History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Sijamjua huyo mungu, ningemjua nisingekuwa na swali kumhusu yeye ambalo sina jibu lake.

Mimi kuwa na swali hilo kunaonesha kuwa simjui.

Apparently, hata wewe humjui, kwa sababu huna jibu.

Mimi niko open zaidi tu kukubali kwamba huyu mungu hayumkiniki.

Wewe unang'ang'ania kusema kwamba unamjua mungu ambaye humjui.

Ukiulizwa maswali unashindwa kuyajibu.
quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.

















Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
Hujajibu maswali.

Wewe unaye thibitisha vituko. Ooops,

ETI 4 + 2 = 42, hivi hiyo ni hesabu ya kuthibitisha kama unavyo dai wewe? Hivi ulikwenda hata la kwanza na kuelewa kuwa kuna aina kadhaa za hesabu? Muulize mwalimu wako wa chekechea atakwambia kuwa hiyo si hesabu ya kuthibitisha kama unavyo lazimisha wewe mpinga Mungu na mtoto wa Shetani. Jifunze hata hesabu kama umeshindwa kuelewa Mungu. Sasa unathibitishaje hesabu ya 4 + 2 = 42 katika bichwa lako? Hivi ulisoma hesabu za "TRUE" or "FALSE" au ni ile tabia ya dismiss syndrome ya Pundit na Bluray imekungia tena.

Jifunze kwanza hesabu yako ya 4 + 2.......
 
hii para ya kwanza umenimaliza ila nasisitiza mmea hauna roho (animals. Plants zote zina cells) na mungu ni roho uatakapofika kwenye utatu mtakatifu tutaongea sitaki kwenda huko kuamini ila hii yako

para ya pili ya kuthibitisha mungu yupo imeshaelezwa na jamaa yetu humuhumu kuwa akili tuliyonayo ni vigumu kutambua uwepo wake kwani hakuna aliyekutana naye au kuongea naye ila ni hadithi ambazo tanazukubali au kuzikataa ni mpaka hapo tutakapokufa.
(mfano mimi sijawahi kumuona hata katika ndoto, au kumhisi uwepowake majini au katika hewa il napambana na vinyamkkera na majini ambavyo ukivikemea kwa kutumia jina vinakimbia
kwa hiyo formula rahisi ya kuthibitisha ni pale utakapotoa ushuhuda
la sivyo ni urongo utapeli kwa jina la mungu - youtube kwa hisani na kahtaan

mh noma sana mku.
 
Huwezi kusema nimeishiwa mpaka unijibu maswali.

Zaidi ya hapo wewe ndiye utakuwa umeishiwa, kwa kuwa umeulizwa maswali hujayajibu.

Kwa nini mungu alipokuwa anauumba ulimwengu, aliumba ulimwengu ambao maovu na mabaya yanawezekana wakati uwezo wa kuumba ulimwengu usiowezekana mabaya na maovu anao?

Hujajibu swali hili.

Huwezi kusema nimeishiwa wakati swali langu hujalijibu.

We umeishiwa sio kidogo!
Mwanzo ulianza kukataa kuwepo Mungu kwa kuleta visababu vya kisayansi mbuzi!
Ulipobanwa kwenye kona! Na kutokana na elimu yako ilivyo ndogo, sasa umehamia kwenye MATUKIO!

Eti kwa nini kama Mungu yupo kwa nini kaumba ulimwengu wenye maovu!

Sasa ukabake wewe, ukaibe wewe, ukatapeli wewe, halafu umsingizie Mungu?!

We kweli una chochote ulichobakiza??

Na toka lini ukakaata kuwepo kwa "Being" au "Source" eti kwa sababu kuna vitu UNAVYO VIUONA WEWE KUWA SIO SAWA!

Hio ni sababu ya msomi kweli??

We umeishiwa! Na umefilisika mpaka hoja!

Wacha kujaribu kupoteza wajinga!

Utaingia ktk adhabu mbaya mno!
 
We umeishiwa sio kidogo!
Mwanzo ulianza kukataa kuwepo Mungu kwa kuleta visababu vya kisayansi mbuzi!
Ulipobanwa kwenye kona! Na kutokana na elimu yako ilivyo ndogo, sasa umehamia kwenye MATUKIO!

