History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

hasason

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
1,648
Reaction score
1,539
Hawa wanaojiita atheists naomba niwaambie sio kila kitu mzungu anachowadangaya na nyie mnadanganyika kwa bei ya peremende unajua kabla hujakubali au kukanusha jambo unatakiwa ujirithishe kwa facts.

ni ulimbukeni kwa mtu especially muafrika kupinga hakuna spiritual beings beyond physical realm kwanza kwa research fupi na rahisi ya terminologies zinazoelezea spiritual deities na discourses zake.

nataka niseme hakuna old terminologies zilizotumika na ancients hadi sasa ziko zisizo na maana tokea karne na dahari kulikuwa na maneno kama ''mungu'' ''roho'' ''majini'' ''pepo'' ''kuzimu'' ''mbingu'' ''shetani'' na mengine lukuki ambayo yanahusiana na vitu vya kiroho.

Haitawezekana hata siku moja mfanano huu utokee kwa all mankind lifestyles na culture alafu useme ni fiction to all generations and races never.

Zipo lugha nyingi duniani ambazo hazina huu msamiati wa ''atheism'' ikiwemo kiswahili naomba usichnganye na Upagani au Paganism mpagani ni mtu asiyehuthuria congregations zozote lakini anaamini kuna Mungu unaweza kumkuta anaenda kwa waganga na kusoma nyota.

huwezi kusema lugha zote duniani maarufu na zisizo maarufu [native tongues] zinayo haya maneno yametokea kwa bahati mbaya uki trace haya maneno kwenye articles utakuta yalikuwepo tokea mwanadamu alipokuja juu ya uso wa nchi lakini uki trace atheism hili neno limekuwa popular baada ya philosophies na theories za Darwinism atheism and the like nayo ni karne ya 19 awali hivi vitu havikuwapo.

Nasema ni mshutuko kwa mwafrika kusema hakuna spiritual realm kutoka na history na life style ya waafrika anzia South Africa mpaka Libya njoo Somalia mpaka Liberia kote miaka na miaka wapo waganga wakienyeji wasoma nyota tena hapa tunayo records nzuri ukienda Mali Timbuktu waafrika tunajivunia kwamba ndicho chuo cha kwanza duniani na wasomi wa

dunia wanaamini hivyo lakini hicho chuo kilikuwa kinahusu mambo ya falaki au unajimu sana majini na mambo mengi ya kiroho pia Egypt ndio nchi iliyokuwa na high standard of civilization 700 and 500 BC juu ya uso wadunia lakini walikuwa na Elite waliosababisha mafanikio makubwa kama hayo nao ni scribes, astronomers[hawa sio apollo bali ni wanafalaki] architects, mathematicians and artisans, administrators, priests [waganga/wachawi] hawa wote ndio walio establish the Ancient Egyptian society mpaka wakajenga pyramids ambazo America wamiweka katika dollar bill nembo ambayo haina uhusiano kabisa na historia ya marekani bali Egypt.

th
th


Unaweza ukasema ipo lugha[maneno] rasmi yanayotumika katika mamlaka kama serikalini mahakamani taasisi za kielimu ambayo yana discourse au facts pale yanapotamkwa ni tofauti kabisa na maneno ya mitaani kama euphemisms au ironic words ambayo mara nyingi haya huongelewa na mob ambayo maisha yako huwezi kuyakuta yameandikwa kwenye official reports au Governmental documents kwani huko huandikwa kitu na kutambulika rasmi baada ya kujulikana basis na factual za maneno hayo.

Ninachotaka nikujengee hapa ni namna neno God linavyotumika kwenye nyaraka za serikali na vitabu vya imani ambavyo vyote hivi vinahusiana na mabo ya kiroho vinavyotumika na serikali ambayo inatazamwa na wananchi kama the highest level ya educated factual intelligent and sophisticated knowledge govern the rest refer Pilate Theory.

th
th
th


th
th


Nakuja kwa waafrika kwani nazungumza nao kwa namna waganga wa kienyeji na wachawi [samahani hawa ntawatumia sana kwani walikuwa kabla ya biashara ya utumwa na ukoloni] historia na makumbusho unaweza kwenda na kukuta picha moja inamuonesha mama mmoja huko bagamoyo mganga wao wanauita ''fundi'' akimpndisha mtu marohani ikumbukwe hapo makumbusho.

unaweza kusema hawa waganga ni matapeli lakini je huo utapeli ulianzwa enzi za mababu mpaka sasa upo na sio afrika bali dunia nzima inakuwaje kwani duniani pote hakuna sehemu utakayokosa mambo ya kichawi pote chunguza utaona na yapo hata kabla ya uvumbuzi wa meli gari au Internet yani kabla ya muingiliano wa kiutamaduni kwa namna yoyote ile je nayo ni fiction?

