Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

Mkuu nakubaliana kwa kiasi na maoni yako.
Ikumbukwe kuwa kabila la wasfwa na wahehe wamefanya kazi kubwa sana kutokea enzi za machifu kama Merere kuondoa au kukinga utumwa kuingia Mbeya.
Wasafwa walikuwa na jeshi kubwa sana lililowazuia waarabu kupita nyanda(plains) za kuanzia Mbarali, Kapunga na Chimala.
Ndio maana utakuta nyanda za juu kusini kuelekea Mbozi, huwezi kukuta influence kubwa za waarabu, na hata wazungu.
Correct!
 
Kiujumla Mbeya ni kwetu, lakini Mbeya hawana mwamko kabisa wa kujenga nyumba nzuri na mipango miji inayoleweka.
Bado huijui Mbeya. Hata Dar es Salaam kuliko jengeka kupo kama Masaki, Oysterbay na Mbezi au Mikocheni.

Lakini pia kuna swekeni ambako nyumba zimejengwa utafikiri mabanda ya kutunzia mkaa kama Kigogo, Kinondoni shamba, Buguruni Kisiwani, etc

Next time ukienda Tukuyu waambie wajomba zako wakupeleke maeneo kama Block Q, VETA, isyesye, Uzunguni, Uhindini, New Forest etc
 
Binafsi nilijua Mbeya yote ni Wanyakyusa ila nilipoenda ndio nikajua mji wa Mbeya ni mji wa Wasafwa Wanyakyusa kwao Rungwe,Busokelo na Kyela
 
Si walikuwa wanakimbia shule,wamisionari waliwaletea elimu wakawa wanachoma moto majengo,mwisho wakapeleka elimu Unyakyusani.Kazi kunywa pombe tu,labda kulima ndio wanajua
 
Si walikuwa wanakimbia shule,wamisionari waliwaletea elimu wakawa wanachoma moto majengo,mwisho wakapeleka elimu Unyakyusani.Kazi kunywa pombe tu,labda kulima ndio wanajua
Na nyie Wanyakyusa tuyaseme yenu au tukae kimya?

Wanawake zenu kazi yao kuza mbunye tu. Wanaondoka na mikungu ya ndizi 5 na mapalachichi 20, anasema anakwenda kuuza Mbeya. Anamuacha mume hata mwezi, na wanaume hawabishi. Kumbe wanauza "K" tu Mbeya
 
Na nyie Wanyakyusa tuyaseme yenu au tukae kimya?

Wanawake zenu kazi yao kuza mbunye tu. Wanaondoka na mikungu ya ndizi 5 na mapalachichi 20, anasema anakwenda kuuza Mbeya. Anamuacha mume hata mwezi, na wanaume hawabishi. Kumbe wanauza "K" tu Mbeya
Pole sana,kwanza mimi sio Mnyaki na Mbeya nilienda kusoama laiki Wasafwa nawajua vizuri,naona umepanic kwa kuambiwa ukweli
 
Kwa sasa jiji limepanuka sana limefikia mpaka sehemu walizohamiaga hapo zamani imesaidia nao wawe wanachangamana na wageni, wengine nao wameamua kurudi mjini kutoka huko milimani, mambo ya kukaa peke yao nadhani yaliwagharimu sana hivyo wameamua wajichanganye tu.

kuhusu uoga sidhani ila labda ni ile tabia yao ya kuhama kwenda kuishi kivyao ndio ilileta fikra hii, kwa upole naweza kubaliana na wewe huwaga hawana mambo ya vurugu.

Don wa kisafwa kwa hapa Mbeya sijamjua, kwa wanyakyusa wenye mendeleo angalau wapo wapo hasa walioajiriwa ila sijaona wa kufikia anga za madoni, Madoni wengi wa hapa Mbeya kwa sasa ni wakinga na wageni wengine wanaomiliki maduka makubwa, mahoteli, makampuni, viwanda, n. k
mfikemo ni msafwa? sio don?
 
Binafsi nilijua Mbeya yote ni Wanyakyusa ila nilipoenda ndio nikajua mji wa Mbeya ni mji wa Wasafwa Wanyakyusa kwao Rungwe,Busokelo na Kyela
Lakini ndio wanaomiliki mji, wasafwa wamebaki historia kwamba "waliwahi kuwa wenyeji", sababu kuu ndio hio kama aliyoleta meta mada, badala ya kuchangamkia fursa wao walikuwa wanawapisha wanyakyusa wazifaidi kwa sababu ya kuogopa kuchanganyana ili kulinda tamaduni zao.