Eti kwa nini kama Mungu yupo kwa nini kaumba ulimwengu wenye maovu!

Sasa ukabake wewe, ukaibe wewe, ukatapeli wewe, halafu umsingizie Mungu?!

We kweli una chochote ulichobakiza??

Na toka lini ukakaata kuwepo kwa "Being" au "Source" eti kwa sababu kuna vitu UNAVYO VIUONA WEWE KUWA SIO SAWA!

Hio ni sababu ya msomi kweli??

We umeishiwa! Na umefilisika mpaka hoja!

Wacha kujaribu kupoteza wajinga!

Utaingia ktk adhabu mbaya mno!

Mungu ndiye kaweka parameters zote za ulimwengu.Yeye ndiye kauumba.

Sasa basi, pale alipokuwa anaamua kuweka parameters, kwa nini aliamua aweke parameters zinazoruhusu uovu na ubaya?

Kwa nini hakuweka parameters ambazo hazingeruhusu uovu na ubaya?

Hujajibu swali hili, unalikwepa tu.

Hakuna aliyelijibu swali hili mpaka sasa.
 
Mungu ndiye kaweka parameters zote za ulimwengu.Yeye ndiye kauumba.

Sasa basi, pale alipokuwa anaamua kuweka parameters, kwa nini aliamua aweke parameters zinazoruhusu uovu na ubaya?

Kwa nini hakuweka parameters ambazo hazingeruhusu uovu na ubaya?

Hujajibu swali hili, unalikwepa tu.

Hakuna aliyelijibu swali hili mpaka sasa.

Sasa ukishawekewa hayo unayoyadai hapo juu kwa Akili yako ndiko kuna prove nini!??

Unataka kusema kuwa binaadamu ambae hajakutana na na uovu au ubaya LAZIMA Akubali kuwa MUNGU YUPO??

We una reasons kama mtoto wa miaka mitano!

IQ yako kijana bado saaana!

Umeishiwa mpaka uwezo wa kufikiri!
 
Sasa ukishawekewa hayo unayoyadai hapo juu kwa Akili yako ndiko kuna prove nini!??

Unataka kusema kuwa binaadamu ambae hajakutana na na uovu au ubaya LAZIMA Akubali kuwa MUNGU YUPO??

We una reasons kama mtoto wa miaka mitano!

IQ yako kijana bado saaana!

Umeishiwa mpaka uwezo wa kufikiri!

Hujajibu swali.

Na kwa kutojibu swali, unachoniambia ni kwamba wewe unayesema unajua mungu yupo na mimi nisiyekubali kwamba mungu yupo wote hatuwezi kumuelezea huyu mungu.

Bora yangu mie siwezi kumuelezea kwa sababu simkubali.

Wewe unayemkubali, excuse yako ya kushindwa kumuelezea ni nini?

Kwa nini mungu alivyoumba ulimwengu hakuuumba uwe hauwezi kuwa na mabaya?

Mnasema uwezo alikuwa nao (ana uwezo wote) ujuzi alikuwa nao (ana ujuzi wote) na pia ana upendo kwa viumbe vyake (ana upendo wote).

Sasa imekuwaje akaumba ulimwengu ambao unaruhusu viumbe wake wateseke?

Wengine hata hawajui chakula watapata wapi, wengine wana magonjwa ya ajabu hata kupumua tu shida, wengine wanauana kwa ujinga tu (kwa jina lake yeye mungu).

Kwa nini mungu ambaye ana uwezo wote, ukiwa pamoja na uwezo wa kuumba ulimwengu usio na uovu kaumba ulimwengu huu uliojaa uovu?

Sijaona jibu la swali hili.

Na kama huwezi kujibu swali hili, wewe na mimi hatuna tofauti kubwa.Tofauti yetu ni kwamba mimi nakubali huyu mungu ha make sense, wewe hukubali hata unaposhindwa kujibu maswali basic kabisa.

Post yako ulivyoiandika hapo unaonekana huwezi hata kuelewa swali nililokuuliza linalenga nini.

