Hitaji kubwa la Tanzania ni Katiba Mpya

Hitaji kubwa la Tanzania ni Katiba Mpya

Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
kwa kweli bila katiba mpya mm naona mbele kuna giza nene.tanganyika yetu inaenda kuporwa na wanzanzibari.lazima wanasiasa wetu wa upinzani waungane kuihubiri katiba mpya.haiwezekani nchi ndogo ikaimeza nchi kubwa kama tanganyika(tanzania bara).rasilimali zetu zinaporwa na wanzanzibari mfano ardhi,ajira nk wakati vijana wetu wana hustle mitaani.katiba mpya kwa sasa ni lazima na jambo hili halikwepeki hata kidogo.Aluta Continua.
 
kwa kweli bila katiba mpya mm naona mbele kuna giza nene.tanganyika yetu inaenda kuporwa na wanzanzibari.lazima wanasiasa wetu wa upinzani waungane kuihubiri katiba mpya.haiwezekani nchi ndogo ikaimeza nchi kubwa kama tanganyika(tanzania bara).rasilimali zetu zinaporwa na wanzanzibari mfano ardhi,ajira nk wakati vijana wetu wana hustle mitaani.katiba mpya kwa sasa ni lazima na jambo hili halikwepeki hata kidogo.Aluta Continua.
Na sasa Tanzania inaongozwa na wazanzibar
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Katiba iwe na PAGE NGAPI ILI ISISUMBUE TENA!?
MWANDISHI AWE NA SIFA GANI!?

FUNDI MATOPE
FUNDI SELEMALA
FUNDI WASHI
SONARA
KABILA GANI
FUNDI MADIRISHA
MCHORA RAMANI
MWAGIZA BIDHAA NJE
MUUZAJI
KONDA
UMRI - hatutaki tumdharau mungu

umrinamba
mwaka
1​
mwaka
2​
mwaka
3​
mwaka
4​
mwaka
5​
mwaka
6​
mwaka
7​
mwaka
8​
mwaka
9​
mwaka
10​
mwaka
11​
mwaka
12​
mwaka
13​
mwaka
14​
mwaka
15​
mwaka
16​
mwaka
17​
mwaka
18​
mwaka
19​
mwaka
20​
mwaka
21​
mwaka
22​
mwaka
23​
mwaka
24​
mwaka
25​
mwaka
26​
mwaka
27​
mwaka
28​
mwaka
29​
mwaka
30​
mwaka
31​
mwaka
32​
mwaka
33​
mwaka
34​
mwaka
35​
mwaka
36​
mwaka
37​
mwaka
38​
mwaka
39​
mwaka
40​
mwaka
41​
mwaka
42​
mwaka
43​
mwaka
44​
mwaka
45​
mwaka
46​
mwaka
47​
mwaka
48​
mwaka
49​
mwaka
50​
mwaka
51​
mwaka
52​
mwaka
53​
mwaka
54​
mwaka
55​
mwaka
56​
mwaka
57​
mwaka
58​
mwaka
59​
mwaka
60​
mwaka
61​
mwaka
62​
mwaka
63​
mwaka
64​
mwaka
65​
mwaka
66​
mwaka
67​
mwaka
68​
mwaka
69​
mwaka
70​
mwaka
71​
mwaka
72​
mwaka
73​
mwaka
74​
mwaka
75​
mwaka
76​
mwaka
77​
mwaka
78​
mwaka
79​
mwaka
80​
mwaka
81​
mwaka
82​
mwaka
83​
mwaka
84​
mwaka
85​
mwaka
86​
mwaka
87​
mwaka
88​
mwaka
89​
mwaka
90​
mwaka
91​
mwaka
92​
mwaka
93​
mwaka
94​
mwaka
95​
mwaka
96​
mwaka
97​
mwaka
98​
mwaka
99​
mwaka
100​
mwaka
101​
mwaka
102​
mwaka
103​
mwaka
104​
mwaka
105​
mwaka
106​
mwaka
107​
mwaka
108​
mwaka
109​
mwaka
110​
mwaka
111​
mwaka
112​
mwaka
113​
mwaka
114​
mwaka
115​
mwaka
116​
mwaka
117​
mwaka
118​
mwaka
119​
mwaka
120​
mwaka
121​
mwaka
122​
mwaka
123​
mwaka
124​
mwaka
125​
mwaka
126​
mwaka
127​
mwaka
128​
mwaka
129​
mwaka
130​
mwaka
131​
mwaka
132​
mwaka
133​
mwaka
134​
mwaka
135​
mwaka
136​
mwaka
137​
mwaka
138​
mwaka
139​
mwaka
140​
mwaka
141​
mwaka
142​
mwaka
143​
mwaka
144​
mwaka
145​
mwaka
146​
mwaka
147​
mwaka
148​
mwaka
149​
mwaka
150​
mwaka
151​
mwaka
152​
mwaka
153​
mwaka
154​
mwaka
155​
mwaka
156​
mwaka
157​
mwaka
158​
mwaka
159​
mwaka
160​
mwaka
161​
mwaka
162​
mwaka
163​
mwaka
164​
mwaka
165​
mwaka
166​
mwaka
167​
mwaka
168​
mwaka
169​
mwaka
170​
mwaka
171​
mwaka
172​
mwaka
173​
mwaka
174​
mwaka
175​
mwaka
176​
mwaka
177​
mwaka
178​
mwaka
179​
mwaka
180​
mwaka
181​
mwaka
182​
mwaka
183​
mwaka
184​
mwaka
185​
mwaka
186​
mwaka
187​
mwaka
188​
mwaka
189​



