Recent is relevant in the context that I have argued your arguments with Jehovah Witnesses in the early nineties, wakakosa majibu.
Kubali.The argument form complexity is defeatist to any theist. Kwa sababu itataka mungu awe na muumba na muumba wake awe na muumba bila mwisho.
Iondoe hiyo argument tuendelee na nyingine.
Indeed ku copy and paste si issue, I will be the first one to tell you that there is nothing significantly new under and over the sun, hata huyo Erasto Mpemba aliyewaweka Watanzania kwenye ramani kwa kugundua "The Mpemba Effect" watu baadaye wakaja kuchunguza na kukuta Wagiriki kina Aristotle walishaandika hayo. Hiyo basis ya string theory imepatikana katika margins za vitabu vya zamani. Edgar Allan Poe aliandika kuhusu habari za black holes kabla hata ya kuwepo kwa Hubble Observatory.
Tatizo si kwamba ume copy paste tu, tatizo ume copy paste vitu vinavyo jicontradict, inaonekana wewe uliye copy na huyo aliyeandika wote hamuelewei mnasimama wapi.
Is matter/ energy neither destroyed nor created or has the universe a beginning?
You can't have both arguments! One is the direct negation of another.
Asante kwa kukubali.
Unaona jinsi gani uliyem quote alivyo na mapungufu sasa?
Inabidi ukubali hivyo hivyo kwenye hoja ya complexity.
Siwezi kukupigia kimya wewe leo wakati nishasema kitambo hapa kwamba sikubali uwepo sio tu wa mungu, bali wa any supernatural entity.
kwa hiyo hilo linajumuisha roho, mungu, shetani, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc.
As long as ni super natural entity.
Obviously hujanisoma. Again, you are late to this party.
Sitaki kuamini, nataka kujua. I am not interested in kuamini, kwa sababu kuamini hakuna sheria. Unaweza kuamini chochote ilimradi huvunji sheria. Kuna maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhakikisha kila mtu ana haki ya kuamini anachotaka kati9ka mambo haya.
On that note, nataka waamini wajue kwamba mimi siwaandami wao. Mimi naongelea falsafa ya dini, si imani. Naongelea ujuzi.
Ndiyo maana mtu akiniuliza "unaamini kuna maisha baada ya kifo", response nzuri kwangu si kufupisha mjadala na kusema "naamini" au "siamini".
Nauliza, kwa uthibitisho na ushahidi gani?
Maana naweza kuwa sijapata uthibitisho wa kukidhi misingi ninayoikubali, lakini mtu akanipa uthibitisho huo hapa JF. Kwa hiyo kabla ya kusema naamini au siamini , tuongelee uthibitisho na ushahidi kwamba kuna maisha baada ya kifo.
Kwa nini nikubali uwepo wa roho? Roho ni nini? Unathibitishaje kwamba ipo na si hadithi tu?