Atheist wanapinga uwepo wa Mungu lakini ''wanaamini'' BIG BANG nikikuuliza unaweza kunipa proof ya big bang kwamba imetokea wapi na nini sababu zake na kwa nini itokee watakosa la kukwambia ila watasema wanaamini yani hujawahi ona lakini labda niwaambie maana ya IMANI kwamba ni kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo [au yaliyokwisha kuwako] ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Hivyo kwa tafsiri hii kuamini kuwa kulikuwa na big bang ambayo hujawahi ona ikitokea hiyo ni imani.

Hutakuwa na tofauti na anayemuamini Mungu ambaye hajawahi muona hivyo atheism ni imani kama imani nyingine ila imani hii inaamini katika bigbang na sio Mungu ila wako watu pia wanaoamini jua ng'ombe mwezi nyoka mti n.k lakini sio Mungu hivyo hawana tofauti na atheist.

Darwin anasema binadamu ni advanced apes facts zake zimebase kwenye environment [phenotype] kitu ambacho hakiwezi kubadilisha genes za kiumbe na kuathiri traits za kiumbe genetipycally huwezi kusema a certain type of gas or physial condition an affect the genes of an organism completely and left others unchanged.

ni wazi tunaelewa traits za binadamu zinaamishwa through genes from ancestor to his descendants hizi traits ni body morphology, skin color, aye color, tallness, tongue rolling, early baldness, diseases, albinism, blood type, sex, etc.
ni kitu kisichokaa kiwezekane phenotype ikaathiri genotype code hata siku moja na hii ni nature ya viumbe wote.

Kwa namna technology ilivyopanuka kwa sasa tungeweza kutengeneza mazingira yaliyowafanya apes kuwa mwanadamu katika eneo/chumba fulani tuka apply hizo gases na all conducive environment zilizopelekea mabadiliko yote ya mwanadamu then tukachunguza mabadiliko yatakayojitokeza lakini sio kwamba haijafanyika shida ni kutangaza matokeo litakaloathiri brainwashed all over the surface kwani watajua Darwinism ni Vanity and nullity hauwezi ku prove lakini wanaamini then wanapinga dini wakati wote tunaamini nguvu fulani ya tofauti sema tunatofautiana mtazamo.

Conclusion ni kwamba hakuna Atheism duniani hata wao wanaimani na kuishikilia kama wengine wanaweza kukuambia Bible ni manmade lakini muulize hizo ''facts'' zinazotetea theory yako ni mawazo yako sio kwamba ulisoma novel ya Charls Darwin and the like ikakuvutia na wewe ukaamini?

soma hapa

Samahani kwa kuchanganya lugha.
 
Mkuu! Ukitaka tuanze kujadili masuala ya 'origin of man' and the presence of religion in the world,hii maada ni controversial na haitakwisha leo but wait a minute! WAjUvi wanakuja.....
 
Mkuu! Ukitaka tuanze kujadili masuala ya 'origin of man' and the presence of religion in the world,hii maada ni controversial na haitakwisha leo but wait a minute! WAjUvi wanakuja.....

Nafkiri hata me umeona nimejaribu kutokuingiza dini hapo nimejadili namna rituals ambazo ni spiritually discerned zilivyokuwa zikitambulika hata baada ya kusambaa kwa modern faiths.

unabisha katika kabila lako hakuna utamaduni wa kiimani kama mambo ya mizimu uganga na ushirikina ambao upo tokea enzi na enzi?
 
Nimeona neno "prove" nikaona ngoja niangalie kuna ugunduzi gani mpya, naona madudu.

Unaelewa maana ya neno "prove"? Usha prove kwamba mungu yupo? Katika framework gani?

Kama unataka kufuatilia walichoamini watu wa kale, watu wa kale waliamini pia kwamba dunia si duara, ni bapa, na dunia haizunguki jua, bali jua linazunguka dunia.

Sasa utataka tuamini na hayo pia kwa sababu watu wa kale waliamini?

Umeanza kwa kutaja fact halafu unazama kwenye lindi la hearsay.

Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, na elimu inavyozidi kuongezeka, ndivyo wasioamini kuwepo kwa mungu wanavyozidi.

Jumapili nilienda kuangalia Super Bowl Boulevard na michezo theatres za Time Square hapo, mchana nikapata lunch, restaurant niliyoingia zamani ilikuwa kanisa. Watu wameibadilisha imekuwa Italian restaurant. Umekaa kwenye restaurant unaona michoro ya kanisa pamoja na stained glasses zile.

