History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

Kwanini umeshindwa kuthibitisha Roho? Of course God is Spirit. Kama kuna Mbishi aje hapa anipe ushaidi kwanini Mungu sio Roho. That is how it works.
Zaidi ya hapo, hivi unaposema thibitisha kama Mungu yupo huwa unatumia formula gani?
Hii Para ya kwanza umenimaliza ila nasisitiza mmea hauna Roho (animals. Plants zote zina Cells) na MUNGU ni ROHO uatakapofika kwenye UTATU MTAKATIFU tutaongea sitaki kwenda huko kuamini ila hii yako
Mungu sio Roho.Of course God is Spirit.

para ya pili ya kuthibitisha MUNGU yupo imeshaelezwa na jamaa yetu humuhumu kuwa akili tuliyonayo ni vigumu kutambua UWEPO wake kwani hakuna aliyekutana naye au kuongea naye ila ni Hadithi ambazo tanazukubali au kuzikataa ni mpaka hapo tutakapokufa.
(mfano mimi sijawahi kumuona hata katika Ndoto, au kumhisi uwepowake majini au katika hewa il napambana na vinyamkkera na majini ambavyo UKIVIKEMEA KWA KUTUMIA JINA vinakimbia
kwa hiyo formula rahisi ya kuthibitisha ni pale utakapotoa USHUHUDA
la sivyo ni URONGO Utapeli kwa jina la Mungu - YouTube kwa hisani na Kahtaan
 
Recent is relevant in the context that I have argued your arguments with Jehovah Witnesses in the early nineties, wakakosa majibu.

Kubali.The argument form complexity is defeatist to any theist. Kwa sababu itataka mungu awe na muumba na muumba wake awe na muumba bila mwisho.

Iondoe hiyo argument tuendelee na nyingine.



Indeed ku copy and paste si issue, I will be the first one to tell you that there is nothing significantly new under and over the sun, hata huyo Erasto Mpemba aliyewaweka Watanzania kwenye ramani kwa kugundua "The Mpemba Effect" watu baadaye wakaja kuchunguza na kukuta Wagiriki kina Aristotle walishaandika hayo. Hiyo basis ya string theory imepatikana katika margins za vitabu vya zamani. Edgar Allan Poe aliandika kuhusu habari za black holes kabla hata ya kuwepo kwa Hubble Observatory.

Tatizo si kwamba ume copy paste tu, tatizo ume copy paste vitu vinavyo jicontradict, inaonekana wewe uliye copy na huyo aliyeandika wote hamuelewei mnasimama wapi.

Is matter/ energy neither destroyed nor created or has the universe a beginning?

You can't have both arguments! One is the direct negation of another.




Asante kwa kukubali.

Unaona jinsi gani uliyem quote alivyo na mapungufu sasa?

Inabidi ukubali hivyo hivyo kwenye hoja ya complexity.




Siwezi kukupigia kimya wewe leo wakati nishasema kitambo hapa kwamba sikubali uwepo sio tu wa mungu, bali wa any supernatural entity.

kwa hiyo hilo linajumuisha roho, mungu, shetani, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc.

As long as ni super natural entity.




Obviously hujanisoma. Again, you are late to this party.

Sitaki kuamini, nataka kujua. I am not interested in kuamini, kwa sababu kuamini hakuna sheria. Unaweza kuamini chochote ilimradi huvunji sheria. Kuna maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhakikisha kila mtu ana haki ya kuamini anachotaka kati9ka mambo haya.

On that note, nataka waamini wajue kwamba mimi siwaandami wao. Mimi naongelea falsafa ya dini, si imani. Naongelea ujuzi.

Ndiyo maana mtu akiniuliza "unaamini kuna maisha baada ya kifo", response nzuri kwangu si kufupisha mjadala na kusema "naamini" au "siamini".

Nauliza, kwa uthibitisho na ushahidi gani?

Maana naweza kuwa sijapata uthibitisho wa kukidhi misingi ninayoikubali, lakini mtu akanipa uthibitisho huo hapa JF. Kwa hiyo kabla ya kusema naamini au siamini , tuongelee uthibitisho na ushahidi kwamba kuna maisha baada ya kifo.