HATUTAKI KUWEKA BECHI KITU



{ATAKAYE ILETA ANATAKIWA AWE NA JINA LIPI KATI YA HAYA HAPA)







VS


 
Sio Ile iliyochakachuliwa na ccm
Siyo Katiba pendekezwa,

Ni Ile RASIMU ya WARIOBA kabla haijapekekwa Bunge la Katiba na kuchakachuliwa.

Mjadala uanzie pale, tuweke maboresho na kuangalia njia Bora za kupata uwakilishi wa watu kuingia Bunge la Katiba bila kumtanguliza maslah ya vyama kiitikadi.
 
Ukweli ni upi?
Katiba sio hitaji kubwa kwasababu uzuri au ubaya wa katiba unategemea haiba ya jamii ya watu wanaotumia katiba hiyo. Katiba ni maelezo/maneno yaliyo katika makaratasi tu. Kuitii au kutoitii hakutegemei kilichopo kwenye hayo maneno bali "quality" ya watu husika namna walivyo tayari kukubaliana na kilichomo.

Labda nikuulize, tukiichukua katiba ya Marekani kama ilivyo na kubadilisha kwenye US kuweka Tanzania, je Tanzania tutafanya mambo kama Marekani?

Nikuulize swali lingine. Sheria za usalama barabarani Tanzania zipo kwa kila mtumiaji barabara. Polisi ndio wanaosimamia sheria hiyo barabarani, na polisi Wana slogan yao, tii sheria bila shuruti. Je ushawahi kuona gari ya polisi ikaheshimu alama za barabarani? Ushaona gari ya polisi imekamatwa kwa kuvunja sheria za usalama barabarani? Katika jamii ya watu kama hao, katiba mpya itasaidia nini?

Hitaji kubwa kabisa kwa watanzania kwa Sasa ni madarasa mazuri na ya kisasa, walimu wa kutosha na motisha kwa walimu. Tukiliweza hilo hata kwa miaka 100, litakuwa na msaada sana kwani ni jamii hiyo itakayoweza kutengeneza na kuitii katiba, sio hii jamii ya vibaka kuanzia bodaboda hadi top guys.
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Kenya na Afrika Kusini walipata katiba mpya. Je wametosheka? Je katiba mpya imewaletea demokrasia? Muulize Raila Odinga na Julius Malema watakwambia
 
Katiba sio hitaji kubwa kwasababu uzuri au ubaya wa katiba unategemea haiba ya jamii ya watu wanaotumia katiba hiyo. Katiba ni maelezo/maneno yaliyo katika makaratasi tu. Kuitii au kutoitii hakutegemei kilichopo kwenye hayo maneno bali "quality" ya watu husika namna walivyo tayari kukubaliana na kilichomo.

Labda nikuulize, tukiichukua katiba ya Marekani kama ilivyo na kubadilisha kwenye US kuweka Tanzania, je Tanzania tutafanya mambo kama Marekani?

Nikuulize swali lingine. Sheria za usalama barabarani Tanzania zipo kwa kila mtumiaji barabara. Polisi ndio wanaosimamia sheria hiyo barabarani, na polisi Wana slogan yao, tii sheria bila shuruti. Je ushawahi kuona gari ya polisi ikaheshimu alama za barabarani? Ushaona gari ya polisi imekamatwa kwa kuvunja sheria za usalama barabarani? Katika jamii ya watu kama hao, katiba mpya itasaidia nini?

