Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Nchini Uganda 1990's katika daladala 10 za kubeba abiria basi 5 kati ya hizo zilikua na picha/jina LUNYAMILA. Moja kati ya vipaji vikubwa kuwahi kutokea katika historia ya mpira.
Kuna show aliwapiga Mamelodi Sundowns pale CCM KIRUMBA 2001 mpaka kocha anauliza huyu ni Mtanzania?
Mwaka 1997 wakati George Weah yupo kwenye ubora wake akiwa na tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia (96) pale Shamba la Bibi huyu Weah aliuliza Lunyamila anacheza ligi gani? FT : Stars 1-1 Liberia. Mwanasoka bora duniani hakuamini alichokiona kwenye miguu ya huyu kiumbe.
Kuna show aliwapiga Mamelodi Sundowns pale CCM KIRUMBA 2001 mpaka kocha anauliza huyu ni Mtanzania?
Mwaka 1997 wakati George Weah yupo kwenye ubora wake akiwa na tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia (96) pale Shamba la Bibi huyu Weah aliuliza Lunyamila anacheza ligi gani? FT : Stars 1-1 Liberia. Mwanasoka bora duniani hakuamini alichokiona kwenye miguu ya huyu kiumbe.