Kwa nini nikubali uwepo wa roho? Roho ni nini? Unathibitishaje kwamba ipo na si hadithi tu?

nishakwambia hiyo hoja ya matter and energy itoe umeendelea kuishikilia tu on top of that usiseme niliyemcopy hajielewi hizo arguments sijachukua toka kwa mtu mmoja nimechukua more than five sources baada ya kuchambua na nyingine nimeziacha na nyingine nimeongezea mimi.


Kuhusu kukataa hoja ya complexity inathibitishaje uwepo wa mungu hilo ni tatizo lako i cant help you with that,

narudia tena huwezi kuonyesha uwepo wa mungu bila ya kuonyesha effect zake hapa ulimwenguni ambazo ww unaendelea kuzikata sijui uelezewe vipi ili uelewe ni sawasawa na mwanafunzi kapata mwl mzuri kafundishwa kaelewa akafaulu alafu ukatae kwamba ile effect ya kufaulu kwa mwanafuzi haijatokana na mwl.


Tukirudi katika roho-kwa lugha ya kimombo wanaita soul by defn means the non physical part of a person that is seat of emotion

or spititual part of a human body that is believed to give life
ndo maana mwanzo nikakuuliza unaelewa nini kuhusu roho ili tuanzie hapo unapoelewa wewe nisije nikatoa defn ambayo hutoikubali tukarudishana nyuma....

So umesema huamini roho wala maisha baada ya kufa wala super natural yoyote.
sasa jiulize maswali haya wale watu wanaokuwa na mapepo,or mashetani
?? Nini kinakuwa kinawaingia mwilini mwao what made them to behave strange??? Maana unaweza kumkuta mwanamke ana pepo la simba basi unaanza kumkuta ananguruma kama simba anatoa sauti nzito na ajabu zaidi anakuwa hana fahamu na wala haelewi nini kilikuwa kinaendelea,(so nipe maelezo hapa mwanamke mwenye sauti nyembamba na laini sauti nzito kama ya simba anaipata wapi?? Hilo moja pili anavyokuwa hajitambui nini kinaendelea katika mwili wake yeye huwa hasa anakuwepo wapi??? Na who is taking controll of her body???

Tuje katika maisha baada ya kufa,simple logic kama kuna maisha kabla ya kuzaliwa kwa nini kusiwe na maisha baada ya kufa? hilo mosi,pili tujiulize kwa nini mtu anakufa??? Na mtu akifa nini hasa kinakuwa kinaondoka katika huo mwili wake??? Na kwa nini tunaita mwili wa marehemu... That means owner wa ule mwili hayupo pale yupo somewhere else very posible kuna maisha mengine huko yanaendelea,roho na mwili wa binaadamu unaweza kuifanaisha na comp na operating system,os unaweza ukaichukua ukaiingiza kwenye comp(physicl part) yoyote ile unayoitaka ndo maana unaona majini mapepo wanaingia katika miili ya binaadamu na kutake controll ya miili yao.
 
nishakwambia hiyo hoja ya matter and energy itoe umeendelea kuishikilia tu on top of that usiseme niliyemcopy hajielewi hizo arguments sijachukua toka kwa mtu mmoja nimechukua more than five sources baada ya kuchambua na nyingine nimeziacha na nyingine nimeongezea mimi.


Kuhusu kukataa hoja ya complexity inathibitishaje uwepo wa mungu hilo ni tatizo lako i cant help you with that,

narudia tena huwezi kuonyesha uwepo wa mungu bila ya kuonyesha effect zake hapa ulimwenguni ambazo ww unaendelea kuzikata sijui uelezewe vipi ili uelewe ni sawasawa na mwanafunzi kapata mwl mzuri kafundishwa kaelewa akafaulu alafu ukatae kwamba ile effect ya kufaulu kwa mwanafuzi haijatokana na mwl.


Tukirudi katika roho-kwa lugha ya kimombo wanaita soul by defn means the non physical part of a person that is seat of emotion

or spititual part of a human body that is believed to give life
ndo maana mwanzo nikakuuliza unaelewa nini kuhusu roho ili tuanzie hapo unapoelewa wewe nisije nikatoa defn ambayo hutoikubali tukarudishana nyuma....

