Hitimisho: Mkataba wa Tanzania na Emirati ya Dubai kupitia DP World tumeukataa!

Ni wapi imeandikwa kwenye uendeshaji wa bunge kuwa Bungeni watajadili na kuupitisha MoU? Ni wapi mkataba ukakeuka MoU? Kwanini wasirekebishe kwanza MoU ndo waendelee kwenye Contract kuliko kukaza fuvu kuwa watafanya marekebisho mwenye Contract.
Lakini pia unajichanganya mara unaliita mkataba mara siyo mkataba...ueleweki kama Wabunge wetu walivyo, nina imani ungefanikiwa kuwa Mbunge kwenye ile uchaguzi wa 2020 pia ungeunga hoja kwa kuiiita mkataba.
 
Mshangao ni kuwa, Makubaliano ndiyo ina uchafu kiasi hiki tena inazo karatasi zisizofika 50. Fikiria uchafu itakayokwepo kwenye mkataba yenyewe wenye vipengele mablimbali.
Hivi hao viongozi wa serikali hawawezi kujifungia ata ndani ya hotel nzuri kwa kodi zetu wakachata nyaraka sentesi kwa sentesi alafu wakaanza discussion na upande wa pili?

Kama wahusika hawana uwezo watafute basi watu smart wenye uwezo wa kuyapitia neno kwa neno...toafuti na hapo wameongwa tu bila shaka.
 
Leo tarehe 14/07/2023 siku ya ijumaa,Waziri na Wanasheria wa Wizara ya Miundo Mbinu wametoa ufafanuzi wa mkataba kifungu kwa kifungu mbele ya vyombo vya habari.Nakuomba utafute maelezo hayo ili yakusaidie kujenga hoja yenye nguvu.Kwa hivi ulivyo-present bandiko lako,huna points,ni kama udaku tu.
 
Uukatae wewe kama nani?
 
Paskali Mayala nimeamini wewe ni mchumia tumbo, kuna kitu unahitaji wewe ni chawa mjanja mjanja na ndio maana Magufuli alikukataa hadharani tena kwa kukutolea maneno ya kejeli
 
Mungu wangu paschal,unaandika haya ukiwa umelewa?Hivi mwanasheria aliyefuzu Sheria anaweza akaaandika maneno kama haya?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Hivi,huu upumbavu wa kutaka kuwaaminisha watu kuwa ccm ikitoka madarakani hakuna mbadala wake unatokana na nini?kiburi,ujinga au ulevi tu wa madaraka? Paschal,ukilewa usiwe unashika key board.Zingatia ushauri huu
 
Mungu wangu paschal,unaandika haya ukiwa umelewa?Hivi mwanasheria aliyefuzu Sheria anaweza akaaandika maneno kama haya?
Mkuu Mwami Ntale , sio tuu mimi ni mwanasheria niliyefuzu, LL.B yangu ni LL.B ya UDSM, na sio LL.B plain, ni LL.B (Hons)!, ila kusomea sheria na kufuzu ni one thing, na ku practice sheria kuwa a competent lawyer is quite another!.

Mimi nimesomea tuu sheria just for the love of it!, nimefuzu vizuri tuu, sasa ni mwanasheria na wakili ila sija practice, hivyo mimi as a lawyer, I'm not a competent lawyer at all!, in terms of law practice, but maandiko yangu..., kama unauwezo wa kusoma hoja za kisheria, angalia hoja zangu za kiisheria kuhusu DPW, Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! kisha tafuta hoja za Prof. Shivji, na hoja za TLS, utanipa maua yangu!
Hivi,huu upumbavu wa kutaka kuwaaminisha watu kuwa ccm ikitoka madarakani hakuna mbadala wake unatokana na nini?
kiburi,ujinga au ulevi tu wa madaraka?
Kuna two types of people, the wishful thinkers and the realist. The wishful thinkers they just wish, some lives in utopia thinking wataamka one day wakute CCM haipo!.

The realist ni wale wanaokubali ukweli halisi uliopo hata uwe mchungu vipi!. Mimi ni realist, na nilisema Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na nikasema Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla
Paschal,ukilewa usiwe unashika key board.Zingatia ushauri huu
Asante sana, nitauzingatia, ushauri wako huu
Thanks.
P
 
Unadhani ni kwanin ccm inatumia nguvu kubwa kuelimisha wananchi juu ya huo mkataba, kwani huo mkataba ndio wa kwanza?
 
Watanzania tumezungumza. Tumezungumza kwa kauli zetu kalikali kama msumari na waziwazi kuliko utandawazi. Tumezungumza kupitia Wanasheria, Maprofesa, Maaskofu,
Mmeukataa na nani. Sijakutuma unisemee. Jisemee mwenyewe. Hutulipii kodi ya nyumba.
 
Ila mda mwengine ukisoma sana unakuwa ..ma..y au mercenaries na mtumwa wa elimu. Sisi yetu macho maana akuna jambo lisilo na mwisho. # Pascal Mayalla vijana wa ......... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…