Historia yangu ya mapenz. Niliachwa: ogopa sana kuachwa

Historia yangu ya mapenz. Niliachwa: ogopa sana kuachwa

Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.

Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb kumekicha. Wanawak chuo ni wengi TU hats sielewi Kwa NN Binti wa kinyaturu akanitesa mtoto was watu.

Niliachwa na mke wa mtu. Sjateseka sana japo nilijitafakari mambo mengi sana. Huyu mwanamke alinipenda mwenyewe sijui ninini kilimkumbusha mumewe alimwaga na bahat mbaya akawa ananipakazia Kwa wanaonijua.

Mwandiko wa mtu mwenye stress...
 
Nina umri was miaka kadhaa sio teenager tena ni mtu mzima flan ila napenda chini na kwa imani yangu mambo magumu mno.

Niliachwa wkt nikiwa college, niliteseka Sana, nilikuja kugundua asb kumekicha. Wanawak chuo ni wengi TU hats sielewi Kwa NN Binti wa kinyaturu akanitesa mtoto was watu.

Niliachwa na mke wa mtu. Sjateseka sana japo nilijitafakari mambo mengi sana. Huyu mwanamke alinipenda mwenyewe sijui ninini kilimkumbusha mumewe alimwaga na bahat mbaya akawa ananipakazia Kwa wanaonijua.
Ipo shida mahali[emoji23]
 
Ukiachwa nawe acha, usipoacha utaumia sana na hayo maumivu ndio yatakuwa hofu yako kwa kila utakaye mpata tena.
 
Back
Top Bottom