Hivi Alliens wanakula chakula gani?

Swali zuri sana.. What's so special about our earth, coz kuna sayari nyingi kubwa zaidi..kwa nini kusiwe na viumbe?
 
Kama unaamini binadamu alikua nyani na uwepo wa allies na hivo hivo, hizo ni story tu za wanasayansi. Zamani nilikua naamini uwepo wa zombie na vampire kwa kuwaona tu kwenye movie
...


hahahahahah!.........umenichekesha sana hapo mwisho!....":biggrin:zombie na vampire!"
 
Jamani husikasirike......sina nia mbaya.....yani nakumbuka ka "movie" flani kuhusu vampires.
 
Mi hata siwaelewi mnabishania kitu gani hapa....we amini tu kua hakuna mtu anaepatikana nje ya dunia tunayo ishi hata vitabu vya dini vinaeleza hilo hayo mambo ya alliens sijui nani ni mbwembwe za wazungu hakuna lolote...
 
Mi hata siwaelewi mnabishania kitu gani hapa....we amini tu kua hakuna mtu anaepatikana nje ya dunia tunayo ishi hata vitabu vya dini vinaeleza hilo hayo mambo ya alliens sijui nani ni mbwembwe za wazungu hakuna lolote...

sayansi na dini havikai pamoja hata siku moja. Ndio mana kila mtu ana theory zake.
 
Hakuna hivyo viumbe! Ni uongo mtupu!

Biblia ni muongozo Wa vitu vyote sio wanasayansi!


 
Duu hawa viumbe hata siwaelewi zaidi ya kutazama manjonjo yao ktk film tu.
 
Hujanielewa Mokoyo. Nimemaanisha kama vile tunavyoaminishwa kua binaadamu alikua sokwe kitu ambacho hakiwezekani, ndio vile vile tunaaminishwa kuhusu allies, siamini kua viumbe hao wapo

hakuna sayansi inayosema binadamu alikuwa sokwe, sijui mnatoa wapi hayo mambo!?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, hapa hakuna cha utata wala nini, wapo kibao hao viumbe vipenzi, uhalifu kwa kweli hatujawahi kuishi nao ila kiukweli kwa mujibu wa wanasayansi, ni wakorofi sana kama tukikwaruzana nao

sasa wamejuaje kama ni wakorofi ikiwa hatujakwaruzana nao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…