History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

maswali kama haya uantakiwa uanze kwenye vitu ambavyo vinakuzunguka wewe kila siku na usijue namna ya kuvijua!!

wewe nyani unakubali kabisa kuna UHAI!
Hebu tuambie sasa, Huo uhai ni nani? na uko wapi? na ukoje?

pili wewe nyani unakubali kabisa kuna KIFO!

Hicho kifo na nani? Kiko wapi? na Kikoje?

tatu we Nyani unaamini kuwa Kuna busaram na hasira, na furaha!

Tusaidie kutuonyesha hivyo nilivyotaja hapo juu ni nini? na viko wapi? na vikoje?

Ukinionyesha hayo hapo juu na mimi NTAKUJIBU SWALI LAKO moja kwa moja!

Haya mr pretender! knock yourself out!

Acha longolongo wewe. Weka ushahidi wa uwepo wa mungu hapa.
 
]Uwepo wake nani? Na yupo wapi huyo ambaye yupo[/B]?



Mungu ni nani? Yuko wapi? Yukoje?


maswali kama haya unatakiwa uanze kwenye vitu ambavyo vinakuzunguka wewe kila siku na usijue namna ya kuvijua!!

wewe nyani unakubali kabisa kuna UHAI!
Hebu tuambie sasa, Huo uhai ni nani? na uko wapi? na ukoje?

pili wewe nyani unakubali kabisa kuna KIFO!

Hicho kifo na nani? Kiko wapi? na Kikoje?

tatu we Nyani unaamini kuwa Kuna busaram na hasira, na furaha!

Tusaidie kutuonyesha hivyo nilivyotaja hapo juu ni nini? na viko wapi? na vikoje?

Ukinionyesha hayo hapo juu na mimi NTAKUJIBU SWALI LAKO moja kwa moja!

Haya mr pretender! knock yourself out!


Acha longolongo wewe. Weka ushahidi wa uwepo wa mungu hapa.


Nilidhani najadili na mtu mwenye kutumia kichwa kufikiri! i guess i was wrong!!

I always believe NYANI never evolve! YOU JUST PROVE IT TO ME!

Thanks.
 
hasason mgonjwa, chongchung Mayombo
Hebu mukuje huku maana ninyi ndio mliianzisha hii Mada sasa mmeikimbia
tukiwaambia ni watoto wadogo na kielimu (sio ya darasani ni kimaisha) hamna lolote
sasa kaka zenu na Babu zenu hapa wameshaandikiwa barua mpaka na MUNGU!!! Teh teh teh

usiku huu sina mbavu
Mungu mwenyewe kaniandikia.
Kha! yaani hapa ni ujanja ujanja, kujuwa kwingi na ku kwepa kwepa maswali ya wengine.
Mi mwenyewe naona kama jamaa ameanza kutojielewa sasa hata yeye mwenyewe

Mkiuanzisha uzi mjue na kuusaport hii ndio JF
SIO Blah Blah na miungu ya ma Pyramids
 
Last edited by a moderator:
don't you know "work" is my middle name!?

Kaka kahtaan achana na hawa watu kabisa, wanachotaka hawa wamjue Mungu kama Mjomba wao. wawe na uwezo wa

kucheza naye na mambo mengine.Una mambo mengi ya kufanya kaka hawa ni wajinga tu. Kama kufiikisha

umeshafikisha. Binaadamu unasema Mungu humjui wala humuamini, hii inamaana miujiza yote iliyofanywa na mitume

(Saleh,Issa, Musa nk) ilikuwa sio kweli. Hawa ni sawa na kina Abu Jahl waliotaka kuona milango ya mbingu ikifunguka

ndio waamini. Ona hii, Huku kwetu kuna mtu alienda kusoma urusi aliporudi akawa na imani ya hawa kina kiranga. Lakini

baadae sijui kilitomkea kitu gani akawa mchamungu mzuri sana khamsa swalawati kabisa.
 
Kwa mtazamo wangu hawa akina kiranga wanafahamu uwepo wa mungu,wanachofanya wao ni mzaha,kama kweli hawaami uwepo wa mungu alie waumba basi kuanzia leo wasilale,wasile,wasiende haja chooni,wakiweza kufanya vitu hivyo hapo juu kwa muda wa wiki 1 basi itakuwa hakuna aliewaumba bali wamejiumba.
 
What went wrong in bracket! Mr know it all??

We huna elimu na kiwango chako cha kujenga hoja ni kidogo mno!

