Nilitaka kushangaa. Sure Boy mwenyewe umri wa kustaafu sasa maana kapiga soka kipindi.Ni mwanae
Mwanaye karith jinaSure Boy anacheza mpira mpaka leo au huyo mwanawe karithi jina?
Ah kumbe we mwenyewe mpira ulikushinda ukaishia chandimu kumbuka unachomfanyia jamaa siyo fair kumbuka neno huumba jamaa analisha familia kwa miguu yakeHakuna kitu kama hicho. Abadilike tunataka akina Samatta wengi Tanzania.
Mchezaji mwenyewe ni mzee wa back pass 🚮🚮🚮Leo katika mtanange wa ligi kuu Tanzania bara VPL, ulikuwa ni mtifuano katika ya Azam FC na Yanga SC kwenye uwanja wa Chamazi, ambapo kwenye mchezo huu Yanga imeibuka na ushindi wa goli mbili kwa moja dhidi ya Azam FC.
Huku mchezaji wa Azam FC Abubakar Salum ' Sure Boy' akitolewa nje ya uwanja kwa kadi nyekundu baada ya kumsukuma beki wa Yanga Hassan Ramadhan.
Nakumbusha Azam FC na kuwauliza hivi Abubakar Salum huwa anawapa nini zaidi kugharimu timu?
Yaani viongozi mmeziba pamba kwenye masikio? Na macho mnayo lakini hamuoni? Sasa mnataka awaonyeshe namna gani kuwa huyo mchezaji ni Yanga wakutupwa, kwahivyo kuendelea kumtumia kwenye mechi dhidi ya Yanga ni ujinga.
Kwasababu tayari mnakuwa 10 uwanjani badala ya 11. Mchezaji anahujumu timu wazi wazi kiasi hicho halafu mnajifanya hamuoni?
Na wachezaji kama hawa ndo chanzo cha soka la Tanzania kupiga hatua. Poleni sana Azam FC.
We punguni wahed sana, kwani alisimamishwa peke yake? Na waliosimamisha wenzake hujui kuwa wapo mazoezini?Wewe kolo ni jinga tu
Sasa afanyeje ikiwa alisimamishwa?
Atakula wapi na anataka sehemu ya kucheza?
Kwamba unadhani sijui wenzie kina Morris wapo timuni tayari?We punguni wahed sana, kwani alisimamishwa peke yake? Na waliosimamisha wenzake hujui kuwa wapo mazoezini?
Hujui chochote halafu unajitia kiherehere hapa peleka mbele Upunguani wako huko.
We ni mgonjwa wa akili hata kukujibu ni kupoteza muda bure, huu Uzi niliandika wakati upo huko vichochoroni 2018, ndo maana huelewi ushike lipi, hivi kuna sehemu nimekuzuia kuongea au kuchangia?Kwamba unadhani sijui wenzie kina Morris wapo timuni tayari?
Sure Boy kaamua asirudi na akatafute team nyingine ni maamuzi yeke akuridhishe aige wenzie wewe ni mkewe?
Tutolee ufala mwana wa nje ya ndoa wewe unanipangia nisiongee hata Kama unamuonea mtu, jf ya baba yako?
Kiufupi jamaa amekurupukaWe ni mgonjwa wa akili hata kukujibu ni kupoteza muda bure, huu Uzi niliandika wakati upo huko vichochoroni 2018, ndo maana huelewi ushike lipi, hivi kuna sehemu nimekuzuia kuchangia?
Eti alale wapi, kwani wakati hujasimamishwa alikuwa anakula ulikuwa unampikia wewe?
We kima tu kama kima wengine.
Wewe kolo uliyetukuka mfariji mwenzio juzi tu hapa ulianza kunitukana mwenyewe je hukukurupuka?Kiufupi jamaa amekurupuka
Kwahiyo mnashindana kukurupuka?Wewe kolo uliyetukuka mfariji mwenzio juzi tu hapa ulianza kunitukana mwenyewe je hukukurupuka?
Unalalamika kutukamwa ilhali we ndo unaanza kutukana, Nyani Asiyeona Kundule.Wewe kolo uliyetukuka mfariji mwenzio juzi tu hapa ulianza kunitukana mwenyewe je hukukurupuka?
Jamaa kweli ni mchawi. Majibu yamepatikana sasa toka 2018.mtoa mada kama hajachaniwa mkeka basi atakuwa mchawi