Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
Na ndo maana mungu katupa akili ya kujua zuri na uovu bila hvo bsi wote tungekuwa wanyama kwann hufikirii kuwa wanyama hawana akili na sisi binadamu tunazo na tukaambiwa hili baya na hili zuri so is up to you to decide which path are you going to take...
Uhusiano kati ya kufa na pumzi kukatika ni kwamba pumzi ikikatika damu inakosa oxygen na rigor mortis ina set in. You don't need a soul there.
Umesoma mental conditions zote na kuzimaliza?
Hata hujaelewa swali unasema umelijibu mara kibao.
Wewe swali unalotaka kulijibu ni lile la kwa nini kuna maovu. Kwa mfano, kwa nini mungu anaachia watu wanakufa kwa UKIMWI. Explanation yako ni kwamba watu wenyewe ndio wanaofanya zinaa.Na hivyo ndio wanaojisababishia UKIMWI (ingawa hata hili jibu halitoshi, kwa sababu kuna watoto wadogo wanazaliwa na H.I.V bila ya kufanya zinaa yoyote)
Kwa hiyo tunaona kwamba, ingawa swali ulilojibu si nililouliza, hata hilo ulilojibu halijibu swali uliloamua kulijibu kikamilifu.
Umesema maovu ni matokeo ya matendo yetu, wakati wengine wanapatwa na maovu kabla hata hawajapata akili ya kutenda maovu wao useme yamewarudia kutokana na matendo yao.
Mtoto mdogo anapopatawa na mabaya anapatwaje na mabaya kwa makosa yake?
Lakini kama nilivyosema mwanzo, hili swali, ingawa umeliboronga, si lile nililouliza.
Swali nililouliza ni, je, pale mungu alipokuwa anauumba ulimwengu huu, kwa kuwa yeye ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na mwenye upendo wote, kwa nini hakuuumba ulimwengu ambao hauruhusu mabaya, hauruhusu maovu, kiasi kwamba hata huyo binadamu mnayemlaumu kwamba mabaya yanampata kwa sababu yeye anafanya mabaya asiweze kufanya mabaya in the first place?
Kwa sababu ukifikiria sana haya mambo, utajiuliza kwa nini binadamu anafanya mabaya?
Utasema, anafanya mabaya kwa sababu mbalimbali, malezi, DNA, ujinga, shetani etc. Kwa mujibu wa mapokeo yenu mnamuweka mbele sana shetani kama baba wa ubaya.
Lakini swali linakuja, huyu shetani katokeaje? Kajiumba mwenyewe au kaumbwa na mungu?
Kama kajiumba mwenyewe basi mungu si muumba vyote na muweza yote.
Kama kaumbwa na mungu, basi mungu ndiye katuletea huyu shetani, na alimjua atakavyokuwa hata kabla hajamuumba, kwa sababu kwa mujibu wenu mungu anajua yote.
Sasa kwa nini alikubali kumuumba huyu shetani wakati akijua kwamba huyu shetani ataleta mabaya duniani?
In fact I will go a step further back.
Kwa nini mungu, kabla ya kumuumba shetani, aliumba ulimwengu ambao shetani na mabaya yote yanayowezekana kufamnyika leo, yawezekane?
Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao zinaa na UKIMWI haviwezekani?
Alishindwa au hakutaka tu?
Kama alishindwa, basi si muweza yote.
Kama aliweza ila hakutaka tu, basi hana upendo hivyo, kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu usio na mateso, lakini hakuutumia.
Kwa nini huyu mungu wenu alipokuwa anaumba ulimwengu hakutaka kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kufanyika?
Humu wengi tunapata darasa hata kama hatuchangii.
Ukiangalia huu mtanange unapata jibu lilelile la siku zote kuwa:
Wanaoleta USHAHIDI wa uwepo wa mungu wanatoa majibu mepesi kwenye maswali magumu.
Kwa vyovyote vile hamuwezi kuthibitisha uwapo wa mungu kwa kutumia njia ya imani.
Ni bora mkakubali kuachana na hiyo mijadald make najua kiranga na timu yake hata mkiwapeleka mahakamani kwa ushahidi wa hoja zao bado watawashinda.
Na kwann umeng'ang'ania kusema huyu mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya na maovu yanaweza kufanyika kwani neema zake huzioni na ktk ulimwengu huo unaousema mbna yako mazuri kibao yanafanyika nakushauri nenda kasome Qura'n sio kwa kusoma tu bali uielewe ni ushauri tu.
We unawababaisha hao hao maswali yangu hujibu unakimbia tu....
kinachokufanya ukatae Mungu hayupo maneromango ni nini? Mungu ni nani mpaka asiwepo maneromango ? jibu logic hiyo
Wala hakuna utakachokikubali subir mauti tu.
kuingia kwenye ignore list kwangu si hoja...
you are not my breadwinner at all...
kwanini umweke mtu kwenye ignore list wakati una uwezo wa kujibu hoja?