Maji yakifika shingoni always unapindisha mada kwa kutafuta typing errors au spelling mistakes!
As if baba yako anaitwa mr johnson.!

Na huo ni utumwa wa kiakili!
Jitu zima unakuja jukwaa na kuanza kijitangaza eti ulienda pata lunch karibu na Time square!

We mbeba box ukale lunch time square! Teh teh teh teh!

I! Mzaramo wa msata leo kaona ulaya. Maskini anatukana mpaka wazee wake! Na kuwaambia hadharani kuwa WALIKUWA WAJINGA! Na wamekufa na Dhana ya kuwa kuna Mungu! Kwa hivyo wao ni wajinga wasio na akili.


We ungekuwa na elimu ungejiita KIRANGA? ukifahamu ukifahamu kuwa maana yake ni "MANYEGE"?

Na ukisemacho ni kweli kabisa.!

Kila unapoongelea "mungu" nashindwa kumuelewa ni yupi hasa unaemtaja hapo..

Mimi always namuongelea "M"ungu.

Na nnapojadili na yyt kuhusu Mungu napendelea watu wenye elimu!
Na sio viruka njia wasiojua asili zao. Na wasio kuwa na haya mpaka inafikia kuwakashifu wazazi wake waliomzaa!

Kasome kwanza ndio uje kujadili kuhusu MUNGU!
otherwise stick of what you know best!
And that is .....mhhhh! NOTHING!!

Hahahshahaaaaaaaaaa! teh teh teh teh uuuuuuuuuwwwwwwwwiiiih! duh!!!!!!
 
Na kumjua maana yake ni kwamba yupo, au siyo?

Na kama kuna watu wanamjua maana yake ni kwamba wanaweza kutuonyesha siye wengine ambao hatumjui, siyo?


Kujua is a relative term. 1.) Kuna vitu tunavijua kwa sababu vinaeleweka 2.) Kuna vitu tunavijua kwa sababu tunaamini walioelewa 3.) Kuna vitu tunafikiri tunavijua lakini hatuvijuhi 4.) Kuna vitu tunaelewa kuwa hatuvijuhi 5.) kuna vitu vinajulikana lakini hatuvijuhi.
 
Kujua is a relative term. 1.) Kuna vitu tunavijua kwa sababu vinaeleweka 2.) Kuna vitu tunavijua kwa sababu tunaamini walioelewa 3.) Kuna vitu tunafikiri tunavijua lakini hatuvijuhi 4.) Kuna vitu tunaelewa kuwa hatuvijuhi 5.) kuna vitu vinajulikana lakini hatuvijuhi.

Hahahaaaa...naona umeamua kuacha kujibu maswali yangu na badala yake umeamua kutoa onyesho la tap dancing!
 
Mimi nina mfano mmoja na mdogo sana kuwa Mungu yupo nenda kwenye ufukwe wa bahari uone uzio una kinga maji ya bahari hata iwe imechafuka vipi lakini maji yakifika kwenye ukingo ambao Mungu alisema hapa ndo itakuwa mwisho na utarudi na hakika ndivyo inavyo kuwa.

Hujui kuwa maji huwa yanapitiliza mpaka nchi kavu kwa jina la Kimbunga cha baharini??
 
Hahahaaaa...naona umeamua kuacha kujibu maswali yangu na badala yake umeamua kutoa onyesho la tap dancing!

Kwikwikwi. Hapana mkuu. Nauangalia mjadala huu kutoka angle nyingine kabisa. Kwa upande wangu kutomjua mungu haina maana kuwa mungu hayupo. Vilevile kumjua mungu haina maana kuwa mungu yupo kwa sababu mungu unayemjua wewe na mungu wa watu wengine anaweza kuwa tofauti.

Kwa mfano wamasai wanaamini mungu mmoja. Mungu huyu kawapa wamasai ng'ombe na watu wa makabila mengine wameiba ng'ombe kutoka kwa wamasai. Hivyo ni haki ya mmasai kurudisha ng'ombe kutoka kwa watu wa makabila mengine. Kwa mawazo ya mmasai, msukuma ana haki ya kumiliki ng'ombe.

Mzee wa kimasai akitoa somo hili kwa wajukuu wake wataamini na kufikiri kuwa wanajua.
 
kijana mwenye ukakasi kama Ukwaju, Tatizo lako wewe na huyo mwenzako Kiranga ni Elimu ndogo! na bahati mbaya mnajifanya MNAJUA!

