Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,317
- 1,320
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.
Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.
Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.
Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.
Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.
CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Elimu kubwa ilishatokewa kwa wanacpnchi kipindi cha mchakato wa kuipata mapendekezo/ Ukusanyaji wa maoni kwa Sasa wanachohitaji ujasiri wa viongozi katika kudai katiba Mpya.
La muhimu ni kwamba Katiba Mpya na nzuri haitapatikana kwa mazungumzo ya mezani.
CCM wanavuta mda tu kwa kichaka cha mazungumzo. Katiba Mpya na nzuri itapatikana kwa shinikizo na maandamano yaani nguvu ya imma.
Viongozi wa upinzani nguvu kubwa ni kuwashawishi wananchi kuandamana nchi nzima na wananchi wako tayari wanasubiri amri ya viongozi wao.
Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.
Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.
Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.
Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.
CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Elimu kubwa ilishatokewa kwa wanacpnchi kipindi cha mchakato wa kuipata mapendekezo/ Ukusanyaji wa maoni kwa Sasa wanachohitaji ujasiri wa viongozi katika kudai katiba Mpya.
La muhimu ni kwamba Katiba Mpya na nzuri haitapatikana kwa mazungumzo ya mezani.
CCM wanavuta mda tu kwa kichaka cha mazungumzo. Katiba Mpya na nzuri itapatikana kwa shinikizo na maandamano yaani nguvu ya imma.
Viongozi wa upinzani nguvu kubwa ni kuwashawishi wananchi kuandamana nchi nzima na wananchi wako tayari wanasubiri amri ya viongozi wao.