History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

History inapingana na wanaosema ''HAKUNA MUNGU'': The simple research you can do to prove it.

its not about kitu kilicho recent zaidi its about wewe kuwa na open mind na kujiridhisha kwamba mungu yupo,.

Recent is relevant in the context that I have argued your arguments with Jehovah Witnesses in the early nineties, wakakosa majibu.

Kubali.The argument form complexity is defeatist to any theist. Kwa sababu itataka mungu awe na muumba na muumba wake awe na muumba bila mwisho.

Iondoe hiyo argument tuendelee na nyingine.

kucopy and paste siyo ishu kama ulivyoishikialia what maters ni hoja na facts, alafu sio kila kitu ni copied and paste nimesoma nimeelewa ndo nimeleta hoja hapa baada ya kuchambua na kuna vitu vingi tu nimeongezea mimi mwenyewe.....

Indeed ku copy and paste si issue, I will be the first one to tell you that there is nothing significantly new under and over the sun, hata huyo Erasto Mpemba aliyewaweka Watanzania kwenye ramani kwa kugundua "The Mpemba Effect" watu baadaye wakaja kuchunguza na kukuta Wagiriki kina Aristotle walishaandika hayo. Hiyo basis ya string theory imepatikana katika margins za vitabu vya zamani. Edgar Allan Poe aliandika kuhusu habari za black holes kabla hata ya kuwepo kwa Hubble Observatory.

Tatizo si kwamba ume copy paste tu, tatizo ume copy paste vitu vinavyo jicontradict, inaonekana wewe uliye copy na huyo aliyeandika wote hamuelewei mnasimama wapi.

Is matter/ energy neither destroyed nor created or has the universe a beginning?

You can't have both arguments! One is the direct negation of another.


kuhusu hiyo hoja ya matter and energy can neither be created not destroyed hapa nakubali nimejicontrdaict so hiyo fisrt law ya thermodyanamic iweke pembeni (asiyekubali kushindwa si mshindani) it doesnt make sense kusema mungu ni creator wa everything yet nissuport hii theory kwamba no new matter or energy that come to an existance and also there will be no any new matter or energy that will pass out of existance.

Asante kwa kukubali.

Unaona jinsi gani uliyem quote alivyo na mapungufu sasa?

Inabidi ukubali hivyo hivyo kwenye hoja ya complexity.


nyuma nilikuuliza swali kwamba unaamini uwepo wa roho,umepiga kimya umejifanya hujaona,wewe unachotaka uthibitshwe hoja za uwepo wa mungu ubishe ila kutaka kuulizwa wewe maswali hutaki???,

Siwezi kukupigia kimya wewe leo wakati nishasema kitambo hapa kwamba sikubali uwepo sio tu wa mungu, bali wa any supernatural entity.

kwa hiyo hilo linajumuisha roho, mungu, shetani, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc.

As long as ni super natural entity.


tena kuna mdau akakuuliza unaamini maisha baada ya kufa ukaanza blah blah wakat majibu mawili tu huamini au unaamini??,

Obviously hujanisoma. Again, you are late to this party.

Sitaki kuamini, nataka kujua. I am not interested in kuamini, kwa sababu kuamini hakuna sheria. Unaweza kuamini chochote ilimradi huvunji sheria. Kuna maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhakikisha kila mtu ana haki ya kuamini anachotaka kati9ka mambo haya.

On that note, nataka waamini wajue kwamba mimi siwaandami wao. Mimi naongelea falsafa ya dini, si imani. Naongelea ujuzi.

Ndiyo maana mtu akiniuliza "unaamini kuna maisha baada ya kifo", response nzuri kwangu si kufupisha mjadala na kusema "naamini" au "siamini".

Nauliza, kwa uthibitisho na ushahidi gani?

Maana naweza kuwa sijapata uthibitisho wa kukidhi misingi ninayoikubali, lakini mtu akanipa uthibitisho huo hapa JF. Kwa hiyo kabla ya kusema naamini au siamini , tuongelee uthibitisho na ushahidi kwamba kuna maisha baada ya kifo.

tunavyokuuliza hivi tuna maana yetu, haya nakuuliza kwa mara nyingine tena unaamini uwepo wa roho katika mwili wa binaadamu??? Kama hutaki kujibu hilo kama mwanzo nakuuliza swali la pili unaamini maisha baada ya kufa,acha blah blah,majibu mawili tu hapo.

Kwa nini nikubali uwepo wa roho? Roho ni nini? Unathibitishaje kwamba ipo na si hadithi tu?
 
