Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Ukabila wao wanataka kuleta Kwenye huu ugonjwa,inamana ugonjwa unachagua utaifa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nasema humu Wakenya ndio watu wenye IQ ndogo dunia nzima.
Madereva wakenya wanazurura Tanzania zaidi ya wiki wakipimwa wanakutwa negative, lakini watanzania wanakutwa positive.
Endeleeni kudundana virungu mkilazimishana lock down wasee wa failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app