Historia yangu ya mapenz. Niliachwa: ogopa sana kuachwa

Historia yangu ya mapenz. Niliachwa: ogopa sana kuachwa

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
482
Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.

Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb kumekicha. Wanawak chuo ni wengi TU hats sielewi Kwa NN Binti wa kinyaturu akanitesa mtoto was watu.

Niliachwa na mke wa mtu. Sjateseka sana japo nilijitafakari mambo mengi sana. Huyu mwanamke alinipenda mwenyewe sijui ninini kilimkumbusha mumewe alimwaga na bahat mbaya akawa ananipakazia Kwa wanaonijua.
 
Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.

Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb kumekicha. Wanawak chuo ni wengi TU hats sielewi Kwa NN Binti wa kinyaturu akanitesa mtoto was watu.

Niliachwa na mke wa mtu. Sjateseka sana japo nilijitafakari mambo mengi sana. Huyu mwanamke alinipenda mwenyewe sijui ninini kilimkumbusha mumewe alimwaga na bahat mbaya akawa ananipakazia Kwa wanaonijua.
Punguza speed
 
Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.

Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb kumekicha. Wanawak chuo ni wengi TU hats sielewi Kwa NN Binti wa kinyaturu akanitesa mtoto was watu.

Niliachwa na mke wa mtu. Sjateseka sana japo nilijitafakari mambo mengi sana. Huyu mwanamke alinipenda mwenyewe sijui ninini kilimkumbusha mumewe alimwaga na bahat mbaya akawa ananipakazia Kwa wanaonijua.
We endelea kuachwa tu
 
Back
Top Bottom