mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,458
- 471
Nasikia ili ndoto ya kuwa na Afrika kama muungano wa majimbo. Hivyo walikubaliana kuwa na wimbo mmoja hivyo wale wenye msimamo Kama nyerere waliendeleza dhana hiyo, japo walishindwa kuunganisha Afrika kwa uchu wa madaraka.