Hitaji kubwa la Tanzania ni Katiba Mpya

Hitaji kubwa la Tanzania ni Katiba Mpya

Wanasiasa wamewaaminisha watu kwamba wanahitaji katiba mpya, ila sidhani kama ni kweli Watanzania wanahitaji hiyo katiba mpya. Kwani tulio nayo haifai kuongezewa vipengele vipya au kurekebisha vipengele vya sasa?

Hii nchi bana imekaa kimaslahi sana, kila mtu anapigania maslahi yake, wapinzani nao wana jambo lao kwenye huo mchakato. Mchakato wa zamani ulioanzishwa na Mh. Kikwete ulikwama kwasababu, wapinzani hawakufanikishiwa jambo lao la serikali tatu, hapo ndipo nilipojua hawa wapinzani sio watu wa kuwaamini. Rasimu ilikua na mambo mengi ya msingi lakini wakayakataa hayo yote kwasababu tu hoja yao ya serikali 3 haikupewa nafasi.

Hatuhitaji katiba mpya ispokua tunataka mabadiliko katika sekta ya elimu, ili vijana wetu waendane na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknologia. Tunataka elimu iwaandae vijana wetu jinsi ya kujitegemea zaidi kuliko kuajiriwa, tunayaona mambo hayo yakitekelezeka chini ya uongozi huu. Hatutaki kua na maandamano kila kukicha, hatutaki vurugu na fujo zilizo chochewa na wanasiasa kwa ajili ya maslahi yao binafsi na vyama vyao.
Hoja ya hovyo kabisa hii!
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.
Sio kweli
 
Hitaji kubwa nchi hii ni kubadilisha mtizamo wetu na siasa zetu.
 
kenya na afirka kusina wanakatiba nzuli sana lakini ufisadi mtindo 1 raiya wako hoi mtu mweusi hawezi kujiongoza
Hivi wewe unaweza linganisha maendeleo ya Kenya na Afrika Kusini na hapa kwetu TZ?

Ama kweli kuwa Sisiem, maana yake ni kuhamishia akili yako mtaa ule wa Lumumba!😎

Wewe unajua kuwa Zuma amefungwa jela Afrika Kusini, hebu jaribu kuimagine, kama suala hilo linaweza kutokea hapa TZ, licha ya Rais aliyeko madarakani, kuivunja Katiba ya nchi, kadri atakavyo!
 
Hivi wewe unaweza linganisha maendeleo ya Kenya na Afrika Kusini na hapa kwetu TZ?

Ama kweli kuwa Sisiem, maana yake ni kuhamishia akili yako mtaa ule wa Lumumba![emoji41]

Wewe unajua kuwa Zuma amefungwa jela Afrika Kusini, hebu jaribu kuimagine, kama suala hilo linaweza kutokea hapa TZ, licha ya Rais aliyeko madarakani, kuivunja Katiba ya nchi, kadri atakavyo!
Hizi ndio fikra nyingi za wa ccm yaani ni aibu
 
Acha ujinga wa kutumia mawazo ya wanasiasa uchwara kijana. Hivi ni siku gani mtatumia akili zenu wenyewe?

Kila siku ni kudandia mawazo ya wanasiasa wenu hata kama mawazo yenyew hayana maana yoyote kitaifa.

Maendeleo ya nchi hayaletwi na katiba bali yanaletwa na uchapakazi wa wananchi husika, mipango madhubuti ya kuinua uchumi, elimu nk.

Malawi wana katiba nzuri tu, imewasaidia nini kuondokana na umasikini mkubwa waliokuwa nao?

Marekani wana katiba moja lkn kila raisi huja na sera zake. Mfano Trump kaja na sera za kufukuza wahamiaji na ku ban some countries, Biden kaachana na mikakati ya Trump badala yake kaja na sera ya vita vya Ukraine nk.

So kinachohitajika ni maono ya viongozi pamoja na wananchi kujua wajibu wao wa kufanyakazi kwa bidii, kulipa kodi nk. Sio ukae barabarani ukipiga zogo huku ukitegemea kuwa katiba mpya itakuletea ugali nyumban kwako.

Swala la katiba ni la wanasiasa ambao wanalengo la kupiga pesa kupitia vikao vya katiba.
Hili povu sio la nchi hii 🤣🤣🤣btw have a lovely evening uvccm!!
 