Hitaji kubwa kabisa kwa watanzania kwa Sasa ni madarasa mazuri na ya kisasa, walimu wa kutosha na motisha kwa walimu. Tukiliweza hilo hata kwa miaka 100, litakuwa na msaada sana kwani ni jamii hiyo itakayoweza kutengeneza na kuitii katiba, sio hii jamii ya vibaka kuanzia bodaboda hadi top guys.
Katiba ni muongozo/Sheria na SI kwamba katiba Mpya itamaliza matatizo yote ya Tanzania na kuigeuza kuwa pepo.

mazingira ya Dunia yanabadilika hivyo mwongozo au utaratibu wa namna watu waishi pia unapaswa kubadilika kulingana na mazingira.
Mazingira ya 1950 huwezi kulinganisha na 2023 hata kidogo. Katiba ya Sasa imeachwa mbali sana na mabadiliko ya mazingira tunapaswa kukubaliana kuandaa mwongozo Mpya unaoendana na mazingira ya Sasa.
kisha madarasa mazuri yatapatikana, hospitali nzuri zitapatikana n.k.
Kuendelea kuishi kwa mfumo ulioachwa na mabadiliko ya mazingira ni kujidunisha wenyewe na maendeleo tunayoyaimba tutayapata kwa kuchewa sana kwani tutakuwa nyuma ya wakati. Na ndio maana miaka 60 ya uhuru bado mtanzania analia na maji,umeme, wakati amezungukwa na maji ya kutosha.
 
Kenya na Afrika Kusini walipata katiba mpya. Je wametosheka? Je katiba mpya imewaletea demokrasia? Muulize Raila Odinga na Julius Malema watakwambia
Pamoja na mambo mengine hizo nchi bado huwezi kulinganisha na Tanzania kimaendeleo na ni kwa sababu ya katiba Bora zaidi hatuhitaji katiba Mpya Ili tupate demokrasia TU Kuna mambo mengi sana zaidi ya hilo
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Ubongo wangu na ufahamu wangu unatambua kwamba tatizo la msingi la Tanzania ni katiba Mpya tu.
Hakuna chochote kitafanikiwa kikamilifu bila katiba Mpya iwe maridhiano, kufunguliwa kwa mikutano ya kisiasa, kutoonewa wapinzani, uhuru wa vyombo vya habari,tume huru ya uchaguzi n.k, bila katiba Mpya ni danganya toto tu.
Viongozi wetu hili liwe hoja kubwa, chama kimefika hapo SI kwa juhudi zenu tu Bali ni kwa uelewa wa watanzania kwa Sasa ni mkubwa sana, wamejua chanzo cha matatizo Yao na wameitambua dawa, wataitafuta kwa namna yeyote mda ni mwamuzi sahihi.
viongozi tukiendelea kujidanganya tutavuna mabua.

Binafsi nampongeza sana makamu mwenyekiti hotuba take ya kwanza baada ya kuikanyaga ardhi ya Tanzania amelizungumzia hilo kwa msisitizo na wivu mkubwa saaana na tumemuelewa vizuri.
Ingawa fasho expresheni ya mwenye kigoda sikuielewa sana.

Mungu ibarikiki chadema
Mungu ibarikiki Tanzania
 
Katiba sio hitaji kubwa kwasababu uzuri au ubaya wa katiba unategemea haiba ya jamii ya watu wanaotumia katiba hiyo. Katiba ni maelezo/maneno yaliyo katika makaratasi tu. Kuitii au kutoitii hakutegemei kilichopo kwenye hayo maneno bali "quality" ya watu husika namna walivyo tayari kukubaliana na kilichomo.

Labda nikuulize, tukiichukua katiba ya Marekani kama ilivyo na kubadilisha kwenye US kuweka Tanzania, je Tanzania tutafanya mambo kama Marekani?

Nikuulize swali lingine. Sheria za usalama barabarani Tanzania zipo kwa kila mtumiaji barabara. Polisi ndio wanaosimamia sheria hiyo barabarani, na polisi Wana slogan yao, tii sheria bila shuruti. Je ushawahi kuona gari ya polisi ikaheshimu alama za barabarani? Ushaona gari ya polisi imekamatwa kwa kuvunja sheria za usalama barabarani? Katika jamii ya watu kama hao, katiba mpya itasaidia nini?

