Hiv test (bi-oline)

Tunataka kujua tu kwa nini waathirika wengi wanakuwa na hasira za hali ya juu na za karibu sana that's why tukauliza mkuu...?
Mkuu....
Wewe ni mchochezi wa polepole..[emoji12] [emoji12]
 
Usijikute mwenyeji wakati ndii kwanza umejiunga 2018 tulia upewe ushauri nasaha dogo!...karibu JF
Hongera kwa kupima na Hasira ni kawaida yenu pia!!..
 
Hamna mkuu.

Sie tumeuliza tu ili kujua hiyo hali kwa nini inakuwepo kwa waathirika wengi kiongozi.

Wala hatumjaribu mkuu.

Kasema nyote mnaouliza hilo swali ni mateja.

Ha ha ha, ngoma si mchezo, jamaa ana hasira kama nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…