Hizi ndio fikra nyingi za wa ccm yaani ni aibu
kulia na kucheka zote kelele kutoa mandela tu lakini maris wote waliopita afirika kusini ni mafisadi na hukuna aliefungwa wala kutaifishwa mali alioiba huyu zuma hiyo changa la macho afungwi mtu hapo

kenya kuanzia mwaikibaki wote hao mafisadi mpaka uhuru hata ruto mawaziri wote mafisadi nani kafungwa au kutaifishwa mali alizo iba? tangu lini mtu mweusi akaacha kuiba
 
Mikutano ya hadhara imeruhusiwa, japo ilizuiwa kinyemela na yule dikteta uchwara.

Raisi Samia yupo hapo kwa makusudi mema ya Mungu na kwa mujibu wa katiba japo kifungu hicho cha katiba hakina afya Tena kwa taifa lililo makini.

Hatupigi hatua kimaendeleo mpaka Sasa kwa sababu ya katiba mbovu Kila raisi anayeingia madarakani anakuja na vipaumbele vyake na wakati mwingine kutoendeleza miradi au mipango au vipaumbele vya mtangulizi wake, hili ni tatizo sana japo tunaliipuuza.

Huu ndio wakati mwafaka wa chama cha upinzani kuhubiri habari za katiba MPYA kwa nguvu na maarifa yenu yote, msituangushe tumewaamini sana.

Mungu awatangulie na kuwalinda mkafanye siasa safi yenye nguvu.

CCM imeshindwa kutuvusha watanzania mda wa mabadiliko ya kweli ni Sasa.

katiba ya sasa ni katiba bora sana, ina manufaa makubwa sana, SAY NO TO KATIBA MPYA
 
Katiba inajisimia yenyewe ni juu ya kiongozi wa nchi kuilinda au la; halafu aone mziki utakaotokea.Katiba haijali wasifu wa mtu.
utawala wa watu weusi hauna uwezo wa kusimamia katiba hata siku 1 tatizo kubebana urafi wizi umimi firika kuna nchi 54 zote watawala wake ni majizi tu raiya wake wako hoi viongozi wa kisiasa ndio matajiri kasolo nchi chache ambazo raiya wake kidogo wanapata maji safi ya kunywa shule afiya haki zao mahakaman nchi hizo mfano ribiya ya zamani moroco swazilandi misiri irijeriya nchi zote zilizo salia raiya wako hoi hata hapa kwetu katiba mtapata lakini wewe na mimi tutabaki kuwa hoi tu
 
kulia na kucheka zote kelele kutoa mandela tu lakini maris wote waliopita afirika kusini ni mafisadi na hukuna aliefungwa wala kutaifishwa mali alioiba huyu zuma hiyo changa la macho afungwi mtu hapo

kenya kuanzia mwaikibaki wote hao mafisadi mpaka uhuru hata ruto mawaziri wote mafisadi nani kafungwa au kutaifishwa mali alizo iba? tangu lini mtu mweusi akaacha kuiba
Unalinganisha maendeleo ya Kenya, south Africa na nchi Yako Tanzania halafu nani alikeambia kwa kuwa huko Kuna ufisadi basi sisi tusiwe na katiba Mpya?
 
utawala wa watu weusi hauna uwezo wa kusimamia katiba hata siku 1 tatizo kubebana urafi wizi umimi firika kuna nchi 54 zote watawala wake ni majizi tu raiya wake wako hoi viongozi wa kisiasa ndio matajiri kasolo nchi chache ambazo raiya wake kidogo wanapata maji safi ya kunywa shule afiya haki zao mahakaman nchi hizo mfano ribiya ya zamani moroco swazilandi misiri irijeriya nchi zote zilizo salia raiya wako hoi hata hapa kwetu katiba mtapata lakini wewe na mimi tutabaki kuwa hoi tu
Katiba za mataifa mengi ya Africa ni za kidikteta zinatoa mianya kwa viongozi wa juu kufanya Chochote wanachojidikia na ndio matatizo mengi yanapoanzia
 
Unalinganisha maendeleo ya Kenya, south Africa na nchi Yako Tanzania halafu nani alikeambia kwa kuwa huko Kuna ufisadi basi sisi tusiwe na katiba Mpya?
malendo ya katiba bora kutoa haki kwa kila mtu kukomesha wizi na ubadhilifu wa mali za umma umimi kubebana na kazdharika, kwa watu weusi hiyo ni ndoto hata katba ushuke kutoka mbunguni kila mtu aione inashuka lakini asidi ahachi asili nchi zote za afirika kwni azina katiba chunguza uone maishi ya riya yalivio na chunguza uone wanasiasa wanavio tajirika kupitia kodi za wanyonge mama anakata mzizi wa fitina sasa katba mpiya ndio kipaumbele chake lakini sio sababu ya kuziya umimi ufisadi kubebana la sisi watu weusi uwezo wetu wa kujitawala ni mdogo
 
Back
Top Bottom