mwalimu, nina wasiwasi na huyo mwalimu !
 
Huyo aliyekufundisha, yeye alikuwa na kiwango gani cha elimu? Kwa kuwa wewe ni product ya huyo mwalimu, nina wasiwasi na huyo mwalimu !
Unatakiwa kujibu hoja, usituletee viroja hapa. Ww unajifanya 'tbs' hapa, hooovyo!
 
kimsingi huwa siwaelewi WAISLAM kabisaaaa. Kila jambo,sentensi, kauli au tendo linapofanyika, wao hulitafsiri kwa mujibu wa IMANI yao. Hii itawapa shida na kuwasumbua sana. Dini na Sayansi haviendani, lakini wao huilazimisha SAYANSI kuwa SEHEMU ya IMANI yao.huwez ajiriwa kwa kusoma Quran bhana, soma SAYANS tukupe kaz si vinginevyo

Hapo ndio inabidi ujifunze nini maana ya dini, na jee ni kweli sayansi na dini haviendani? labda kitabu chenu hakiendani na sayansi, hebu fata hii link uone kitabu cha Waislaam kina nini kuhusu sayansi: Science Islam - Proof From Truth
 
.....Gerezani My foot......ni mamluki tu na vijiba vyenu....

Haohao wa gerezani tumewasikia wakitajwa na Kikwete kwa mkupuo. Hapo sasa, katika ile list aliyotaja Kikwete ni wangapi wanatoka Gerezani na wangapi wanatoka sehemu moja nyingine?

Wepesi wa kusahau, mnasahau kuwa hata Nyerere alikaribishwa na hao wazee waliotajwa na Kikwete? au hamjamsoma Mohamed Said?
 
Haohao wa gerezani tumewasikia wakitajwa na Kikwete kwa mkupuo. Hapo sasa, katika ile list aliyotaja Kikwete ni wangapi wanatoka Gerezani na wangapi wanatoka sehemu moja nyingine?

Wepesi wa kusahau, mnasahau kuwa hata Nyerere alikaribishwa na hao wazee waliotajwa na Kikwete? au hamjamsoma Mohamed Said?
Orodha ile ya JK ilikwenda mbali zaidi ya hao wazee wenu wa Gerezani. Wale wazee 17 ni waanzilishi/waasisi wa TANU. Sio wale wazee wenu waliosahaulika peke yao! Nikuulize Faiza, kwa nini JK alimsahau Zuberi Mtemvu?
 
Orodha ile ya JK ilikwenda mbali zaidi ya hao wazee wenu wa Gerezani. Wale wazee 17 ni waanzilishi/waasisi wa TANU. Sio wale wazee wenu waliosahaulika peke yao! Nikuulize Faiza, kwa nini JK alimsahau Zuberi Mtemvu?

Kwanza nijibu swali langu kabla hujaniuliza lako. Katika listi ya Kikwete ni wangapi wa Gerezani na wangapi kutoka sehemu moja nyingine? mbona unakwepa?
 
Back
Top Bottom