Wewe ni kama yule samaki aliyeishi maisha yake yote ndani ya maji, hata ukimwambia "wewe unaishi ndani ya maji, huko nje kuna bara lina jangwa, jangwa ni sehemu ambayo haina maji" atakuangalia kama mwehu na kukuuliza "maji ndiyo kitu gani hicho?".

Hujaelewa hata swali nililokuuliza mantiki yake ni nini.

Swali dogo tu, huwezi kujibu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye maovu kama huu?

Baba wa kibinadamu tu, asiye ujuzi wote, uwezo wote wala upendo wote, anataka awafanyie wanawe mazuri kwa kadiri ya uwezo wake.

Huyu mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote kwa nini kaumba ulimwengu ulio chini ya standards za baba wa kibinadamu anayetaka mazuri tu kwa wanawe?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya na maovu yanawezekana?

Hujajibu swali.
 
Hujajibu swali.

Na kwa kutojibu swali, unachoniambia ni kwamba wewe unayesema unajua mungu yupo na mimi nisiyekubali kwamba mungu yupo wote hatuwezi kumuelezea huyu mungu.

Bora yangu mie siwezi kumuelezea kwa sababu simkubali.

Wewe unayemkubali, excuse yako ya kushindwa kumuelezea ni nini?

Kwa nini mungu alivyoumba ulimwengu hakuuumba uwe hauwezi kuwa na mabaya?

Mnasema uwezo alikuwa nao (ana uwezo wote) ujuzi alikuwa nao (ana ujuzi wote) na pia ana upendo kwa viumbe vyake (ana upendo wote).

Sasa imekuwaje akaumba ulimwengu ambao unaruhusu viumbe wake wateseke?

Wengine hata hawajui chakula watapata wapi, wengine wana magonjwa ya ajabu hata kupumua tu shida, wengine wanauana kwa ujinga tu (kwa jina lake yeye mungu).

Kwa nini mungu ambaye ana uwezo wote, ukiwa pamoja na uwezo wa kuumba ulimwengu usio na uovu kaumba ulimwengu huu uliojaa uovu?

Sijaona jibu la swali hili.

Na kama huwezi kujibu swali hili, wewe na mimi hatuna tofauti kubwa.Tofauti yetu ni kwamba mimi nakubali huyu mungu ha make sense, wewe hukubali hata unaposhindwa kujibu maswali basic kabisa.

Post yako ulivyoiandika hapo unaonekana huwezi hata kuelewa swali nililokuuliza linalenga nini.

Wewe ni kama yule samaki aliyeishi maisha yake yote ndani ya maji, hata ukimwambia "wewe unaishi ndani ya maji, huko nje kuna bara lina jangwa, jangwa ni sehemu ambayo haina maji" atakuangalia kama mwehu na kukuuliza "maji ndiyo kitu gani hicho?".

Hujaelewa hata swali nililokuuliza mantiki yake ni nini.

Swali dogo tu, huwezi kujibu.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu wenye maovu kama huu?

Baba wa kibinadamu tu, asiye ujuzi wote, uwezo wote wala upendo wote, anataka awafanyie wanawe mazuri kwa kadiri ya uwezo wake.

Huyu mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote kwa nini kaumba ulimwengu ulio chini ya standards za baba wa kibinadamu anayetaka mazuri tu kwa wanawe?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao mabaya na maovu yanawezekana?

Hujajibu swali.

Teh teh teh!

Unasema kila baba anataka mazuri kwa mwanae!
If that was the case baba Kiranga angemruhusu mwanae kwenda kuadhirika ktk ardhi za watu wenye kumlinganisha yeye na monkey!?

Na huyo baba Kiranga kama kweli alikuwa akikutakia mema tu wewe angekulea ktk malezi ya kihuni namna hio?

Sasa kama ni hivyo mkatae na huyo babako sasa!

Manake jitihada yake yote kakuza jitu ambalo hoja halina. Saana ni KUFURU TU za kuropoka na kuiga wazungu.
Soo much soo mpaka mtoto wa kiume anavaa herani na kulegeza suruali.
Hayo ndio malezi unayaita mazuri!