Na hili ndio tatizo linalowakuta wengi mno wa namna yenu!


Nadhani nimeshatoa darasa huko nyuma kuhusu KUWEPO KWA MUNGU! Na nikarudia mara kwa mara kuwafahamisha kanuni za kujua Mambo kama hayo. na hapa NTARUDIA TENA, manake mwalimu hachoki kufundisha.!

Mantiki ya dhana ya Mungu


Swali langu la kwanza kwenu nyie litakuwa: "Ni nini maana ya Mungu ?" Kwa mtu kusema hakuna Mungu, Unapaswa kujua nini maana ya Mungu.

Kama mimi nikishikilia kitabu na kusema kwamba 'hii ni kalamu', kwa mtu Mwingine kusema, 'Hio si kalamu', anapaswa kujua ufafanuzi wa kalamu ni KITU GANI, hata kama yeye hajui wala uwezo WA kutambua kitu hicho kilichoko katika mkono mwangu hana! Kwa yeye kusema hii si kalamu, anapaswa angalau kujua japo MAANA YA kalamu.

Vile vile kwa WEWE au hao wasio na elimu kina Kiranga kusema 'hakuna Mungu', mnapaswa angalau kujua JAPO MAANA ya Mungu. NA Dhana ya kuwepo Mungu itakuwa inatokana na mazingira mnayoishi nyie wenye kupinga kuwepo kwake.


Kila kitu ktk Huu ulimwengu ili wewe na mimi tupate kukijua au kukielewa au kukitekeleza basi lazima tufuate KANUNI YAKE.MAALUM !

na KILLA KITU KINA KANUNI.

Ntakupa mifano hapa!

1. UKITAKA UGALI lzm upate UNGA NA ukitaka unga sharti utwange au usage nafaka, na ili upate nafaka sharti upande mbegu kwenye ARDHI YENYE RUTUBA.

2 UKITAKA KUFAHAMU jumla ya namba, mfano 2 na 2 zinakuwa ngapi! basi sharti UTUMIE HESABU, LA SI HIVYO HUWEZI KUPATA JIBU.

3. Na ili wewe Ukwaju na huyo Kiranga mpate nguvu ya kuja hapa jukwaani kutumwagia mapovu, basi LAZIMA MLE CHAKULA! na msipokula HAMTOPATA NGUVU, na matokeao yake mtapoteza maisha!

SASA Kutokana na mifano hio michache hapo juu, ntajaribu kuwafundisha KANUNI IPI IFUATWE ILI MUWEZE KUMFAHAMU MUNGU NI NANI!

Naomba nikufahamishe kitu kimoja. kama mjuavyo kuwa MIMI NI MUISLAMU. Na ntajaribu kukuelimisheni kupitia ISLAMIC CONCEPT OF WHO GOD.

Kabla ya Kukimbilia kujiuliza MUNGU NI NANI, AU YUKO WAPI n.k Sharti tujiulize JE! NI NANI ALIYENIAMBIA MIMI KUWA KUNA MUNGU??

Manake kila mwenye imani ya KUWEPO KITU CHOCHOTE, Basi kuna chanzo ambacho Kimelezea kuwa Kile kitu au sehemu kuwa ipo, au kipo!

Tulipoambiwa kuwa ULIMWENGU WETU NI MDUARA WA umbo la yai! Cha kwanza tulichofanya ni kujiuliza je! nani kayasema haya?? na je! wana credibility gani hao waliosema hayo?? na baada ya kuwasoma hao wanasayansi na kuangalia ni namna gani wameelezea huo ugunduzi wao, Basi kwa kutumia AKILI ZETU pamoja na utafiti wa namna tofauti Tukaja kwenye HITIMISHO KUWA KWELI DUNIA YETU INA UMBO KAMA YAI!

Sasa kwa mimi Muislamu, Sehemu ilionifahamisha kuwa MUNGU YUPO NI QURAAN. Kitabu ambacho kwa mujibu wa HISTORIA kinadaiwa kuwa ni maneno ya MUNGU yaliopitia kwa Mtu mmoja aitwae MOHAMMAD IBN ABDILLAHI{s.a.w} aliyezaliwa huko bara ARAB miaka 1500 na kidogo iliyopita!ambae alidai kuwa yeye ni MTUME WA MUNGU!

Sasa kwa kufuata ile KANUNI ya UHAKIKI jambo la kwanza ni KUFANYA UPEKUZI WA KINA KUHUSU HIO QURAAN,!JE!HIO QURAAN KWELI NI MANENO YA MUNGU??

