History: Tanzania troops in Seychelles

History: Tanzania troops in Seychelles

El ade atack ilidumu kwa lisaa na nusu kdf wakapoteza personnel 185.
while tpdf shambulio lao lilidumu masaa 18 wakapoteza askari 14
el ade was full military base
jwtz ilkua detach yan kambi nusu na askari wachache
militants walikua zaidi ya 600 (askari wa rwanda) ila walikimbia
kdf hawana record nzuri bora uganda
yani kambi ilitekwa siku4 af unakuja kuhara hapa
broh in military wise Burundi ndio saizi yenu
we nawe umetokea wapi...vijana wa mapanga wamewavamia masaa kumi na nne...bwahaha....je ingelikuwa ni wale wavaa kobazi...si hayo masaa kumi na nne wangelikuwa wameshaichoma hyo kambi yote...

kwanza askari wa jwtz akiskia mziki wa RPG anazirai...
we wachezea watu wanapiga kambi RPG km tano hv kila pembe...jwtz nakwambia hawangetoka..vijana wa mapanga masaa kumi na nne...khaaa!!
 
we nawe umetokea wapi...vijana wa mapanga wamewavamia masaa kumi na nne...bwahaha....je ingelikuwa ni wale wavaa kobazi...si hayo masaa kumi na nne wangelikuwa wameshaichoma hyo kambi yote...
kwanza askari wa jwtz akiskia mziki wa RPG anazirai...
we wachezea watu wanapiga kambi RPG km tano hv kila pembe...jwtz nakwambia hawangetoka..vijana wa mapanga masaa kumi na nne...khaaa!!
najua unajua baba yenu nani!!!
 
Hahahahaha, ndio shida ya kuwa na weakest army in the region".
hahaha.....kama msomali mmoja aliyaangaisha hiyo security firm yenu hadi wanakimbia Dar es salaam kuleta fire extinguishers unasema nini hapa…..Between Jeshi la kula michele itaweza kuuwa mbu hata?
 
hahaha.....kama msomali mmoja aliyaangaisha hiyo security firm yenu hadi wanakimbia Dar es salaam kuleta fire extinguishers unasema nini hapa…..Between Jeshi la kula michele itaweza kuuwa mbu hata?
Angalia KDF inavyopigwa na Alshabab, sijawahi sikia wanajeshi wanapotea katika uwanja wa vita, eti familia wanaambiwa wasubiri miaka saba, asipotokea ndio jeshi linasema amekufa, yaani hata jeshi halijui kinachotokea kwa wanajeshi wake. Very weak Army indeed.
 
Angalia KDF inavyopigwa na Alshabab, sijawahi sikia wanajeshi wanapotea katika uwanja wa vita, eti familia wanaambiwa wasubiri miaka saba, asipotokea ndio jeshi linasema amekufa, yaani hata jeshi halijui kinachotokea kwa wanajeshi wake. Very weak Army indeed.

Nothing works in corrupt and failed state. This is very important than all other projects.
 
Hahahahaha, no one recognizes KDF in Somalia, it is very weak Army among all armies in Somalia.

bwahahaaa...kwhyo uanpinga au unakataa...hahahaa..hii wivu ya kike...si wewe tu juzi ulikiri ya kwamba alshabab walitoroka kismayu...bwhahaaa
 
Troops were less than 900 in total, so hapo hakuna Vita ila ni kiherehere Cha "kuwakomboa" ndugu zetu. Sasa linganisha uchumi was hizi nchi mbili Tanzania na Seychelles alafu unaimbie nani anahitaji kukombolewa?
 
Hahahahaha, no one recognizes KDF in Somalia, it is very weak Army among all armies in Somalia.

Where is Tanzania in Somalia considering all the EAC troops have a presence in Horn of Africa? Your ill equipped rag tag army can't even afford to have their own military planes, but would rather use Civilian Aircraft for their 'kiki" distributing insignificant amount of aid trying to showcase their weakness.

Sasa unatuletea video ya Ugandan troops badala utuwekee hapa ya hao wanamgambo wa JWTZ.
 
QUOTE="joto la jiwe, post: 31542779, member: 452226"]
Hahahahaha, no one recognizes KDF in Somalia, it is very weak Army among all armies in Somalia.

[/QUOTE]
Where is Tanzania in Somalia considering all the EAC troops have a presence in Horn of Africa? Your ill equipped rag tag army can't even afford to have their own military planes, but would rather use Civilian Aircraft for their 'kiki" distributing insignificant amount of aid trying to showcase their weakness.

Sasa unatuletea video ya Ugandan troops badala utuwekee hapa ya hao wanamgambo wa JWTZ
 
Ungejuwa waliokuwa nyuma ya ile coup usinge thubutu kusema hayo.
Sasa kwa ukarimu wenu ama upumbavu, Seychelles wanaweza wakomboa kiuchumi...😁 hata wako na a functioning Airlines sio Kama hio ATCL.
 
