Hivi Alliens wanakula chakula gani?

Hivi Alliens wanakula chakula gani?

kabla ya kujua wanakula nini,uliwaona wapi? Au nani aliwaona physically?
 
Uliwaona lini?
Wapi?

Kama una access ya mtandao upo karibu, youtube ndo mahala unaweza ukabahatika kusafisha macho kuhusu hao viumbe, ila kuna mmoja walimfungia ndani kwenye chumba ambacho kina kadirisha kadogo, huyo grey allien alijaribu kukimbia kupitia dirishani akashindwa, mlango ulipofunguliwa tu haraka sana akarudi pale walipomuacha kwenye kile kichumba na camera waliiweka ili wamsome vizuri tabia za hao allien
 
kwa hiyo wewe uchunguzi wako ni utube?. Huko kuna mpaka mtu samaki lakini ni wa kuchongwa!
Kama una access ya mtandao upo karibu, youtube ndo mahala unaweza ukabahatika kusafisha macho kuhusu hao viumbe, ila kuna mmoja walimfungia ndani kwenye chumba ambacho kina kadirisha kadogo, huyo grey allien alijaribu kukimbia kupitia dirishani akashindwa, mlango ulipofunguliwa tu haraka sana akarudi pale walipomuacha kwenye kile kichumba na camera waliiweka ili wamsome vizuri tabia za hao allien
 
kwanza udefine aliens ni nini? as far as many are concerned ni evil spirits isipokuwa secularists who dont believe in God ndiyo wanasema alien.

Sasa na wewe ndo unakoroga mambo kabisa...

Kwahiyo, itokee siku moja sayari ya Mars kukawa na uhai na viumbe wanaishi basi ni evil spirits......???

Kwanza umeshasema roho, je roho inaonekana....? Inaonekana na wewe ni kama mleta mada wote ni watu wa kuambiwa kila kitu..
 
Mkuu unaamini kuwa binadamu alikuwa sokwe?

Hivi Evolution ina-confirm vipi uwepo wa aliens (na hapa am not just talking about life beyond earth) bali extraterrestrial (intelligent beings) kama mdau anavyosema wapo.
 
kwanza udefine aliens ni nini? as far as many are concerned ni evil spirits isipokuwa secularists who dont believe in God ndiyo wanasema alien.

Alliens ni viumbe kabisa tena vina mifupa kabisa, sema form yao ni tofauti na za kibinadamu, hata wenyewe kuna weupe na weusi kama kulivyo huku duniani
 
kwa hiyo wewe uchunguzi wako ni utube?. Huko kuna mpaka mtu samaki lakini ni wa kuchongwa!

Tofautisha samaki mtu kiasili, samaki halisi, kama ni rahisi kujua alie samaki mtu kweli na samaki mtu feki kwa kuangalia mikunjo kuanzia kiunoni mpaka mwiso kule mkiani, ukiona mikunjo haina tofauti na miguu ya kibinadamu huyo ni feki
 
Inasemekana kuwa aliens wana milango ya fahamu mingi zaidi ya tuliyonayo binadamu.
 
Sasa na wewe ndo unakoroga mambo kabisa...

Kwahiyo, itokee siku moja sayari ya Mars kukawa na uhai na viumbe wanaishi basi ni evil spirits......???

Kwanza umeshasema roho, je roho inaonekana....? Inaonekana na wewe ni kama mleta mada wote ni watu wa kuambiwa kila kitu..


kuna mtu uliwahi kumsikia live akisema kuwa amekutana na aliens mbali ya holywood movies?
 
Alliens ni viumbe kabisa tena vina mifupa kabisa, sema form yao ni tofauti na za kibinadamu, hata wenyewe kuna weupe na weusi kama kulivyo huku duniani


kuna mtu uliwahi kumsikia live akisema kuwa amekutana na aliens mbali ya holywood movies?
 
Kama una access ya mtandao upo karibu, youtube ndo mahala unaweza ukabahatika kusafisha macho kuhusu hao viumbe, ila kuna mmoja walimfungia ndani kwenye chumba ambacho kina kadirisha kadogo, huyo grey allien alijaribu kukimbia kupitia dirishani akashindwa, mlango ulipofunguliwa tu haraka sana akarudi pale walipomuacha kwenye kile kichumba na camera waliiweka ili wamsome vizuri tabia za hao allien
Hahahahahaaaa!
Haki ya Mungu walai! Yaani unadanganywa kama mtoto mdogo vile!
Kama vipi amini na uwepo wa Godzila, Zombie na Vampire coz ukisearch Youtube unapata video zao!
 
Kisayansi vipo hivyo viumbe na husemekana vina akili sana ndio maana kwetu ni fumbo maana huelea angani (un identified floating objects=UFO).Cha kula sifahamu maana hatujui wanatokea sayari gani na kama wana mimea na wanyama.Tulikuwa na sayari tisa sasa tuna ngapi?

sayari zimebaki nane tu
 
Back
Top Bottom