komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
we nawe umetokea wapi...vijana wa mapanga wamewavamia masaa kumi na nne...bwahaha....je ingelikuwa ni wale wavaa kobazi...si hayo masaa kumi na nne wangelikuwa wameshaichoma hyo kambi yote...El ade atack ilidumu kwa lisaa na nusu kdf wakapoteza personnel 185.
while tpdf shambulio lao lilidumu masaa 18 wakapoteza askari 14
el ade was full military base
jwtz ilkua detach yan kambi nusu na askari wachache
militants walikua zaidi ya 600 (askari wa rwanda) ila walikimbia
kdf hawana record nzuri bora uganda
yani kambi ilitekwa siku4 af unakuja kuhara hapa
broh in military wise Burundi ndio saizi yenu
kwanza askari wa jwtz akiskia mziki wa RPG anazirai...
we wachezea watu wanapiga kambi RPG km tano hv kila pembe...jwtz nakwambia hawangetoka..vijana wa mapanga masaa kumi na nne...khaaa!!