Hitaji kubwa kabisa kwa watanzania kwa Sasa ni madarasa mazuri na ya kisasa, walimu wa kutosha na motisha kwa walimu. Tukiliweza hilo hata kwa miaka 100, litakuwa na msaada sana kwani ni jamii hiyo itakayoweza kutengeneza na kuitii katiba, sio hii jamii ya vibaka kuanzia bodaboda hadi top guys.
Ndugu hayo yote yanatokea kwa sababu katiba Ina matundu ya kupitisha ujinga huo
 
Siyo Katiba pendekezwa,

Ni Ile RASIMU ya WARIOBA kabla haijapekekwa Bunge la Katiba na kuchakachuliwa.

Mjadala uanzie pale, tuweke maboresho na kuangalia njia Bora za kupata uwakilishi wa watu kuingia Bunge la Katiba bila kumtanguliza maslah ya vyama kiitikadi.
Na tutaanzia pale tulipoishia
RASIMU YA WARIOBA
 
Hitaji kubwa ni shibe, watu waondolewa njaa ya chakula na kipato. Katiba isubiri
Katiba ndio inakuamulia ni shibe ya kiwango Gani upate kwani viongozi wanaopatikana kwa mjibu wa katiba hupanga bajeti, bei ya mazao kuuza na kununua bidhaa, huweka Kodi ambazo zinaweza kuathiri shibe Yako. Kiufupi katiba ndio hatima Yako ya Kila kitu
 
malendo ya katiba bora kutoa haki kwa kila mtu kukomesha wizi na ubadhilifu wa mali za umma umimi kubebana na kazdharika, kwa watu weusi hiyo ni ndoto hata katba ushuke kutoka mbunguni kila mtu aione inashuka lakini asidi ahachi asili nchi zote za afirika kwni azina katiba chunguza uone maishi ya riya yalivio na chunguza uone wanasiasa wanavio tajirika kupitia kodi za wanyonge mama anakata mzizi wa fitina sasa katba mpiya ndio kipaumbele chake lakini sio sababu ya kuziya umimi ufisadi kubebana la sisi watu weusi uwezo wetu wa kujitawala ni mdogo
Uwezo wa kujitawala tunao sana tu tatizo ni uoga wa kipuuzi wa kuchukua hatua kama wananchi
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Elimu kubwa ilishatokewa kwa wanacpnchi kipindi cha mchakato wa kuipata mapendekezo/ Ukusanyaji wa maoni kwa Sasa wanachohitaji ujasiri wa viongozi katika kudai katiba Mpya.
La muhimu ni kwamba Katiba Mpya na nzuri haitapatikana kwa mazungumzo ya mezani.
CCM wanavuta mda tu kwa kichaka cha mazungumzo. Katiba Mpya na nzuri itapatikana kwa shinikizo na maandamano yaani nguvu ya imma.
Viongozi wa upinzani nguvu kubwa ni kuwashawishi wananchi kuandamana nchi nzima na wananchi wako tayari wanasubiri amri ya viongozi wao.
Duuu! Miaka mitatu ya kupata elimu ya katiba[emoji16][emoji16][emoji24]
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Elimu kubwa ilishatokewa kwa wanacpnchi kipindi cha mchakato wa kuipata mapendekezo/ Ukusanyaji wa maoni kwa Sasa wanachohitaji ujasiri wa viongozi katika kudai katiba Mpya.
La muhimu ni kwamba Katiba Mpya na nzuri haitapatikana kwa mazungumzo ya mezani.
CCM wanavuta mda tu kwa kichaka cha mazungumzo. Katiba Mpya na nzuri itapatikana kwa shinikizo na maandamano yaani nguvu ya imma.
Viongozi wa upinzani nguvu kubwa ni kuwashawishi wananchi kuandamana nchi nzima na wananchi wako tayari wanasubiri amri ya viongozi wao.
Hebu dadavua katiba za zamani wapi inapwaya na hiyo mpya inatakiwa irekebishwe mambo yapi
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Elimu kubwa ilishatokewa kwa wanacpnchi kipindi cha mchakato wa kuipata mapendekezo/ Ukusanyaji wa maoni kwa Sasa wanachohitaji ujasiri wa viongozi katika kudai katiba Mpya.
La muhimu ni kwamba Katiba Mpya na nzuri haitapatikana kwa mazungumzo ya mezani.
CCM wanavuta mda tu kwa kichaka cha mazungumzo. Katiba Mpya na nzuri itapatikana kwa shinikizo na maandamano yaani nguvu ya imma.
Viongozi wa upinzani nguvu kubwa ni kuwashawishi wananchi kuandamana nchi nzima na wananchi wako tayari wanasubiri amri ya viongozi wao.
Duniani kote katba Mpya na bora ndio kichocheo cha Maendeleo
 
Back
Top Bottom