  • POWER - Vyeo vya uongozi na siasa vingi Mbeya jiji ni wanyaki,
  • EDUCATION - Shule nyingi nzuri binafsi na za wazazi wanyaki wamerundikana
  • AJIRA - kwa kuwa wengi wameelimika, ajira za Mbeya wamezoa
  • MAKANISA - Hlli halina mjadala, wachungaji na waimba gospel maarufu TZ wanatokea Mbeya
 
Wanawake zenu kazi yao kuza mbunye tu. Wanaondoka na mikungu ya ndizi 5 na mapalachichi 20, anasema anakwenda kuuza Mbeya. Anamuacha mume hata mwezi, na wanaume hawabishi. Kumbe wanauza "K" tu Mbeya
Endelea kukalia majungu tu,

Wanawake unaowaponda wameelimika wana vyeo vikubwa serikalini, ni maprofesa, n.k. mfano mdogo tu ni mbunge wa Mbeya hapo, Tulia Mwansasu.
 
Endelea kukalia majungu tu,

Wanawake unaowaponda wameelimika wana vyeo vikubwa serikalini, ni maprofesa, n.k. mfano mdogo tu ni mbunge wa Mbeya hapo, Tulia Mwansasu.
Lakini ni wauza "K". Umalaya hauna kisomo. Hata mama yako aweza kuwa alikuwa malaya na ukazaliwa wewe
 
Lakini ndio wanaomiliki mji, wasafwa wamebaki historia kwamba "waliwahi kuwa wenyeji", sababu kuu ndio hio kama aliyoleta meta mada, badala ya kuchangamkia fursa wao walikuwa wanawapisha wanyakyusa wazifaidi kwa sababu ya kuogopa kuchanganyana ili kulinda tamaduni zao.

  • POWER - Vyeo vya uongozi na siasa vingi Mbeya jiji ni wanyaki,
  • EDUCATION - Shule nyingi nzuri binafsi na za wazazi wanyaki wamerundikana
  • AJIRA - kwa kuwa wengi wameelimika, ajira za Mbeya wamezoa
  • MAKANISA - Hlli halina mjadala, wachungaji na waimba gospel maarufu TZ wanatokea Mbeya
Mbeya ni kama Dar es Salaam ambayo ni Makao Makuu ya nchi na Wazaramo wamesogea pembeni na makabila yote ya nchi hii yako hapa.

Vivyo hivyo hata Mbeya makabila yote ya mkoa wa Mbeya na mikoa jirani yamesogea mjini na Wasafwa wamesogea pembeni.

Kiuchumi tusidanganyane kwa sasa Mbeya kwa kuwa Wanyakyusa na Wasafwa wote wako level moja. Kabila lenye uchumi Mbeya ni Wakinga.

Ila tatizo la Wanyakyusa bado wamekariri historia kudhani kuwa wako JUU kushinda makabila mengine. Siyo kweli ni choka mbaya tu pia
 
Si walikuwa wanakimbia shule,wamisionari waliwaletea elimu wakawa wanachoma moto majengo,mwisho wakapeleka elimu Unyakyusani.Kazi kunywa pombe tu,labda kulima ndio wanajua
Kuweka maelezo sahihi ni kwamba, Wasafwa walipinga ukoloni na mambo yake yote. Kumbuka ukoloni uliambatana na ujenzi wa shule, Mahakama, ukulima wa mashamba makubwa (ardhi walipokonywa wenyeji) nk. It is not surprising kwamba Wachagga waliokubali ukoloni walielimika Mapema kuliko Wapare, Wahaya walielimika mapema kuliko Wanyambo na Wahangaza nk. The same kwa Wanyakyusa, waliukubali ukoloni mapema kuliko Wasafwa. Kabila gani halinywi pombe labda?
 
