Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Hajauliza ilianza kuingia lini nchini.kauliza Heineken ilikuwepo miaka hiyo?

Na mimi nikamjibu ilikuwepo tangu mwaka 1873
Mimi ndio nimeuliza ilikuwepo kipindi hicho?Labda niongezee,ilikuwepo nchini kipindi hicho?Maana aliyekuwa muingizaji wa Heinkeni na Windhock ni Rugemalira ambaye yuko Jela kwa uhujumu uchumi!
Na kampuni yake ya uingizaji vinywaji hivyo haikuwepo kipindi hicho!
Je,vinywaji hivyo vilikuwepo nchini?
 
Mimi ndio nimeuliza ilikuwepo kipindi hicho?Labda niongezee,ilikuwepo nchini kipindi hicho?Maana aliyekuwa muingizaji wa Heinkeni na Windhock ni Rugemalira ambaye yuko Jela kwa uhujumu uchumi!
Na kampuni yake ya uingizaji vinywaji hivyo haikuwepo kipindi hicho!
Je,vinywaji hivyo vilikuwepo nchini?
@Waterloo ni mbishiiii, as if haelewi kinachoulizwa. Ujiniasi mwingine ukipitiliza nako ni tabu balaa.
 
Mimi ndio nimeuliza ilikuwepo kipindi hicho?Labda niongezee,ilikuwepo nchini kipindi hicho?Maana aliyekuwa muingizaji wa Heinkeni na Windhock ni Rugemalira ambaye yuko Jela kwa uhujumu uchumi!
Na kampuni yake ya uingizaji vinywaji hivyo haikuwepo kipindi hicho!
Je,vinywaji hivyo vilikuwepo nchini?
Labda niongezee,ilikuwepo nchini kipindi hicho?

Hapa ulipoongezea hapa ndio penyewe. Ulitakiwa useme nchini Tanzania iliingia lini?
 
Labda niongezee,ilikuwepo nchini kipindi hicho?

Hapa ulipoongezea hapa ndio penyewe. Ulitakiwa useme nchini Tanzania iliingia lini?
Very poor reasoning. Bado inawezekana kuwa iliingia mapema, mfano 1970s, lakini kwa wakati huo unaozungumziwa haikuwepo. Nakushauri mtafute wakili Kinyanjui wa Kenya ama Kibatali hapa Bongo wanaweza kukusaidia, vinginevyo utafungwa asubuhi.
 
Shida sio kuanzishwa,nazungumzia kuagizwa kuletwa bongo na kuuzwa mpaka huyo mtu akamuona JPM anakunywa hizo!
Kuna bidhaa nyingi tu ziko miaka na miaka nchi za watu ila bongo hazijawahi kufika!

Angekuwa specific kuhusu mwaka ningekwambia tungejua kama heineken hazikuwepo
 
Wakuu kwema?
Nataka kumzawadia Raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli zawadi ya mwaka mpya, nataka kumzawadia kreti la bia.je huwa anakunywa bia kweli?
Asanteni
Yule mpelekee maziwa anapenda sana bia labda Waziri
 
Back
Top Bottom