Hivi mimi kuishi Tanzania ni sababu ya wewe kuhoji kwanini sipo Ethiopia?
Ukiuliza Mungu yuko wapi ukatajiwa then kuuliza kwanini yupo hapo na si kwingine huo
ni uoga wa kujibu swali ama hujui...
Nakuuliza tena kitu gani kinakufanya ukatae Mungu si kiranga?
Ukiniuliza kwanini Mungu Aliruhusu hiki na kile hilo si swali la juu ya uwepo wake bali ni juu ya
uwezo wake mbona logic simple kabisa inakushinda?
kumu ignore mtu si suluhu ya kujibu hoja kama una uwezo kwanini umu ignore? umemshindwa huyo schindler?
Nani kakwambia ni rafiki yangu? unajua ama unaamini?
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Unaleta hadithi.
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Hilo ndili suala la msingi, mengine haya si ya msingi.
Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.
Hujajibu swali.
Kwa nini karuhusu maovu kama uwezo wa kuzuia alikuwa nao, ujuzi wa kuzuia alikuwa nao na upendo wa kuzuia alikuwa nao?
Sitegemei mungu mwenye uwezo wote, ujuI wote na upendo wote afanye vitu bila kuvimaliza, sasa kwa nini kaumba ulimwengu ambao una mabaya na mazuri? Kama yeye ndiye epitomy ya uzuri, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?
kiranga usibishe tu kwakua umeamua kubisha hebu jali hoja za wenzio
nimekuuliza swali je kwanini wewe unasema Mungu hayupo? mbona kimya hapo?
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
Hilo ndili suala la msingi, mengine haya si ya msingi.
Tungebaki kwenye MADA zaidi (Historia inapingana na wanaosema HAKUNA MUNGU)Si dhani kama ulikuwa unazungumzia Mmea. Jaribu kubakia katika swali lako la mwanzo. Usiwe kama yule GOD HATER anaye ruka huku na kule na kukimbia madai yake mwenyewe.
Ndugu yangu huyu Kiranga hutamuweza mambo yake ni kama jina lake lilivyo; akiambiwa tangu ulimwengu uumbwe hadi leo hazijatimia siku saba kwa hesabu ya mbinguni anataka proof; akiambiwa jua linatumia maelfu ya miaka kuizunguka galaxy letu anataka proof. Mwanadamu yuko katika hali ya kufa exponentially( in this case an exponential decay of the form e[SUP]-x[/SUP]); hata kuwepo kwa dunia hii leo ni neema tu kwani Adamu alipaswa kufa siku ileile aliyokula tunda na dunia ingebaki ukiwa hata huyo Kiranga na ma atheist wake asingezaliwa. Kufa katika umri mdogo, kuugua, kutaabika bado ni neema tu kwa kuwa wote hao wasingekuwako na taabu hizo ndiyo process yenyewe ya kufa Adam exponentially. Tangu kuumbwa ulimwengu halijapita hata juma moja sasa haraka ya nini? mwenye kiwanda bado anaandaa mazingira muafaka ya kuyawezesha hayo Kiranga anayoyataka leoleo akidhani muda umepita sana na mambo haya ni ya kudumu daima dumu. Mwanadamu pale mwanzo aliishi miaka zaidi ya 900 sasa akifikisha 70 ni hatihati na itafika mahali mtu mzima atakuwa na umri wa miaka 14 analionaje hilo? si vyema tujue tu mwenye chake ataukomesha huu mfumo kabla haujawa kichekesho? mimi hadi leo sijaona wala kusikia angalau small bang inayomwaga mablackberry huko mitaani watu wanajiokotea lakini waliorukwa na akili wameng'ang'ana na mabangi yao hongera sana. Leo akiokota shilingi anajua haikuzuka imedondoshwa na mtu; lakini fikra yake inamwambia magaksi na magalaksi yaliyopo yameibuka tu hayana mwenyewe. Ujuha nao mali.yaani hapa ndo umenithibitishia kwamba wewe unachotaka ni ligi tu na sio kuelewa kwa hoja tunazokupa kuhusu uwepo wa mungu
sasa hivi nitakujibu mara ya mwisho,na sitokujibu tena maswali ambayo ulishaniuliza na nikakujibu vyema maana hata kama mwl sasa nachoka,kuhusu mungu kuruhusu ulimwengu wenye mabaya nishakujibu,existance ya shetani nishakujibu,kama mungu hajamuumba shetani na shetanai kajiumba mwenyewe so so mungu sio muumba wa vyote nishakujibu existance ya shetani na nikkwambia hata wewe ukiamua unaweza kuwa shetani
yaani katika maelezo yako yote hapa sijaona swali jipya ambalo sijakujibu yote umeyarudia kuhusu watoto ambao hawana makosa kuzaliwa na ukimwi,sio hoja ya maana hiyo ni kutokana na zinaa waliyoifanya baba na mama zake kama mama na baba wameona na wapo katika ndoa halali na hawatoki nje ya ndoa wanawezaje kuzaa mtoto mwenye ukimwi,yaani wewe uende kuzini na malaya mwenye ukimwi au na wewe upate ukimwi alafu uzae mtoto mwenye ukimwi umalaumu mungu kwanini karuhusu wewe uzae mtoto huyo mwenyeukimwi wakati hana maovu???,ni sawasawa na uwe na kipato cha chini alafu uzae watoto kumi kidogo alafu umalumu mungu kwanini anaruhusu watoto wale ambao hawana dhambi kukaa njaa(coz unashindwa kuwahudumia),kuishi maisha ya shida na wengine kufa alafu useme mungu muweza yote,mpenda wote hawapendi watoto wako.....