Yeye yuko kijijini msata! We unapiga box kwenye winter hii!?

Na mimi naliona penzi lake kwako!

Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh!

Unasema kila baba anataka mazuri kwa mwanae!
If that was the case baba Kiranga angemruhusu mwanae kwenda kuadhirika ktk ardhi za watu wenye kumlinganisha yeye na monkey!?

Na huyo baba Kiranga kama kweli alikuwa akikutakia mema tu wewe angekulea ktk malezi ya kihuni namna hio?

Sasa kama ni hivyo mkatae na huyo babako sasa!

Manake jitihada yake yote kakuza jitu ambalo hoja halina. Saana ni KUFURU TU za kuropoka na kuiga wazungu.
Soo much soo mpaka mtoto wa kiume anavaa herani na kulegeza suruali.
Hayo ndio malezi unayaita mazuri!

Yeye yuko kijijini msata! We unapiga box kwenye winter hii!?

Na mimi naliona penzi lake kwako!

Teh teh teh!

Hujaelewa swali, hujaelea analogy, unaelewa nini wewe?

Hata hufahamu tofauti ya idyllic "baba wa kibinadamu" na "kila baba".

Above all, mungu wako anatakiwa kuwa na uwezo, upendo, na ujuzi usio kifani.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kama huu tunaouona?

Hujajibu swali, unalikwepa tu.

Unaweza kujibu hili swali?
 
Na kwann umeng'ang'ania kusema huyu mungu kaumba ulimwengu ambao mabaya na maovu yanaweza kufanyika kwani neema zake huzioni na ktk ulimwengu huo unaousema mbna yako mazuri kibao yanafanyika nakushauri nenda kasome Qura'n sio kwa kusoma tu bali uielewe ni ushauri tu.
 
Na ndo maana mungu katupa akili ya kujua zuri na uovu bila hvo bsi wote tungekuwa wanyama kwann hufikirii kuwa wanyama hawana akili na sisi binadamu tunazo na tukaambiwa hili baya na hili zuri so is up to you to decide which path are you going to take...
 
Si kweli kwamba sina lolote.

Nina maswali ambayo hujayajibu.

Kwanza, thibitisha kwamba mungu yupo. In a logically consistent way.

Pili, nieleze imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi tunayoyaona yanawezekana kufanyika?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema sina lolote.

At the very least nitakuwa na maswali ambayo hujaweza kuyajibu.

swali la kwanza: Nimekwambia na watu wengi wamekwambia akiwemo Dr. Kahtaan ya kuwa kumjua Mungu ni kukubali

kuwepo kwa alama/ishara zake katika hii dunia yake na mifano mingi imetolewa sina haja ya kurudi.Hoja nyingi

zimetolewa lakini unasema hazijatosha, ndio pale ninaposema labda unataka umone! umshike ndio utajua kumbe kweli

mungu yupo, na hilo halipo.swali la pili: hii dunia ni ya MUngu hivyo, anafanya anachotaka yeye mwenyewe.Wala hakuna

ushauri wa bunge la katiba wala chochote akitaka kufanya maamuzi yake. Mbona wewe ukienda haja kubwa unatumia

makaratasi kuchambia na unayaacha maji, ni mwili wako mweyewe unafanya vile unavyoka. Sasa usishangae kuona

akiacha maovu yafanyike!Duniani hapa ni sehemu ya mtihani kwa wanaadamu na majini, atakaepasi mtihani huu atapata

uzima wa milele na atakefeli adhabu ipo.
 
swali la kwanza: Nimekwambia na watu wengi wamekwambia akiwemo Dr. Kahtaan ya kuwa kumjua Mungu ni kukubali

kuwepo kwa alama/ishara zake katika hii dunia yake na mifano mingi imetolewa sina haja ya kurudi.Hoja nyingi

zimetolewa lakini unasema hazijatosha, ndio pale ninaposema labda unataka umone! umshike ndio utajua kumbe kweli

mungu yupo, na hilo halipo.swali la pili: hii dunia ni ya MUngu hivyo, anafanya anachotaka yeye mwenyewe.Wala hakuna

ushauri wa bunge la katiba wala chochote akitaka kufanya maamuzi yake. Mbona wewe ukienda haja kubwa unatumia

makaratasi kuchambia na unayaacha maji, ni mwili wako mweyewe unafanya vile unavyoka. Sasa usishangae kuona

akiacha maovu yafanyike!Duniani hapa ni sehemu ya mtihani kwa wanaadamu na majini, atakaepasi mtihani huu atapata

uzima wa milele na atakefeli adhabu ipo.

