Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,324
Bibie,
Uwongo ni uwongo tu. Hata kama utaubadilisha kuwa sera utaendelea kuwa ni uwongo. Kung'ata hakuna uhusiano wowote na kung'atuka. Na msikiti wa Butiama ulijengwa kwa uwezeshaji wa Mwalimu Nyerere. No matter how you and Barubaru spin it, uwongo utaendelea kuwa uwongo.
Labda nikupe suala kidogo hapo.
Kinyume cha Ng'ata ni nini?