Kuhusu kufa na kukatika kwa oxygen hapo hapo , kipi kinaifanya pumzi ikatike?
Tungebaki kwenye MADA zaidi (Historia inapingana na wanaosema HAKUNA MUNGU)
Hii niliyoiongeza ya ROHO ipo siku yake nitakuelewesha zaidi kwani si viumbe vyote (mimea) vina ROHO
- Soul
- Spirit
The word "soul" can refer to both the immaterial and material aspects of humanity. Unlike human beings having a spirit, human beings are souls. In its most basic sense, the word "soul" means "life." However, beyond this essential meaning, the Bible speaks of the soul in many contexts. One of these is humanity's eagerness to sin (Luke 12:26). Humanity is naturally evil, and our souls are tainted as a result. The life principle of the soul is removed at the time of physical death (Genesis 35:18; Jeremiah 15:2). The soul, as with the spirit, is the center of many spiritual and emotional experiences (Job 30:25; Psalm 43:5; Jeremiah 13:17).
Hujajibu swali.
Kwa nini karuhusu maovu kama uwezo wa kuzuia alikuwa nao, ujuzi wa kuzuia alikuwa nao na upendo wa kuzuia alikuwa nao?
Sitegemei mungu mwenye uwezo wote, ujuI wote na upendo wote afanye vitu bila kuvimaliza, sasa kwa nini kaumba ulimwengu ambao una mabaya na mazuri? Kama yeye ndiye epitomy ya uzuri, kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?
Ndugu yangu huyu Kiranga hutamuweza mambo yake ni kama jina lake lilivyo; akiambiwa tangu ulimwengu uumbwe hadi leo hazijatimia siku saba kwa hesabu ya mbinguni anataka proof; akiambiwa jua linatumia maelfu ya miaka kuizunguka galaxy letu anataka proof. Mwanadamu yuko katika hali ya kufa exponentially( in this case an exponential decay of the form e[SUP]-x[/SUP]); hata kuwepo kwa dunia hii leo ni neema tu kwani Adamu alipaswa kufa siku ileile aliyokula tunda na dunia ingebaki ukiwa hata huyo Kiranga na ma atheist wake asingezaliwa. Kufa katika umri mdogo, kuugua, kutaabika bado ni neema tu kwa kuwa wote hao wasingekuwako na taabu hizo ndiyo process yenyewe ya kufa Adam exponentially. Tangu kuumbwa ulimwengu halijapita hata juma moja sasa haraka ya nini? mwenye kiwanda bado anaandaa mazingira muafaka ya kuyawezesha hayo Kiranga anayoyataka leoleo akidhani muda umepita sana na mambo haya ni ya kudumu daima dumu. Mwanadamu pale mwanzo aliishi miaka zaidi ya 900 sasa akifikisha 70 ni hatihati na itafika mahali mtu mzima atakuwa na umri wa miaka 14 analionaje hilo? si vyema tujue tu mwenye chake ataukomesha huu mfumo kabla haujawa kichekesho? mimi hadi leo sijaona wala kusikia angalau small bang inayomwaga mablackberry huko mitaani watu wanajiokotea lakini waliorukwa na akili wameng'ang'ana na mabangi yao hongera sana. Leo akiokota shilingi anajua haikuzuka imedondoshwa na mtu; lakini fikra yake inamwambia magaksi na magalaksi yaliyopo yameibuka tu hayana mwenyewe. Ujuha nao mali.
Historia hiyohiyo inasema kuwa mtu au mwanadamu alitokea kwenye wanyama yaani kwenye mcnyama aitwaye
nyani/tumbili hivyo alikuwa na kuongezeka na kisha kutoka ahatua ya nyani akawa mwanadamu mpaka sasa
ukiwaangalia nyani unaona kiakili wako kama watu kwani wanafanya mambo ya wanadamu
View attachment 141309