Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Mwaka 2015 alikuwa kusini mwa tanzania kipindi ni mgombea alipiga tungi siku hiyo na alilewa sana akaanza kutukana walinzi wake wakambeba
Hii ndiyo michikwali bubu ya Chama cha Demoghasia & Maombolezo. Siasa zenu za majitaka tushazijua na tumezizika rasmi kwenye ballot box ileeee Oktoba 28! Pls look for some other work to do.
 
Heineken ilianza 1864 so hata wadutch walivyokuwa wanakuja huku walikuwa wanakuja nazo, mkuu bia za siku mingi sanaaa
Shida sio kuanzishwa,nazungumzia kuagizwa kuletwa bongo na kuuzwa mpaka huyo mtu akamuona JPM anakunywa hizo!
Kuna bidhaa nyingi tu ziko miaka na miaka nchi za watu ila bongo hazijawahi kufika!
 
Wakuu kwema?
Nataka kumzawadia Raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli zawadi ya mwaka mpya, nataka kumzawadia kreti la bia.je huwa anakunywa bia kweli?
Asanteni
Wakuu kwema?
Nataka kumzawadia Raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli zawadi ya mwaka mpya, nataka kumzawadia kreti la bia.je huwa anakunywa bia kweli?
Asanteni
Mpelekee Maziwa ya mtindi.
 
Hii ndiyo michikwali bubu ya Chama cha Demoghasia & Maombolezo. Siasa zenu za majitaka tushazijua na tumezizika rasmi kwenye ballot box ileeee Oktoba 28! Pls look for some other work to do.
Nilichoandika nilikishuhudia
 
Back
Top Bottom