So umesema huamini roho wala maisha baada ya kufa wala super natural yoyote.
sasa jiulize maswali haya wale watu wanaokuwa na mapepo,or mashetani
?? Nini kinakuwa kinawaingia mwilini mwao what made them to behave strange??? Maana unaweza kumkuta mwanamke ana pepo la simba basi unaanza kumkuta ananguruma kama simba anatoa sauti nzito na ajabu zaidi anakuwa hana fahamu na wala haelewi nini kilikuwa kinaendelea,(so nipe maelezo hapa mwanamke mwenye sauti nyembamba na laini sauti nzito kama ya simba anaipata wapi?? Hilo moja pili anavyokuwa hajitambui nini kinaendelea katika mwili wake yeye huwa hasa anakuwepo wapi??? Na who is taking controll of her body???

Tuje katika maisha baada ya kufa,simple logic kama kuna maisha kabla ya kuzaliwa kwa nini kusiwe na maisha baada ya kufa? hilo mosi,pili tujiulize kwa nini mtu anakufa??? Na mtu akifa nini hasa kinakuwa kinaondoka katika huo mwili wake??? Na kwa nini tunaita mwili wa marehemu... That means owner wa ule mwili hayupo pale yupo somewhere else very posible kuna maisha mengine huko yanaendelea,roho na mwili wa binaadamu unaweza kuifanaisha na comp na operating system,os unaweza ukaichukua ukaiingiza kwenye comp(physicl part) yoyote ile unayoitaka ndo maana unaona majini mapepo wanaingia katika miili ya binaadamu na kutake controll ya miili yao.

Kama hizo mada umechukua kwa zaidi ya mtu mmoja, then wewe ndiye uliyejikombea tu vitu vinavyoji contradict bila kujua.

Hoja ya complexity , inalazimisha kila kilicho complex kiwe kimeumbwa, hivyo inalazimisha hata mungu unayesema katuumba awe kaumbwa, na aliyemuumba awe kaumbwa, hivyo hivyo bila mwisho. Mtu yeyote anayefikiri ataona huu ni upuuzi.

Huwezi kusema tu kwamba hii ni effect ya kuwepo kwa mungu bila kuthibitisha.

Pia, hujajibu swali. Kama mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote yupo na ndiye aliyeumba ulimwengu huu, imekuwaje aumbe ulimwengu ambao mabaya, maovu na maumivu yanawezekana? Does that make sense to you?

Kuhusu roho/ soul, mtu akikwambia there is no proof of soul, only a brain and mind and we do not understand how consciousness works, utasemaje?

Mapepo yanaweza kuelezeka kwa namna nyingi, kwanza kuna mental conditions, pili kuna fraud ( kasome historia ya Jim Jones wa Guyana alivyowatapeli wafuasi wake kwamba anatoa mapepo na kisha kuwaua Kibwetere style). Ukisoma psychology na brain science utaona kuna ma hypnosis na mambo kibao ya brain science amvayo hayajaeleweka vizuri bado, kwa nini tunakimbilia kukubali mapepo bila uchunguzi?

Kuhusu maisha baada ya kifo/ kabla ya kuzaliwa, thibitisha kwamba either exists.

Usiseme "very possible kuna maisha mengine huko" that's guesswork, huna hakika, unabahatisha.
 
Leo nimekuamini upo sahihi kabisa km GREAT THINKER
lkn usisahau mmea una UHAI lkn hauna ROHO
twende aste-aste na Kiranga kwa hapo anaingia bado ana kete moja tu na ikiliwa basi
jamaa yangu Kiranga wakati una kuwa ulishaugua hata kahoma na kutumia vidonge vya Hospitalini (ambavyo vyote ni mitishamba au udongo)
je ulipona kwa Imani au kwa dawa (na maana ulimuamini Dr au MUNGU asiyekuwepo?au HOFU ilipungua)
na hapo uliiamni Dr, Mganga huyo wa mitishamba, mchawi au MUNGU?
jamaa yetu kwenye HOFU lazima kuna kitu unakitegema ili ROHO yako isikutoke na kupoteza UHAI

Kama mmea una uhai lakini hauna roho, uhai hauthibitishi kuwapo kwa roho.

Kwa nini unafikiri kila mtu anaogopa kupoteza uhai?