Tukisharidhika na hilo, Then SIDHANI KAMA TUTAKUWA NA HAJA YA KUCHUNGUZA MENGINE ZAIDI, manake kama tukiridhika na hilo, moja kwa moja tutakubali kuwa KILA LISEMWALO HUMO LITAKUWA LIMETOKA KWA HUYO AMBAE tunajiuliza kama yupo, au hayupo.

LKN kama pia hukuridhika sana unaweza pia Kumchunguza huyo MUHAMMAD! JE ni kweli anachodai KUWA YEYE NI MTUME??

Sisi binaadamu wa sasa ambao Tumebahatika kuishi ktk karne ya sayansi na teknologia mambo yetu mengi tumekuwa tukitumia KANUNI za kisayansi ktk KUYAHAKIKI.

imefikia kipindi sasa hata ile nyanya pia tunatumia kanuni za sayansi ili tujue faida zake na hasara zake.

SASA BASI, Hebu tujaribu KUTUMIA KANUNI HIZO HIZO kutazama UWEZEKANO WA HIO QURAAN KUWA NI KITABU AU MANENO YA MUNGU.

Nadharia{kanuni} ya uwezekano au THEORY OF PROBABILITY.


Katika hisabati kuna nadharia inayojulikana kama ' nadharia ya uwezekano .Ambayo inakwenda kama hivi.

Kama una chaguzi mbili, ambayo moja ya SAHIHI, na moja ni SI sahihi, nafasi ya kuwa wewe utachagua moja sahihi ni nusu , yaani mmoja kati ya wawili watakuwa sahihi . Una 50 % nafasi ya kuwa sahihi.

Vile vile kama wewe utarusha sarafu juu, na ukaamua kuchagua upande wowote, nafasi ya wewe kuwa sahihi ni 50% (1 nje ya 2 ), yaani 1/2.

Kama utarusha sarafu mara ya pili, nafasi ya wewe kuwa utakuwa sahihi mara zote mbili INAPUNGUA KWA NUSU TENA yaani (1/ 2 x 1/2) ambayo ni sawa na 1/4 yaani 50% ya 50% ambayo ni sawa na 25%.

Kama utarusha sarafu mara ya tatu, nafasi ya wewe kuwa utakuwa ni sahihi mara zote tatu inapungua tena na inakuwa ni (1/2 x 1/ 2 x 1/2) kwamba ni 1/8 au 50% ya 50% ya 50% kwamba ni 12 ½% .



mfano wa pili wa nadharia ya UWEZEKANO.

Ukichukua kete yenye pande sita . Kama ukitupa kete na ukadhani idadi yoyote kati ya 1 hadi 6, nafasi ya kuwa dhana yako itakuwa sahihi ni 1/6 . Kama utatupa kete mara ya pili, nafasi ya wewe kuwa sahihi katika mara zote mbili ni (1/6 x 1/ 6) ambayo ni sawa na 1/36 .

Kama utatupa kete mara ya tatu, nafasi ya wewe kubahatisha mara zote tatu na ukawa sahihi ni (1/6 x 1/ 6 x 1/6) ni sawa na 1/216 ambayo ni chini ya 0.5%.






Hebu sasa TUIINGIZE HII nadharia hii ya uwezekano KTK Qur'an , na tudhani tu kuwa MOHAMMAD ALIBAHATISHA taarifa zote zilizotajwa katika Qur'an ambayo ilikuwa haijulikani wakati huo.

Hebu tujadili uwezekano wa kubahatisha kwoote huko KULIKO TAJWA ndani ya QURAAN kulikuwaje wakati huo huo kuwa sahihi mara ZOTE?? .



1.Wakati Qur'an ilinafunuliwa , watu walidhani dunia ilikuwa TAMBALALE, kuna chaguzi nyingine kadhaa kwa ajili ya kuitafakari sura ya dunia. wengine walisema Inaweza kuwa pembe tatu, inaweza kuwa quadrangular , pentagonal , hexagonal, heptagonal , octagonal , spherical, nk na kule kudhani kwao kuhusu sura na umbo la dunia kulikuwa na chaguzi mbalimbali 30.

Qur'an imeeleza Sawa sawa 100% kuwa Dunia ni spherical, ikiwa ni dhana peke yake basi nafasi ya dhana hii kuwa sahihi ni 1/30 .