Nikaona duh, watu hawa wazungu waliotuletea hii dini wenyewe washaona makanisa hayana deal. Nikakumbuka another time napita Wall St, kwenye exchange pale, nakutana na mhubiri wa Ki Nigeria anawahubiria Wamarekani wanampita kama hana akili nzuri. Reverse evangelism flow, safari hii Waafrika ndio wanaenda kuhubiri Ulaya na Marekani!

Sisi mpaka leo tunang'ang'ania dini na mungu.
 
Nimeona neno "prove" nikaona ngoja niangalie kuna ugunduzi gani mpya, naona madudu.

Unaelewa maana ya neno "prove"? Usha prove kwamba mungu yupo? Katika framework gani?

Kama unataka kufuatilia walichoamini watu wa kale, watu wa kale waliamini pia kwamba dunia si duara, ni bapa, na dunia haizunguki jua, bali jua linazunguka dunia.

Sasa utataka tuamini na hayo pia kwa sababu watu wa kale waliamini?

Umeanza kwa kutaja fact halafu unazama kwenye lindi la hearsay.
Kuamini kuwa kuna mambo ya kiroho hakuhitaji rocket brain na wala me sitaki kuingia kwenye Geography kwani haihusiani hapa swala ni kwamba ni kweli races zote ulimwenguni kwa vizazi na vizazi kuwa walikuwa wakiamini nothing na ku practise kitu ambacho hawakitambui?
 
Kuna kitu kimejificha sana kati ya vitu hivi
Mungu, Dini pamoja na Dunia

Mungu yupo na ataendelea kuwepo Maandiko yanasema hivyo

Mtu anasema Mungu hayupo ni wale tunaowaita "Mr I know Everything" na siku zote njia zao ni fupi sana

Walikuwepo watu wa hivyo duniani
Waulize kina Herode, na Pharao
Yaliyowakuta wanawajua wao


"Uzungu" na "Elimu ya Magharibi" ni kansa inayomaliza watu kimya kimya
 
Kuamini kuwa kuna mambo ya kiroho hakuhitaji rocket brain na wala me sitaki kuingia kwenye Geography kwani haihusiani hapa swala ni kwamba ni kweli races zote ulimwenguni kwa vizazi na vizazi kuwa walikuwa wakiamini nothing na ku practise kitu ambacho hawakitambui?

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Big difference.
 
Kuna kitu kimejificha sana kati ya vitu hivi
Mungu, Dini pamoja na Dunia

Mungu yupo na ataendelea kuwepo Maandiko yanasema hivyo

Mtu anasema Mungu hayupo ni wale tunaowaita "Mr I know Everything" na siku zote njia zao ni fupi sana

Walikuwepo watu wa hivyo duniani
Waulize kina Herode, na Pharao
Yaliyowakuta wanawajua wao


"Uzungu" na "Elimu ya Magharibi" ni kansa inayomaliza watu kimya kimya

First of, kusema "mungu hayupo" involves commenting on a negative, which cannot be proven. So I am not into that.

I am more like "hakuna ushahidi kwamba mungu yupo".

Ukikubali kitu kwa sababu maandiko yamesema tu, utakubali kuwa mtumwa.

Maana maandiko pia yamesema watumwa kuweni watii kwa mabwana wenu, na mzitii serikali zenu.

In addition, ukikubali kitu kwa sababu tu maandiko yamesema, vipi kama maandiko yamesema vitu viwili tofauti? Utakubali kipi na kuacha kipi wakati kuna andiko lingine limesema maneno yote ya mungu yanafaa?
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Big difference.
Kiswahili nacho tabu kuamini ni kuwa na uhakika juu ya swala fulani usishtuke kaka we jibu swali whatsoever word you will use to replace ''kuamini'' we toa jibu.
 
First of, kusema "mungu hayupo" involves commenting on a negative, which cannot be proven. So I am not into that.

I am more like "hakuna ushahidi kwamba mungu yupo".

Ukikubali kitu kwa sababu maandiko yamesema tu, utakubali kuwa mtumwa.

Maana maandiko pia yamesema watumwa kuweni watii kwa mabwana wenu, na mzitii serikali zenu.

In addition, ukikubali kitu kwa sababu tu maandiko yamesema, vipi kama maandiko yamesema vitu viwili tofauti? Utakubali kipi na kuacha kipi wakati kuna andiko lingine limesema maneno yote ya mungu yanafaa?
Bahati mbaya umetoka nje ya mada nimekuletea proven facts kama Timbuktu, Lugha, Tamaduni, Egypt, Serikali na sijakuwekea reference ya andiko hata moja kama hujanielewa nimekupa ushahidi wa uwepo wa spiritual beings kabla ya kusambaa kwa dini.

swali je ni fiction?
 