Hujajibu swali.

Kama ni habari ya kusema tu, bila kufuata logic, rhume or reason, hata mimi naweza kukuambia mungu yupo na ni Kiranga.

Swali linakuja, kwa nini Kiranga awe mungu? Kitu gani kinamfanya Kiranga awe mungu?

Kiranga - pamoja na wale wote wanaosema Kiranga ni mungu- wakishindwa kujibu maswali haya kikamilifu, then hii habari nzima ya kwamba Kiranga ni mungu inakuwa hadithi tu.

Ndicho kilichotokea hapa.

Nimeuliza swali la kumhusu huyu mungu wenu.

Swali linaloonesha contradictions zinazomhusu huyo mungu weu.

Mnasema huyo mungu wenu ana uwezo wote, ana ujuzi wote na upendo wote.

Sawa, ningekuwa katika ulimwengu ambao hauna mabaya, mtu angeniambia ulimwengu huu umeumbwa na mungu ambaye ana ujuzi wote, upendo wote pamoja na uwezo wote (anybody acquinted with the basics of the philosophy of religion will understand why these three qualities are so central) ningeelewa.

Sasa mnaniambia mungu ana qualities hizi, nikiangalia ulimwengu nauona unam contradict huyo mungu.

Ukiwabana watu, wanamsingizia shetani.

Lakini huyu shetani katoka wapi? Si ni kiumbe tu wa mungu?

Au shetani ni mbia wa mungu na mungu hana nguvu juu yake?

Kama shetani ni mbia, basi mungu si muweza yote.

Kama shetani ni kiumbe tu, basi asipewe lawama zote, kwa sababu mungu alimjua kabla hajamuumba, na kwa kweli hata kabla shetani hajaumbwa mungu alishakubali ulimwengu wake uwe na uwezo wa kuwa na kiumbe kama shetani.

Swali.

Kwa nini mungu alipouuumba ulimwengu, alikubali ulimwengu wake uwezekane kuwa na mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuzuia hilo?

Sijajibiwa hili swali licha ya kuliuliza kama mara elfu sasa.
 
Hujajibu swali.

Kama ni habari ya kusema tu, bila kufuata logic, rhume or reason, hata mimi naweza kukuambia mungu yupo na ni Kiranga.

Swali linakuja, kwa nini Kiranga awe mungu? Kitu gani kinamfanya Kiranga awe mungu?

Kiranga - pamoja na wale wote wanaosema Kiranga ni mungu- wakishindwa kujibu maswali haya kikamilifu, then hii habari nzima ya kwamba Kiranga ni mungu inakuwa hadithi tu.

Ndicho kilichotokea hapa.

Nimeuliza swali la kumhusu huyu mungu wenu.

Swali linaloonesha contradictions zinazomhusu huyo mungu weu.

Mnasema huyo mungu wenu ana uwezo wote, ana ujuzi wote na upendo wote.

Sawa, ningekuwa katika ulimwengu ambao hauna mabaya, mtu angeniambia ulimwengu huu umeumbwa na mungu ambaye ana ujuzi wote, upendo wote pamoja na uwezo wote (anybody acquinted with the basics of the philosophy of religion will understand why these three qualities are so central) ningeelewa.

Sasa mnaniambia mungu ana qualities hizi, nikiangalia ulimwengu nauona unam contradict huyo mungu.

Ukiwabana watu, wanamsingizia shetani.

Lakini huyu shetani katoka wapi? Si ni kiumbe tu wa mungu?

Au shetani ni mbia wa mungu na mungu hana nguvu juu yake?