Majina ya koo za kisafwa ndo kama yapi wakuuu...huwa siwajui kabisa....
Ukisikia majina haya, jua ni Wasafwa, ingawa mengine machache kama Mwaipopo yanaingiliana na majirani zao Wanyakyusa
  • Mwalyego
  • Silinjaje
  • Ngobhe
  • Mukeya
  • Mukinga
  • Tuyagaje
  • Tuyangine
  • Mwaifwani
  • Nzunda
  • Ndele
  • Mengo/Mwamengo
  • Nyalile
  • Mwangunda
  • Mwamboneke
  • Mwambabe/Mbambe
  • Nsunye
  • Mwanjanye
  • Mahinya
  • Mlozi
  • Sijabaje nk.
 
Wasafwa nao wajitutumue kujitangaza tamaduni zao.

Wasitegemee watu kutoka nasaba nyingine kuwabeba. Wajibebe
Huwa wanajitangaza sana nowadays. Ingia youtube tafuta Awilo wa Mbeya ama Wamwiduka Band, hawa ni waimbaji wa nyimbo za Kisafwa ambao wametumbuiza mpaka Sauti za Busara, Bungeni Dodoma na matamasha makubwa makubwa ya ndani ya nchi. Mwaka juzi walikuwa na tamasha la utamaduni wao pale Makumbusho Dar. Video za tamasha hilo zipo YouTube.
 
Ukisikia majina haya, jua ni Wasafwa, ingawa mengine machache kama Mwaipopo yanaingiliana na majirani zao Wanyakyusa
  • Mwalyego
  • Silinjaje
  • Ngobhe
  • Mukeya
  • Mukinga
  • Tuyagaje
  • Tuyangine
  • Mwaifwani
  • Nzunda
  • Ndele
  • Mengo/Mwamengo
  • Nyalile
  • Mwangunda
  • Mwamboneke
  • Mwambabe/Mbambe
  • Nsunye
  • Mwanjanye
  • Mahinya
  • Mlozi
  • Sijabaje nk.
Thank u....
 
Yani hii Tanzania ukienda mikoa nje ya Mbeya, ukiuliza jiji la Mbeya linakaliwa na kabila gani, fasta mtu anakujibu wanyakyusa lakini ukweli ni kwamba wasafwa ndio wenyeji wa kihistoria na hata hili jina la Mbeya lina asili ya neno la Kisafwa "Ibheya" ambayo maana yake ni chumvi, kilotokea nini hadi wasafwa wakapoteza utambulisho wao wa kufahamika kuwa wenyeji wa jiji hili ?

ni kwamba nchi ilipopata uhuru, Mbeya jiji ikapewa hadhi ya kuwa makao makuu ya mkoa wa Mbeya, wanyakyusa waliokuwa wilaya za karibu kama Rungwe na Kyela walianza kuja kwenye makao makuu ya kupata huduma za kijamii bora, kusoma, kufanya biashara, n.k.

Muda huo wakazi wa mbeya mjini wengi walikuwa ni wazawa ambao ni wasafwa, shida ikaja kwamba wasafwa wakiona wageni walikuwa hawataki kuchangamana na jamii zingine, ilikuwa ni kwa sababu za kulinda na kuzithamini zaidi tamaduni zao zisiingiliwe na makundi mengine, hivyo walikuwa wakiona kuna wageni wenye tamaduni tofauti, wao wanahamisha makazi kwenda sehem ambayo wapo peke yao. mji ulizidi kupanuka, wanyakyusa na wageni wengi zaidi walifikia Mbeya mjin, hii ilileta usumbufu kwa wasafwa kuhama hama mji unavyozidi kupanuka, ikafikia kipindi wengine wakaanza kukimbilia maeneo ya mbali zaidi milimani. Kwa wakati huu wote wanyakyusa na wageni wengine walifikia muafaka kwamba wasafwa wanahama kwasababu ni waoga, ila kwa uhalisia wasafwa walikuwa wana sababu zao za kitamaduni.

matokeo yake hapa mjini makabila ya ziada yaliyofika kama wanyiha, wandali, wakinga, wahehe, wangoni, wabena, n.k. wao wakawa wanajua huu mji ni wa wanyakyusa maana wakifika mjini wanakutana na wanyakyusa wengi, Pia wnyakyusa wengi waliwahi kutoka nje ya Mbeya kwenda mikoa mingine kikazi, kielimu, siasa, n.k. hivyo watu wa mikoa waliyofikia walijua Mbeya ni ya wanyakyusa. wakati huo wasafwa waliokuwa wenyeji original ilikuwa ngumu kuwajua sababu walikuwa wanaishi mbali ya mji na maeneo yasiyofikika kirahisi ikawa vigumu kwa watu wa mikoa mingine kuwajua.