Kuna watu wanajitoa uhai wao wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Labda ameshindikana kwako....

kwahiyo unakubali mungu hayupo kwa mtazamo hafifu na dhaifu wa Kiranga?

umechemsha

Hujajibu maswali, thibitisha bila mgongano wa hoja zako mwenyewe na kwa kutumia logical, consistent and comprehensive arguments kwamba mungu yupo.

Pia, hujajibu swali la, kama mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, uzuri wote yupo, basi angeweza kuumba ulimwengu bora zaidi ya huu, ulimwengu ambao hauna shida, majanga, ubaya, magonjwa etc.

Kwa nini hatuoni ulimwengu huo? kwa nini mungu huyu kama yupo hakuumba ulimwengu huu?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema mtazamo wa Kiranga ni hafifu na dhaifu.

Kwa maana wako ni hafifu na dhaifu zaidi.

Hujaweza kujibu maswali ya mtu mwenye mtazamo hafifu na dhaifu kama Kiranga.
 
Hujajibu maswali, thibitisha bila mgongano wa hoja zako mwenyewe na kwa kutumia logical, consistent and comprehensive arguments kwamba mungu yupo.

Pia, hujajibu swali la, kama mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, uzuri wote yupo, basi angeweza kuumba ulimwengu bora zaidi ya huu, ulimwengu ambao hauna shida, majanga, ubaya, magonjwa etc.

Kwa nini hatuoni ulimwengu huo? kwa nini mungu huyu kama yupo hakuumba ulimwengu huu?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema mtazamo wa Kiranga ni hafifu na dhaifu.

Kwa maana wako ni hafifu na dhaifu zaidi.

Hujaweza kujibu maswali ya mtu mwenye mtazamo hafifu na dhaifu kama Kiranga.


Hiyo logic si umeikataa?

Nilikuhakikishia uwepo wa Mungu maneromango ulibisha bila kusema kwa nini unabisha...

Mfano Mimi nikisema mama yako ni huyu ukakataa itabidi uelezee why unakataa kwa kutoa features za huyo unaemhisi..

hiyo logic unayoiimba ndio hiyo inayotuambia huwezi kataa uwepp wa kitu wakati hukijui..


Huna jipya... hujui ufanyalo ..
 
Hiyo logic si umeikataa?

Nilikuhakikishia uwepo wa Mungu maneromango ulibisha bila kusema kwa nini unabisha...

Mfano Mimi nikisema mama yako ni huyu ukakataa itabidi uelezee why unakataa kwa kutoa features za huyo unaemhisi..

hiyo logic unayoiimba ndio hiyo inayotuambia huwezi kataa uwepp wa kitu wakati hukijui..


Huna jipya... hujui ufanyalo ..

You have it backwards.

Ukisema mungu yupo Maneromango itabidi wewe unayesema mungu yupo Maneromango unieleze kwa nini unasema hivyo. Kusema tu hakutoshi, si uthibitisho. Inabidi utoe sababu, kwa nini mungu yupo Maneromango, na sio Cholesamvula wala Masaki (ya Kisarawe si ya Dar).

Nimekuuliza kwa nini umesema mungu yupo Maneromango, na si Kazimzumbwi wala Minaki.

Hujanijibu.

Halafu unaita maneno yako mbofumbofu "logic".
 
Hii Para ya kwanza umenimaliza ila nasisitiza mmea hauna Roho (animals. Plants zote zina Cells) na MUNGU ni ROHO uatakapofika kwenye UTATU MTAKATIFU tutaongea sitaki kwenda huko kuamini ila hii yako

para ya pili ya kuthibitisha MUNGU yupo imeshaelezwa na jamaa yetu humuhumu kuwa akili tuliyonayo ni vigumu kutambua UWEPO wake kwani hakuna aliyekutana naye au kuongea naye ila ni Hadithi ambazo tanazukubali au kuzikataa ni mpaka hapo tutakapokufa.
(mfano mimi sijawahi kumuona hata katika Ndoto, au kumhisi uwepowake majini au katika hewa il napambana na vinyamkkera na majini ambavyo UKIVIKEMEA KWA KUTUMIA JINA vinakimbia
kwa hiyo formula rahisi ya kuthibitisha ni pale utakapotoa USHUHUDA
la sivyo ni URONGO Utapeli kwa jina la Mungu - YouTube kwa hisani na Kahtaan

Si dhani kama ulikuwa unazungumzia Mmea. Jaribu kubakia katika swali lako la mwanzo. Usiwe kama yule GOD HATER anaye ruka huku na kule na kukimbia madai yake mwenyewe.
 
