Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
oh hongrea kwa kumiliki gari mkuu.Ningesema ila naogopa nitaonekana mmbea.
Ngoja nifute fute gari kwanza
Subiri nipupute mchanga kwenye gari kwanzaSema tu mkuu..
Sikuwahi kumuona na bia nyingine zaidi ya HeinekenKwa hiyo local bia hanywi mkuu?
Grand Malt tuu, Asubuhi subiri Uteuzi,Bia gani anakunywa?
Ntashangaa sana kukutana na mtu anaitwa KAYAMAN halafu hali nyasiWakuu kwema?
Nataka kumzawadia Raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli zawadi ya mwaka mpya, nataka kumzawadia kreti la bia.je huwa anakunywa bia kweli?
Asanteni