Historia ya wanyaturu

Historia ya wanyaturu

Sijui wewe ni nani uwapangie wao kitu cha kuamini

Waache na ardhi yao,waache na mila zao

Wewe unazo za kwenu,kama zenu ni bora ni zenu,na wao wanaona zao bora

Hakuna ustaarabu eti wa jamii fulani una hold superiority over the other!

Waache,fanya yako!

Natoka Moshi by the way!
Hata ungetokea wapi tayari moja ya tabia kuu zenu watu ni kujaa upepo kama wewe hapo.watu wa Moshi hawana akili finyu kama zako.Huo mkoa wenu na ni kati ya mikoa duni kabisa kimaendeleo na sifa kubwa uchawi,wanga mwingi ..roho mbaya na hawachangii lolote kwenye hata maendeleo yao binafsi.Kila kitu mnataka bure.Ndio maana hata mbunge wenu yule ameweza kucheza na akili zenu kawaacha kama mlivyo.Badilikeni mpunguze kuwa watu wa ajabu ajabu.
Na moja kati ya sifa yenu kuwa ni kupaona Arusha na Moshi ni bora zaidi kama ulivyo fanya hapo mwisho maana ndio sehemu kuu mnazokimbilia namkirudi huku kwenu hamgusiki...

''Singida is one of the regions of Tanzania. The regional capital is the municipality of Singida. The region is bordered to the North by Shinyanga Region, Simiyu Region and Arusha Region, to the Northeast by Manyara Region, to the East by Dodoma Region, to the Southeast by Iringa Region, to the Southwest by Mbeya Region and to the West by Tabora Region. It is one of the poorest regions in Tanzania.''
 
Again,yale yale!

Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...

Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!

Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!

Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!

Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?

Mpumbavu sana wewe!

Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!

Upumbavu ulioje!
😂 😂 😂 😂 😂 dawa imeingia.Ndio maana hata mkuu wa kaya aliwaambia mzidi kuzaliana.Ndivyo mlivyo mzee, hiyo Mpumbavu sana wewe ndio sentensi zao kuu sana huko.Mshukuru sana wa kuja ndio wanafumbua macho sasa hivi.Mana mkitoka Moshi,Arusha na Dar huwa hamsalimii kabisa wenzenu.Mnbadilika kuanzia kuongea mpaka kutembeaa..angalia huo hapo Moshi unakotokea hakuna watu wa ajabu ajabu na mambo ya ajabu kama yako.Tena mlivyo na mambo duni daah...umethibitisha hapa.
 
Again,yale yale!

Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...

Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!

Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!

Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!

Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?

Mpumbavu sana wewe!

Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!

Upumbavu ulioje!
😂 😂 😂 😂 😂 dawa imeingia.Ndio maana hata mkuu wa kaya aliwaambia mzidi kuzaliana.Ndivyo mlivyo mzee, hiyo Mpumbavu sana wewe ndio sentensi zao kuu sana huko.Mshukuru sana wa kuja ndio wanafumbua macho sasa hivi.Mana mkitoka Moshi,Arusha na Dar huwa hamsalimii kabisa wenzenu.Mnbadilika kuanzia kuongea mpaka kutembeaa..angalia huko Moshi unakotokea hakuna watu wa ajabu ajabu na mambo ya ajabu kama yako.Tena mlivyo na mambo duni daah...umethibitisha hapa.
 
[emoji848][emoji848][emoji848] nahisi jf asilimia kubwa n wamyatulu coz iyo micharazo inayoendelea ni blaa. ila kiukweli wanyatulu[emoji850][emoji850][emoji850]
 
Mkuu acha kabisa.....najua wakiruhusu muingiliano wa makabilamengine itawasaidia kutoa roho za umaskini na kutopenda watu wa kuja kusonga mbele na kuleta maendeleo kwenye wilaya zao.Kama wataendelea kuwa hivyo basi wimbi la Umaskini kamwe halitowaacha salama...
Hilo ni tatizo la Makabila yote Tanzania.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dawa imeingia.Ndio maana hata mkuu wa kaya aliwaambia mzidi kuzaliana.Ndivyo mlivyo mzee, hiyo Mpumbavu sana wewe ndio sentensi zao kuu sana huko.Mshukuru sana wa kuja ndio wanafumbua macho sasa hivi.Mana mkitoka Moshi,Arusha na Dar huwa hamsalimii kabisa wenzenu.Mnbadilika kuanzia kuongea mpaka kutembeaa..angalia huo hapo Moshi unakotokea hakuna watu wa ajabu ajabu na mambo ya ajabu kama yako.Tena mlivyo na mambo duni daah...umethibitisha hapa.
Kweli kabisa mkuu yaani mnyaturu akienda arusha anarudi mchaga
 
WANYATURU ambao awali walijulikana kwa jina la Warimi ni watu wanaoishi karibu wilaya zote za mkoa wa Singida yenye tarafa saba.

Kwa Mujibu wa Patrick Mdachi katika kitabu cha Wanyaturu wa Singida, Mila na Desturi zao, Wanyaturu ni moja ya makabila yanayojumlishwa katika kundi la Nilo-Hamites, lenye asili ya Wabantu walioishi Abysinia ambayo sasa inajulikana kama nchi ya Ethiopia.

Hii elimu ya siku hizi ni majanga! Watakuwaje "Nilo-Hamites" halafu wawe "Wabantu" wakati huohuo?

Ama Wabantu ama Hamites.

Msitulishe ujinga mliojazwa nao mashule ya kufundishana ujinga.
 
Hata ungetokea wapi tayari moja ya tabia kuu zenu watu ni kujaa upepo kama wewe hapo.watu wa Moshi hawana akili finyu kama zako.Huo mkoa wenu na ni kati ya mikoa duni kabisa kimaendeleo na sifa kubwa uchawi,wanga mwingi ..roho mbaya na hawachangii lolote kwenye hata maendeleo yao binafsi.Kila kitu mnataka bure.Ndio maana hata mbunge wenu yule ameweza kucheza na akili zenu kawaacha kama mlivyo.Badilikeni mpunguze kuwa watu wa ajabu ajabu.
Na moja kati ya sifa yenu kuwa ni kupaona Arusha na Moshi ni bora zaidi kama ulivyo fanya hapo mwisho maana ndio sehemu kuu mnazokimbilia namkirudi huku kwenu hamgusiki...
Unaona ulivyo na wivu sasa?

Besides tunaongelea Wanyaturu,wewe umekimbilia Wachagga!

Nili-mention makusudi Moshi ili ujue sipo pale kutetea Wanyaturu labda natoka huko.

Na ni maajabu sana mtu ku-mention Moshi eti anajisikia....Duh!

Umeonesha kiwango cha hovyo sana!

Hivi unavyotukana wengine namna hii,wewe unatoka wapi hasa?

Kama unatoka America labda,ila kama wewe umetokea humu humu TZ huna uwezo wa kudharau wenzio namna hii!
 
Back
Top Bottom