You have it backwards.

Ukisema mungu yupo Maneromango itabidi wewe unayesema mungu yupo Maneromango unieleze kwa nini unasema hivyo. Kusema tu hakutoshi, si uthibitisho. Inabidi utoe sababu, kwa nini mungu yupo Maneromango, na sio Cholesamvula wala Masaki (ya Kisarawe si ya Dar).

Nimekuuliza kwa nini umesema mungu yupo Maneromango, na si Kazimzumbwi wala Minaki.

Hujanijibu.

Halafu unaita maneno yako mbofumbofu "logic".
God_Haters_Cover_3x4-Copy1.png
 
You have it backwards.

Ukisema mungu yupo Maneromango itabidi wewe unayesema mungu yupo Maneromango unieleze kwa nini unasema hivyo. Kusema tu hakutoshi, si uthibitisho. Inabidi utoe sababu, kwa nini mungu yupo Maneromango, na sio Cholesamvula wala Masaki (ya Kisarawe si ya Dar).

Nimekuuliza kwa nini umesema mungu yupo Maneromango, na si Kazimzumbwi wala Minaki.

Hujanijibu.

Halafu unaita maneno yako mbofumbofu "logic".


huna jipya..

unajisikia aibu kukubali ukweli
 
Carl Sagan had it right.

Extraordinary claims require extraordinary evidence.

Huwezi kusema tu mungu yupo Maneromango bila ushahidi wala uthibitisho wowote halafu ukataka tukuchukulie seriously.

Extraordinary claims require extraordinary evidence - RationalWiki

quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.











Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
Carl Sagan had it right.

Extraordinary claims require extraordinary evidence.

Huwezi kusema tu mungu yupo Maneromango bila ushahidi wala uthibitisho wowote halafu ukataka tukuchukulie seriously.

Extraordinary claims require extraordinary evidence - RationalWiki

We kiranga huna lolote, subir tu mauti ya kukute ndipo utakapomjua mungu!. Jamani Hamna namna yoyote ́mtakayomwambia juu ya mungu akakakubali huyu kiumbe. Labda amuone! Yeye anamsimamo wake tayar .Nadhani huwa anakuchekeni tu mnapomuelimisha.
 
We kiranga huna lolote, subir tu mauti ya kukute ndipo utakapomjua mungu!. Jamani Hamna namna yoyote ́mtakayomwambia juu ya mungu akakakubali huyu kiumbe. Labda amuone! Yeye anamsimamo wake tayar .Nadhani huwa anakuchekeni tu mnapomuelimisha.

Si kweli kwamba sina lolote.

Nina maswali ambayo hujayajibu.

Kwanza, thibitisha kwamba mungu yupo. In a logically consistent way.

Pili, nieleze imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi tunayoyaona yanawezekana kufanyika?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema sina lolote.

At the very least nitakuwa na maswali ambayo hujaweza kuyajibu.
 
Si kweli kwamba sina lolote.

Nina maswali ambayo hujayajibu.

Kwanza, thibitisha kwamba mungu yupo. In a logically consistent way.

Pili, nieleze imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi tunayoyaona yanawezekana kufanyika?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema sina lolote.

At the very least nitakuwa na maswali ambayo hujaweza kuyajibu.

quote_icon.png
By Kiranga

Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.













Hayo maneno kwenye Quote hapo juu ni yako.

Narudia swali lile lile:

HUYO ALIYE ANDIKA POST YENYE WORDS IN RED. ANAJUA ALICHO ANDIKA AU ANAAMINI ALICHO ANDIKA?
 
Si kweli kwamba sina lolote.

Nina maswali ambayo hujayajibu.

Kwanza, thibitisha kwamba mungu yupo. In a logically consistent way.

Pili, nieleze imekuwaje mpaka mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao maovu na mabaya mengi tunayoyaona yanawezekana kufanyika?

Kabla ya kujibu maswali haya, huwezi kusema sina lolote.

At the very least nitakuwa na maswali ambayo hujaweza kuyajibu.

huna lolote wala chochote

si lolote si chochote
 
Back
Top Bottom