Recent is relevant in the context that I have argued your arguments with Jehovah Witnesses in the early nineties, wakakosa majibu.
Indeed ku copy and paste si issue, I will be the first one to tell you that there is nothing significantly new under and over the sun, hata huyo Erasto Mpemba aliyewaweka Watanzania kwenye ramani kwa kugundua "The Mpemba Effect"
Siwezi kukupigia kimya wewe leo wakati nishasema kitambo hapa kwamba sikubali uwepo sio tu wa mungu, bali wa any supernatural entity.
kwa hiyo hilo linajumuisha roho, mungu, shetani, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc.
As long as ni super natural entity.
Ndiyo maana mtu akiniuliza "unaamini kuna maisha baada ya kifo", response nzuri kwangu si kufupisha mjadala na kusema "naamini" au "siamini".

Nauliza, kwa uthibitisho na ushahidi gani?

Maana naweza kuwa sijapata uthibitisho wa kukidhi misingi ninayoikubali, lakini mtu akanipa uthibitisho huo hapa JF. Kwa hiyo kabla ya kusema naamini au siamini , tuongelee uthibitisho na ushahidi kwamba kuna maisha baada ya kifo.
Kwa nini nikubali uwepo wa roho? Roho ni nini? Unathibitishaje kwamba ipo na si hadithi tu?
Kiranga kwa hapa sijakuelewa yaaani kumbe hivi vyote huamini km vipo? roho, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc. au ni Mada inayojitegemea?
maamoni ulikulia kijijini kwenye waganga wa jadi ingawa hata huko ughaibuni wapo
 
Last edited by a moderator:
Jamaa yangu unajua naogopa kutoka nje ya Mada husika ya wenzetu.
ila kifupi UHAI = ni ule awezo wa kupimia baada ya kutoka katika kizazi au yai Embroy na kuanza kuvuta Oxygen au carbon dioxide kwa baadhi ya mimea
Lakini Mimea haina ROHO
ROHO iwe ni ile mbaya (spirit) au ya aina yeyote ni lazima ina mwenyewe na ina mwisho iwe ya kishetani au ya wema
NDI MAANA NAOGOPA KUSEMA MUNGU NI ROHO kwani uthibitisho huo sina ila Mada yake tulichangia sana humu mwaka 2010/2011 ililetwa na Mwanaseminary km sikosei wa Maua Seminary naye alidai HAKUNA MUNGU
ili kuondoa Contradiction sitaki kuamini zaidi nipe mda nipo ktk search ya JF jukwaa la DINI
tuendelee na mada ya wenzetu bila jazba uwepo wa MUNGU / Miungu au LAAA

Kwanini umeshindwa kuthibitisha Roho? Of course God is Spirit. Kama kuna Mbishi aje hapa anipe ushaidi kwanini Mungu sio Roho. That is how it works.

Zaidi ya hapo, hivi unaposema thibitisha kama Mungu yupo huwa unatumia formula gani?
 
Nikubali kwa uthibitisho au ushahidi gani?


Hujui hata maana ya uthibitisho na tafauti yake katika "ushaidi".

Nikikuuliza niambie uthibitisho wa kuwepo au kuto kuwepo kwa Mungu unatumia formula gani, utaweza nijibu wewe?
 
Kiranga kwa hapa sijakuelewa yaaani kumbe hivi vyote huamini km vipo? roho, mapepo, mbingu, jehanamu, majini, uchawi, vinyamkera, popobawa, the loch ness monster etc etc. au ni Mada inayojitegemea?
maamoni ulikulia kijijini kwenye waganga wa jadi ingawa hata huko ughaibuni wapo

Sitaki kuamini, nataka kujua.
 
ni bora ukaaamini mungu yupo kuliko kutoamini kama mungu hayupo kwa sababu kama hayupo na ukamuamini ukafuta maamrisho yake siku ya mwisho hautakumbna na hukumu yake na kama hayupo kweli(though yupo) you will have nothing to lose kuliko kutoamini mungu hayupo alafu siku ya mwisho ukamkuta.utakubaki na kujilaumu tu milele n milele

Ni bora ukaamini Kiranga ni mungu na kumtolea sadaka iingie kwenye benki akaunti yake maisha yako yote kwa sababu kutoamini kwamba Kiranga ni mungu you will have nothing to lose kuliko kutoamini kwamba Kiranga ni mungu halafu mwisho wa siku ukamkuta.

This is basically the same argument as the one you are making. The difference is in the mere details, the fundaments of the arguments are the same.

Believe something out of fear, without verification.
 
unaelewa nini maana ya roho?

