Hit za mwisho walizotoa malegend wa bongo flava, baada ya hapo walirudi level za kawaida na wengine hawakuvuma tena

Ay ni Zigo remix au ulikuwa ushazeeka
 
Inspector alikuwemo kwenye moja ya bongo rap song nayokubali milele TATU BILA pia alihit kiaina na sharubu za babu alioimba na nandy hyo asali wa moyo ya zamani mnoo jombii
 
Dudu baya-Konki
 
Ay ilitakiwa iwepo Zigo remix ft Diamond platinum


Blue Mboga saba
 
Mr Blue - Baki na mimi
Hii ilikua ni [emoji91][emoji91], kuna mtu ananiimbia ev tym.
 
Chai
 
Ay hit yake ya mwisho nafikiri ni zigo remix, blue pesa, juma nature mtoto idi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…