Kama shetani ni mbia, basi mungu si muweza yote.

Kama shetani ni kiumbe tu, basi asipewe lawama zote, kwa sababu mungu alimjua kabla hajamuumba, na kwa kweli hata kabla shetani hajaumbwa mungu alishakubali ulimwengu wake uwe na uwezo wa kuwa na kiumbe kama shetani.

Swali.

Kwa nini mungu alipouuumba ulimwengu, alikubali ulimwengu wake uwezekane kuwa na mabaya wakati alikuwa na uwezo wa kuzuia hilo?

Sijajibiwa hili swali licha ya kuliuliza kama mara elfu sasa.

We kiranga vipi!, nimesema hii dunia ni kwake anafanya atakavyo.
 
Na ndo maana mungu katupa akili ya kujua zuri na uovu bila hvo bsi wote tungekuwa wanyama kwann hufikirii kuwa wanyama hawana akili na sisi binadamu tunazo na tukaambiwa hili baya na hili zuri so is up to you to decide which path are you going to take...

Kama kweli mungu katupa akili sisi na kawanyima wanyama, kwa nini katupa akili sisi na kawanyima wanyama wakati wote ni viumbe wake?

Kwa nini hakuwapa wanyama akili kama sisi?
 
We kiranga vipi!, nimesema hii dunia ni kwake anafanya atakavyo.

Deus ex machina.

Hujajibu swali, umetoa jibu la mkato lisilo maelezo wala mantiki.

Ni sawa na mimi nisema "Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Ukiniuliza swali nikujibu "We mfumo vipi, Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Not convincing at all.
 
Deus ex machina.

Hujajibu swali, umetoa jibu la mkato lisilo maelezo wala mantiki.

Ni sawa na mimi nisema "Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Ukiniuliza swali nikujibu "We mfumo vipi, Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Not convincing at all.

Wala hakuna utakachokikubali subir mauti tu.
 
Deus ex machina.

Hujajibu swali, umetoa jibu la mkato lisilo maelezo wala mantiki.

Ni sawa na mimi nisema "Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Ukiniuliza swali nikujibu "We mfumo vipi, Kiranga ni mungu, anafanya atakavyo".

Not convincing at all.


We unawababaisha hao hao maswali yangu hujibu unakimbia tu....

kinachokufanya ukatae Mungu hayupo maneromango ni nini? Mungu ni nani mpaka asiwepo maneromango ? jibu logic hiyo
 
We unawababaisha hao hao maswali yangu hujibu unakimbia tu....

kinachokufanya ukatae Mungu hayupo maneromango ni nini? Mungu ni nani mpaka asiwepo maneromango ? jibu logic hiyo

Kwa nini Maneromango na si Masaki?

Nishakuuliza, hujajibu.

Unatafuta kuingia kwenye ignore list kama rafiki yako Schiendler.

Umeshindwa hoja unaleta viroja sasa.
 
Kwa nini Maneromango na si Masaki?

Nishakuuliza, hujajibu.

Unatafuta kuingia kwenye ignore list kama rafiki yako Schindler.

Umeshindwa hoja unaleta viroja sasa.


kuingia kwenye ignore list kwangu si hoja...

you are not my breadwinner at all...

kwanini umweke mtu kwenye ignore list wakati una uwezo wa kujibu hoja?

Hivi mimi kuishi Tanzania ni sababu ya wewe kuhoji kwanini sipo Ethiopia?

Ukiuliza Mungu yuko wapi ukatajiwa then kuuliza kwanini yupo hapo na si kwingine huo
ni uoga wa kujibu swali ama hujui...

Nakuuliza tena kitu gani kinakufanya ukatae Mungu si kiranga?


Ukiniuliza kwanini Mungu Aliruhusu hiki na kile hilo si swali la juu ya uwepo wake bali ni juu ya
uwezo wake mbona logic simple kabisa inakushinda?

kumu ignore mtu si suluhu ya kujibu hoja kama una uwezo kwanini umu ignore? umemshindwa huyo schindler?

Nani kakwambia ni rafiki yangu? unajua ama unaamini?
 
Back
Top Bottom