Historia ya wanyaturu

Hata ungetokea wapi tayari moja ya tabia kuu zenu watu ni kujaa upepo kama wewe hapo.watu wa Moshi hawana akili finyu kama zako.Huo mkoa wenu na ni kati ya mikoa duni kabisa kimaendeleo na sifa kubwa uchawi,wanga mwingi ..roho mbaya na hawachangii lolote kwenye hata maendeleo yao binafsi.Kila kitu mnataka bure.Ndio maana hata mbunge wenu yule ameweza kucheza na akili zenu kawaacha kama mlivyo.Badilikeni mpunguze kuwa watu wa ajabu ajabu.
Na moja kati ya sifa yenu kuwa ni kupaona Arusha na Moshi ni bora zaidi kama ulivyo fanya hapo mwisho maana ndio sehemu kuu mnazokimbilia namkirudi huku kwenu hamgusiki...

''Singida is one of the regions of Tanzania. The regional capital is the municipality of Singida. The region is bordered to the North by Shinyanga Region, Simiyu Region and Arusha Region, to the Northeast by Manyara Region, to the East by Dodoma Region, to the Southeast by Iringa Region, to the Southwest by Mbeya Region and to the West by Tabora Region. It is one of the poorest regions in Tanzania.''
 
😂 😂 😂 😂 😂 dawa imeingia.Ndio maana hata mkuu wa kaya aliwaambia mzidi kuzaliana.Ndivyo mlivyo mzee, hiyo Mpumbavu sana wewe ndio sentensi zao kuu sana huko.Mshukuru sana wa kuja ndio wanafumbua macho sasa hivi.Mana mkitoka Moshi,Arusha na Dar huwa hamsalimii kabisa wenzenu.Mnbadilika kuanzia kuongea mpaka kutembeaa..angalia huo hapo Moshi unakotokea hakuna watu wa ajabu ajabu na mambo ya ajabu kama yako.Tena mlivyo na mambo duni daah...umethibitisha hapa.
 
😂 😂 😂 😂 😂 dawa imeingia.Ndio maana hata mkuu wa kaya aliwaambia mzidi kuzaliana.Ndivyo mlivyo mzee, hiyo Mpumbavu sana wewe ndio sentensi zao kuu sana huko.Mshukuru sana wa kuja ndio wanafumbua macho sasa hivi.Mana mkitoka Moshi,Arusha na Dar huwa hamsalimii kabisa wenzenu.Mnbadilika kuanzia kuongea mpaka kutembeaa..angalia huko Moshi unakotokea hakuna watu wa ajabu ajabu na mambo ya ajabu kama yako.Tena mlivyo na mambo duni daah...umethibitisha hapa.
 
[emoji848][emoji848][emoji848] nahisi jf asilimia kubwa n wamyatulu coz iyo micharazo inayoendelea ni blaa. ila kiukweli wanyatulu[emoji850][emoji850][emoji850]
 
Hilo ni tatizo la Makabila yote Tanzania.
 
Kweli kabisa mkuu yaani mnyaturu akienda arusha anarudi mchaga
 

Hii elimu ya siku hizi ni majanga! Watakuwaje "Nilo-Hamites" halafu wawe "Wabantu" wakati huohuo?

Ama Wabantu ama Hamites.

Msitulishe ujinga mliojazwa nao mashule ya kufundishana ujinga.
 
Unaona ulivyo na wivu sasa?

Besides tunaongelea Wanyaturu,wewe umekimbilia Wachagga!

Nili-mention makusudi Moshi ili ujue sipo pale kutetea Wanyaturu labda natoka huko.

Na ni maajabu sana mtu ku-mention Moshi eti anajisikia....Duh!

Umeonesha kiwango cha hovyo sana!

Hivi unavyotukana wengine namna hii,wewe unatoka wapi hasa?

Kama unatoka America labda,ila kama wewe umetokea humu humu TZ huna uwezo wa kudharau wenzio namna hii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…