Point of collection al adde attack ilidumu kwa nusu saa kdf ilikuwa na battalion nzima pale( 800-1000) lkn waliopona ni kdf 41 tu pia kumbuka kuwa KDF wanaruhusiwa kisheria kujibu mapigano dhidi ya al shabab

Pia shambulio la jwtz lilidumu kwa masaa 13 lkn kisheria walikuwa hawaruhusiwi kujibu mashambulizi
El ade atack ilidumu kwa lisaa na nusu kdf wakapoteza personnel 185.
while tpdf shambulio lao lilidumu masaa 18 wakapoteza askari 14
el ade was full military base

jwtz ilkua detach yan kambi nusu na askari wachache
militants walikua zaidi ya 600 (askari wa rwanda) ila walikimbia


kdf hawana record nzuri bora uganda

yani kambi ilitekwa siku4 af unakuja kuhara hapa
broh in military wise Burundi ndio saizi yenu
 
Sasa kwa ukarimu wenu ama upumbavu, Seychelles wanaweza wakomboa kiuchumi...😁 hata wako na a functioning Airlines sio Kama hio ATCL.
Tatizo lenu nyang'au mnafikiria pesa tuu, msichokielewa ni kuwa wakati mwingine sababu za kiusalama ni muhimu zaidi kuliko kitu chochote kile kwa kuwa usalama ni uhai.

Tulimpindua marehemu Mancham na kumweka René (1977) kwa sababu za kimkakati na kiusalama. Mkaburu wa Afrika kusini wangeweza kutumia visiwa hivyo kijeshi kutuvamia kirahisi.

René ambaye aliyekuwa mjamaa alipochukua madaraka alizuia nchi yake kutumika na nchi za magharibi kijeshi, kumbuka hii ilikuwa ni wakati wa vita baridi. Kenya na Afrika kusini mkatumika kufanya coup (1982) lakini mkashindwa.
 
Ndio hiki kiherehere chenu cha kuingilia nchi za watu kimesababisha mumekua maskini hadi leo, na mtaendelea kulipia gharama hadi vizazi vijavyo.
una akili sana, umeongea ukweli ambao watz wengi hatupendi kuukubali
 
Tatizo lenu nyang'au mnafikiria pesa tuu, msichokielewa ni kuwa wakati mwingine sababu za kiusalama ni muhimu zaidi kuliko kitu chochote kile kwa kuwa usalama ni uhai.

Tulimpindua marehemu Mancham na kumweka René (1977) kwa sababu za kimkakati na kiusalama. Mkaburu wa Afrika kusini
Haya Basi, mkawasaidia Seychelles wakapanuka kiuchumi afu nyinyi mkabaki wapi????

Mkamsaidia South Africa afu angalia vile wanawaweka mbali kwa mfano hawakusaini mkataba wa nyie "waswahili" kuwafunza Kiswahili hicho chenu ila wakawachukuwa Wakenya. Wewe utakuwa ni kipofu Kama hutaina mambo mengi mazuri yanawapita tu mkikenua meno Kama mazwazwa. Bure kabisa...
 
Point of collection al adde attack ilidumu kwa nusu saa kdf ilikuwa na battalion nzima pale( 800-1000) lkn waliopona ni kdf 41 tu pia kumbuka kuwa KDF wanaruhusiwa kisheria kujibu mapigano dhidi ya al shabab

Pia shambulio la jwtz lilidumu kwa masaa 13 lkn kisheria walikuwa hawaruhusiwi kujibu mashambulizi
masaa kumi na manne mnakabiliana na vijana wa mapanga... khaa..aibu iliyoje hyo
 
Nyinyi mna mchezo sana. Sasa mnatuma army yenu kwenye nchi ndogo kama seychelles halafu mna audacity ya kujisifia. Wacheni misifa, nchi ndogo kama hio haina wanajeshi zaidi ya 10,000. Population yao enzi hio ilikuwa chini ya milioni moja. Halafu mnakuja hapa kujisifu, hata hamna aibu. Hio ni kama mwanaume kumshinda nguvu mwanamke kwenye vita halafu huyo mwanaume aanze kujipiga kifua. Ukitaka kujipiga kifua pigana na mwanaume mwenzako.
Si ndio na nyie mlatuiga Somalia, kinachowapata hadi saivi mnajutaaa, ndo muache kuigaiga...
 
Vipi kuhusu Msumbiji, Zimbawe, namibia, na Uganda ambako kote tulipambana na majeshi yenye nguvu na tukaibuka washindi?, Vipi kuhusu Liberia tulipomshikisha adabu Charles Taylor mliyekua mnamuita mbabe wa Vita hawezi kushindwa?, vipi M23 walipotezwa na Nani?. Tuambieni historia ya KDF katika uwanja wa vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa hawapni aibu CV Yetu ilivyo kubwa
 
Back
Top Bottom