Laiti wasafwa wangebaki kwenye huu mji huenda wangekuwa na maendeleo sana an kufahamika zaidi kuzidi wanyakyusa, mji huu ulikuwa ndio makao makuu ya mkoa wa Mbeya lakini hii bahati wakaichezea na. wasafwa waliletewa hivi vitu vizuri hapa mjini ila wakavikimbia.

-serikali ilijenga shule nyingi ila wasafwa walizikimbia, wakawaachia wanyakyusa na wageni wengine.

-Serikali na makampuni yalitoa nafasi za ajira lakini wasafwa walikuwa mbali, wanyakyusa na wageni walizifaidi

-mji ulianza kujaa na kukawa na fursa za biashara ambazo wasafwa wangeweza kupata pesa lakini kujitenga kwao kukaliacha soko wazi kwa wanyakyusa na wageni wengine.

-madaraka, vyeo na teuzi serikalini za kuongoza mji huu wakawaachia wanyakyusa na wageni wengine, nafasi hizi zilitumika na wanyakyusa kuwekana maofisini na kupeana vyeo.

-viwanja vingi waliviacha ama kuviuza na kukimbilia milimani kusiko hata na huduma za jamii, n.k. leo hii nyumba nyingi maeneo ya mjini ni za wanyakyusa japo kwa sikuhizi wageni wengine nao wanajenga sana,


Ni historia yenye kusikitisha ila ina funzo kubwa sana, mkataa kwao hugeuka mtumwa.

Mwisho kwa kuhitimisha naweza kutoa ushauri kwa wasafwa kwamba historia haiwezi kubadilika itabaki kwajili ya kujifunza lakini mnachoweza kubadilisha ni future kwa kuanza kutia bidii muda wa sasa (present)

- wasafwa mzingatieni sana elimu pambanieni na ikibidi mjinyime watoto wasome shule hasa za private na jumuia ya wazazi zilizojaa tele Mbeya jiji, mhakikishe watoto wafike vyuoni nanyi mjae jae maofisini na vyeo.

- mjipanue na kutafuta fursa mpya za kibiashara na kujiajiri, Mbeya ni jiji lina watu wengi wenye mahitaji mengi muangalie ni sehemu zipi mnaweza kuchota pesa.

- muwe na bidii ya kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa na uongozi kwenye huu mji wenu, mpambanie nafasi za kupaza sauti ya kero zetu wageni wa mbeya na zenu wazawa halisi wa mbeya.

-msaidiane na kubebana ili walio chini nao wawe na maendeleo, roho za umimi na ubinafsi haziwezi leta maendeleo
Hili kabila ni watu wachafu ni wa ajabu ajabu huko mbeya wanamsemo afadhali mnyakyuza Malaya kuliko msafwa mchafu.
 
Mkuu upo sawa ila mambo mengi hujayaongelea.Nimeishi kwa wasafwa na wanyaki.
Ardhi nyeti ya uzalishaji imeshikwa na wasafwa na wakinga. Wakinga ndio wamiliki wakuu wa MISITU ya kupanda popote mbeya.
Ardhi ya uzalishaji chakula bado ipo kwa wasafwa. Wasafwa hupata hela kila msimu ila elimu ya utunzaji hela kama wakinga hawana.
Wanyakyusa ni watu wenye matamanio ya maendeleo ya vitu mfano kujenga magari, mavazi nk. Wamejitahudi sana kujenga nyumba nzuri kwa kipato cha kuunga unga cha ndizi, maharage, kakao, miti nk.
Wasafwa wanazalisha matani na matani ya VIAZI na mbao ila hela wananywea na kuhonga.
Elimu inayotakiwa kwa wasafwa sio ya shule bali ya ujasiliamali wa kutunza pesa. Kazi wanajituma sana ila shida ndio hio.
Wasafwa hawana makuu, wapo humble.
Kingine wasafwa hawapendi kusafiri mikoa ya mbali labda aende kama mfanyakazi lakini baadae hupanga kurudi Mbeya huwajazoea mikoa ya shida shida hasa isio na chakula kama Shinyanga Singida nk.
 
Back
Top Bottom