Sielewi, roho ni nini?

Hebu nifafanulie kwa mifano hai, roho ni nini? Na nitajuaje kwamba roho ipo na si hadithi tu?

Kitu gani kinathibitisha kwamba roho ipo? Kivipi?
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Huwezi kujua kabla ya kufahamu. Na huwezi kufahamu kabla ya kuelewa. Kuelewa ni sehemu ya kuamini.

Ndio maana huwezi kusema "thibitisha" bila ya kufahamu unathibitisha nini? Ukikubali kuwa unathibitisha nini, basi umekubali kuwa kinacho thibitishwa kipo.

Ndio maana huwa nasema jifunze kufikiria kabla ya kusema.
 
Sielewi, roho ni nini?

Hebu nifafanulie kwa mifano hai, roho ni nini? Na nitajuaje kwamba roho ipo na si hadithi tu?

Kitu gani kinathibitisha kwamba roho ipo? Kivipi?

Uhai unathibitisha kwamba Roho ipo.
 
Sielewi, roho ni nini?

Hebu nifafanulie kwa mifano hai, roho ni nini? Na nitajuaje kwamba roho ipo na si hadithi tu?

Kitu gani kinathibitisha kwamba roho ipo? Kivipi?


roho ni pumzi ya uhai uliyonayo..

roho ni nafsi
 
roho ni pumzi ya uhai uliyonayo..

roho ni nafsi

Pumzi ni pumzi, kwa nini iwe roho?

Roho na nafsi ni mambo ya kufikirika.

Roho imekuwa debunked since Plato's narration of Socrate's Phaedrus, since Lord Buddha.

Mpaka leo watu bado wanashikilia kuwapo kwa roho tu?
 
Pumzi ni pumzi, kwa nini iwe roho?

Roho na nafsi ni mambo ya kufikirika.

Roho imekuwa debunked since Plato's narration of Socrate's Phaedrus, since Lord Buddha.

Mpaka leo watu bado wanashikilia kuwapo kwa roho tu?



halo ndo huwa tunapishana...

unaposema kwanini iwe roho ina maana tayari kichwani kwako una concept ya hilo neno roho...

that's why nakwambia unatumia nguvu
 
halo ndo huwa tunapishana...

unaposema kwanini iwe roho ina maana tayari kichwani kwako una concept ya hilo neno roho...

that's why nakwambia unatumia nguvu

Unaposema kwa nini iwe pembetatu duara ina maana tayari kichwani kwako kuna hiyo concept ya pembetatu duara.

Hilo halimaanishi kwamba pembetatu duara ipo.
 
Unaposema kwa nini iwe pembetatu duara ina maana tayari kichwani kwako kuna hiyo concept ya pembetatu duara.

Hilo halimaanishi kwamba pembetatu duara ipo.


sina nguvu za ubishi mkuu...
 
kiranga huwa anatumia nguvu kubisha namheshimu sana kwakuwa ana point wakati mwingine ila tatizo kubwa la Kiranga ni kutumia nguvu kitetea hoja

Huyo dada ameamua kunimbia na kuogopa makosa yake anayo uliza huku akifikiria amepatia, kumbe watu wanamwangalia tu. It is sad and shame to be a God Hater like her.

Sasa watu wanamwelewa kuwa, hana ushaidi wa anacho "AMINI".:A S cry:
 
sina nguvu za ubishi mkuu...

Labda kwa sababu huna points za kutoa.

Kufikiri kitu hakufanyi kitu hicho kiwepo.

Ingekuwa hivyo kila mtu angekuwa bilionea anayeishi paradiso yake.
 
Pumzi ni pumzi, kwa nini iwe roho?

Roho na nafsi ni mambo ya kufikirika.

Roho imekuwa debunked since Plato's narration of Socrate's Phaedrus, since Lord Buddha.

Mpaka leo watu bado wanashikilia kuwapo kwa roho tu?


Wenye akili hawapo limited kwa Socrates et al. Ndio maana bado unalazimisha Punzi ni Punzi kwasababu umeshindwa na hufahamu na huwezi kuthibitishia kuwa kuna Pumzi, ndio maana unabisha kuwa kuna Roho.

Kushindwa kwako kuelewa Roho hakumaanishi kuwa haipo. Huwezi kutetea madai yako.

Roho ipo kwa wenye ufahamu, lakini wenye upungufu wa kufahamu wanaweza sema kuwa hata Barack Obama wa Pen Ave sio Rais.

Mpaka leo, wenye akili wanaelewa kuwa kuna Roho.

Dismiss syndrome at work
 
Back
Top Bottom