2. Mwanga wa mwezi unaweza kuwa mwanga wake mwenyewe au mwanga unao akisi .

Qur'an imesema Sawa Sawa kuwa ni mwanga ulio akisiwa. Kama ni dhana peke yake , basi nafasi ya kuwa itakuwa ni sahihi ni 1/2.

na uwezekano kwamba quraan imeweza KUBAHATISHA vyote hivyo, yaani nchi ni spherical na mwanga wa mwezi ni mwanga yULIOAKISIWA ni 1/30 x 1/ 2 = 1/60 .



3. Zaidi ya hayo, Qur'an pia anataja kila kilicho hai chanzo chake ni MAJI. . Kila kilicho hai Kinawezakana kuwa na vyanzo vingi kama miti, mawe, shaba, aluminiam, chuma, fedha , dhahabu , oksijeni, nitrojeni, hidrojeni, mafuta , maji, saruji, , nk chaguzi hizi tumejifunza ktk HISTORI zimetajwa chaguzi zaidi ya 10,000.! ambazo watu walidhani ni nini chanzo cha UHAI.

Qur'an Sawa Sawa inasema kwamba kila kitu kilicho hai Basi CHANZO CHAKE NI maji. Kama ni DHANA nafasi ya kuwa itakuwa ni sahihi ni 1/10, 000.

na uwezekano wa Quraan KUBAHATISHA VYOTE VITATU yaani nchi ni spherical, mwanga wa mwezi ni mwanga ULIOAKISIWA na kila kitu KILICHO HAI Kitokana na maji kuwa sahihi ni 1/30 x 1/2 x 1/ 10, 000 = 1/ 60, 000 ambayo ni sawa na kusema 0.0017 %.



Qur'an inazungumzia kuhusu mamia ya mambo ambayo hayakujulikana kwa Mtu yoyote wakati wa ufunuo wake na tunashuku MUNGU leo sayansi imetusaidia kuyaona yale YALIOTAJWA KTK QURAAN MIAKA ZAIDI YA 1500 ILIOPITA!!.

The quraan speaks about hundreds of things that were not known to men at the time of its revelation. Only in three options the result is 0.0017!

i leave it up to you Ukwaju along with your partner Kiranga to work out the probability if all THE HUNDREDS OF UNKNOWN FACTS WERE GUESSES, The chances of all of them being guesses simultaneously and there being NOT A SINGLE ONE HAPPEN TO BE A WRONG GUESS.

It is beyond HUMAN CAPACITY to make all correct guesses without a single mistakes.

which itself is SUFFICIENT TO PROVE TO A LOGICAL PERSON THAT THE ORIGIN OF QURAAN IS DEVINE.



SASA bwana Ukwaju na huyu anaepinga MUNGU bila elimu Kiranga.
KAMA MMELEWA HILO SOMO HAPO JUU.

Tutaendelea na darasa la pili. na kama unaswali unakaribishwa kuuliza.


cc Polite Mipangomingi wabara Khawarizm Ngongoseke Ritz THE BIG SHOW Mdau35 mfumo


Shukran sana
 
Ukisoma huu mtiririko wa majibishano ya hoja kwenye hii thread haishangazi kuona kwa nini sehemu nyingi za ibada katika nchi zilizoendelea ( Nchi za Magharibi) zinageuzwa kuwa migawaha na vilabu huku wananchi wanaoishi nchi za 'dunia ya tatu' wakigeuza majengo ya shule kuwa sehemu za ibada.

Tunaishi kwa misingi ya imani na hiyo imani imetufunga kuutafuta ukweli ndani ya evidence kwa sababu kufanya hivyo katika macho ya imani utakuwa 'unakufuru' (kumkosea Mungu).

Imani zimetujenga katika misingi ya kutokuuliza na hata ukiuliza sana, unaishia kubezwa na kutukanwa kama njia ya kukunyamazisha katika hoja yako. ndiyo yale yale ya 'You're either with us, or against us'.

Mtu kama hajui dawa yake ni kumwelimisha na katika kumwelimisha, lazima ulete vidhibiti vya kudhibitika kwa kile unachomwelimisha.

Imani zetu za dini kuhusu uwepo wa Mungu zimetufunga ili tuzitoke nje ya maandiko na kuanza kuyatingisha kuona kana yanajitoshereza katika ukweli. haishangazi Mtu akiulizwa uwepo wa Mungu anachofanya ni kukupa vifungu vya Biblia au Quran kama ndiyo jibu.

Socrates alishawahi kusema, The more you know, the more you realize you know nothing.
 
Back
Top Bottom