KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hiyo timu ilifumuliwa, ikaundwa timu nyingine iliyoleta ushindi.Nimeipenda hii historia fupi na iliyoshiba.
Nyerere alikuwa ni mfungaji wa goli la ushindi, ila si vibaya kuwajua wachezaji wengine kwenye hiyo game je walikuwa wakina nani na walicheza namba ngapi, maana bila kupewa assist na wenzake sizani kama angefunga hilo goli.
Na lazima tumjue je man of the match alikuwa nani?
Timu hiyo aliyoanza nayo Mwalimu isingetufikisha popote.