Kuna kitu kimejificha sana kati ya vitu hivi
Mungu, Dini pamoja na Dunia

Mungu yupo na ataendelea kuwepo Maandiko yanasema hivyo

Mtu anasema Mungu hayupo ni wale tunaowaita "Mr I know Everything" na siku zote njia zao ni fupi sana

Walikuwepo watu wa hivyo duniani
Waulize kina Herode, na Pharao
Yaliyowakuta wanawajua wao


"Uzungu" na "Elimu ya Magharibi" ni kansa inayomaliza watu kimya kimya
:A S thumbs_up:
 
Sorry for those who doesn't believe in God but I do....
Amenifanyia mambo ya ajabu na ninamshukuru

Wanaamini sana sema mungu wao ni Big Bang.
kama kitu hujawahi kukiona wala kukiprove ila unakiamini kwamba ni kweli sio IMANI hiyo?
 
Nimeona neno "prove" nikaona ngoja niangalie kuna ugunduzi gani mpya, naona madudu.

Unaelewa maana ya neno "prove"? Usha prove kwamba mungu yupo? Katika framework gani?

Kama unataka kufuatilia walichoamini watu wa kale, watu wa kale waliamini pia kwamba dunia si duara, ni bapa, na dunia haizunguki jua, bali jua linazunguka dunia.

Sasa utataka tuamini na hayo pia kwa sababu watu wa kale waliamini?

Umeanza kwa kutaja fact halafu unazama kwenye lindi la hearsay.

Kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele, na elimu inavyozidi kuongezeka, ndivyo wasioamini kuwepo kwa mungu wanavyozidi.

Jumapili nilienda kuangalia Super Bowl Boulevard na michezo theatres za Time Square hapo, mchana nikapata lunch, restaurant niliyoingia zamani ilikuwa kanisa. Watu wameibadilisha imekuwa Italian restaurant. Umekaa kwenye restaurant unaona michoro ya kanisa pamoja na stained glasses zile.

Nikaona duh, watu hawa wazungu waliotuletea hii dini wenyewe washaona makanisa hayana deal. Nikakumbuka another time napita Wall St, kwenye exchange pale, nakutana na mhubiri wa Ki Nigeria anawahubiria Wamarekani wanampita kama hana akili nzuri. Reverse evangelism flow, safari hii Waafrika ndio wanaenda kuhubiri Ulaya na Marekani!

Sisi mpaka leo tunang'ang'ania dini na mungu.

Inaelekea wewe unawahusudu wazungu sana sasa inawezekanaje hao wazungu wako hapo Wall street waliompita mnaigeria wanakuja kumfuata tena mnaigeria kwa garama zao huko Nigeria.

waangalie.


Body Poison Healing | TB Joshua | Mr David ( French) - YouTube

TB Joshua en français -- Guérison de poison du corps - YouTube

Cancer Comes Out Immediately After Prayer!! - YouTube

Watch TB Joshua - Neck Back Ulcer Healed After Prayer - YouTube

I LIVE IN HELL: Satan's Senior Demon Exposed!!! - YouTube

TB JOSHUA:Are You Looking For Solution? - YouTube

The Man At The Beautiful Gate | Crippled Man Walks Instantly | TB Joshua - YouTube

50 Bullets In His Leg... - Clip From The Early Ministry of Prophet T.B. Joshua - YouTube

Anus Cancer Deliverance & Miracle Healing Testimony Sunday 13 Oct 13 Emmanuel TV Prophet TB Joshua - YouTube
 
Ameshakuwa Atheist celeb kila mtu anamjua? dah!

Haha, nimecheka sana, baada tu ya hii comment yako jamaa kweli kaja na akaanza ubishi.. Huyo ni Atheist anayeamini sana science huku hata science yenyewe hayuko deep
 

Huja prove kuwapo kwa mungu bado, wazungu hawako beyond bias and ignorance, so "wazungu" alone is not an argument. You have to demonstrate your point.

Ningekuwa nawahusudu sana wazungu ningepigia debe dini iliyoletwa na wazungu.

Look who is talking!

By the way, kufikiri kwamba "atheism" ni uzungu ni kuonesha kukosa elimu katika mambo haya, whole societies in Asia were atheist hundreds and even thousands of years before the conventionally accepted birth of Jesus.

And some still maintan that stance todate, en masse.

Most African traditional beliefs are more akin to mysticism than theism, a big distinction where the question of the Abrahamic godhead is concerned.
 
Huja prove kuwapo kwa mungu bado, wazungu hawako beyond bias and ignorance, so "wazungu" alone is not an argument. You have to demonstrate your point.

Ningekuwa nawahusudu sana wazungu ningepigia debe dini iliyoletwa na wazungu.

Look who is talking!
Me ndo nimekuuliza swali unatakiwa unijibu.
Even though hiyo imani yako ya Atheism nani kaianzisha.
 
Back
Top Bottom