Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm mwenyewe mnyaturu ila hawa Dada zangu hapana, sijui tatizo ni kukatwa ile kitu?mwanamke mzuri hutongozwa saaana ndomana mnasema wagangaji
Sa nyie mnasura mbovu nani awasumbue
Mimi nilijua hao wametulia ila wale watani zenu ni shidaaahMm mwenyewe mnyaturu ila hawa Dada zangu hapana, sijui tatizo ni kukatwa ile kitu?
Mm mwenyewe mnyaturu ila hawa Dada zangu hapana, sijui tatizo ni kukatwa ile kitu?
Mkuu acha kabisa.....najua wakiruhusu muingiliano wa makabilamengine itawasaidia kutoa roho za umaskini na kutopenda watu wa kuja kusonga mbele na kuleta maendeleo kwenye wilaya zao.Kama wataendelea kuwa hivyo basi wimbi la Umaskini kamwe halitowaacha salama...
Kwanza jinsi nilivyokaa Tanzania hii sijawahi ona watu wanaroho za umaskini na kwanini kama hawa watu.niwe tu mkweli...hawa watu mpaka wenyewe wanakwambia kabisa pasipo shida kuwa sisi tuone tu hivi...kuna waliostarabika lakini si wanaokaa huko kwenye chimbuko lao.Mwanzo nilikuwa sielewi kwanini Singida Maskini sana..nilipokuja kuishi maeneo yao kwa muda flani..hahahaha.Ndio nimelewa,tabia zao na mienendo yao wacha kabisa...
Ayoo wang'Amuchi mbuyane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shusha na history ya "wasandawe" ndg km unaifaham
Again,yale yale!
Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...
Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!
Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!
Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!
Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?
Mpumbavu sana wewe!
Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!
Upumbavu ulioje!
AyuuuAmuchi mbuyane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ayuuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
😂😂😂😂😂😂mwanamke mzuri hutongozwa saaana ndomana mnasema wagangaji
Sa nyie mnasura mbovu nani awasumbue
Tokaaaaa hukooo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂 .Again,yale yale!
Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...
Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!
Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!
Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!
Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?
Mpumbavu sana wewe!
Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!
Upumbavu ulioje!