Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Hiv Magufuli huwa anakunywa bia?

Mpelekee uji/nyuka/maunga!
Waliosoma miaka ilee Mazengo/moshi tech watakuwa wanaelewa!
 
wakati akiwa waziri kuna siku alikagua barabara sasa kwa bahati pembeni yake kukawa na bar fulani akapata chakula na kupata kilaji tu cha kawaida cha kizalendo baridi kweli wakajadiliana jambo wakaenda zao rais ni mzalendo asiye na mfano wake alikuwaga hana habari ya masheratoni wala ma kempisky yeye muda wa chakula ukifika kama kuna mama ntilie au babalishe ataingia na kupata chakula chake safi kabisa hii ndio sifa yake kubwa sio mtu wa kujibosti bosti au kujiona ona
 
wakati akiwa waziri kuna siku alikagua barabara sasa kwa bahati pembeni yake kukawa na bar fulani akapata chakula na kupata kilaji tu cha kawaida cha kizalendo baridi kweli wakajadiliana jambo wakaenda zao rais ni mzalendo asiye na mfano wake alikuwaga hana habari ya masheratoni wala ma kempisky yeye muda wa chakula ukifika kama kuna mama ntilie au babalishe ataingia na kupata chakula chake safi kabisa hii ndio sifa yake kubwa sio mtu wa kujibosti bosti au kujiona ona
Sawa mkuu..kwa hiyo anapiga Balimi au safari?
 
Kwa jinsi kazi nzito anayoifanya ya ujenzi, mpelekee nyagi tu.
 
Mpelekee uji/nyuka/maunga!
Waliosoma miaka ilee Mazengo/moshi tech watakuwa wanaelewa!
Hahahaaa nilitaka kukuuliza hilo jina la Nyuka umelitoa wapi???..

Bado nimepata jibu tayari Waunga
 
Natumaini kwa Mheahimiwa hata ukimpa kitu cha asili kama Gongo vile itakuwa unamkumbusha enzi zake. Amini namwambia lazima uteuzi ukufuate kwa kasi ya upepo wa kisulisuli.
 
^Ndugu zangu, najua jina langu mojawapo ni Pombe. Lakini nataka niwahakikishie kwa dhati kabisa, kinywaji changu ni maji, siyo pombe. Nawaambia tena, sijawahi kunywa pombe zaidi ya kuwa nasikia harufu yake tu. Ninyi wenyewe mnajua pombe ilivyo na mambo yake, halafu wewe uwe Rais kila kitu kinapatikana Ikulu ukitaka mwenyewe. Hapana! Najua inatupatia kodi nyingi sana, lakini mimi sinywi pombe.^ ~JPM, Septemba 2016.
 
Back
Top Bottom