Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa povu heri wakenya wanaokuja huko ni professionals kuliko watanzania wanaokuja huku ni omba omba na hawkersWe zombi la mathare hakuna mtz anaeza kuhamia kunyaland ila nyie mlivo jazana huku sasa ok working permit mtachukua kwa dola af5
Kq mkija qarantine 2wk
Budaa all option are on table
Magari mengi ya tz kenya we ujui maana yake? Logistic wise mko nyuma sana
Natamani vipi maisha ambayo Al Shabab wanaweza kuja kuyachukua muda wowote? Na hata jeshi lisijali likawa bize kuiba mikate.Ila mtanzania anakamatwa na kuwekwa ndani ati amecheka suti ya St. Jiwe 😂😂😂
Kenyatta anatukanwa Kila siku Mara Mlevi 1, Mara bange 1, Konyagi 1 na memes zinatengenezwa nyiiiiiingi na hamna aliyekamatwa. Huko kwenu kama si nyimbo za misifa kwa Jiwe ni kuwatukana Wakenya Ila najua mnatamani Sana maisha ya Wakenya.
Labda ni kwli mkuu...sasa ebu tuwaze nje ya box kenya wanaotutegemea kwa kila kitu kama tunavyodai wanagain nini kutuhujumu mkuu?
Hela Kila kitu bro afu tuna Uhuru wa kunua hata Mexico ama pia huko mtaweka vizuizi?We mbulula skizia tu maumivu sirari ishafungwa ujue
tunajua tatizo ni uchumi wenu sasa sie tnausindikizia ukuuko chini
Nakukumbusha tu chakula ndo usalama wa taifa
We ndo unaonesha ulivo zero brain... Utajuaje kama wanachukua tahadhari wasiambukizwe?? Alafu tena nani kakwambia madereva wote wanaotokea Tanzania wanapatikana negative??Huwa nasema humu Wakenya ndio watu wenye IQ ndogo dunia nzima.
Madereva wakenya wanazurura Tanzania zaidi ya wiki wakipimwa wanakutwa negative, lakini watanzania wanakutwa positive.
Endeleeni kudundana virungu mkilazimishana lock down wasee wa failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usingekuwa unatamani hungekuwa na hasira hivyo 😂Natamani vipi maisha ambayo Al Shabab wanaweza kuja kuyachukua muda wowote? Na hata jeshi lisijali likawa bize kuiba mikate.
Hii issue ni raisi sana kusolve kama serikali yenu ingekua willing kucooperateTuache ushabiki wa kizandiki...watanzania kwa hili tunabugi sana...kama sie tumekubali Corona imeisha kwetu kwa nini tunaogopa kupimwa wakati tunaingia kwa wengine? Kila nchi inanjia yake ya kupambna na hili janga na jiwe alisema tusipangiwe basi na sie tusiwapangie wenzetu jinsi ya kufanya kwenye hili...tunajanzwa ujinga na viongozi wetu then tunareact tu bila kujiongeza? Kenya wana haki ya kulinda watu wao kama tunaona wanatuonea kwa nini tunang'aninia kwenda? Tubaki kwetu wao waje kwetu kufata wanachotaka.
Sijakuelewa mkuu..kenya wanaimport zaidi mazao ambapo sie ndo tunapata hela kutoka kwao mkuu...au unamaana gani?Hela Kila kitu bro afu tuna Uhuru wa kunua hata Mexico ama pia huko mtaweka vizuizi?
Watz wengi wamevuka waiopatikana negative hatuna unafiki ni michezo ya kitotohakuna mtz anavuka mpaka sasa mtawapima aje ?
Em acha ushambenga mtoto wa shoga
aya em nipe idad yawa tz walovuka mpaka jana?
Sio kwamba mnauwezo sana sema mkopo mkubwa mliochukua hiyo ndio kazi yake...mngekua na uwezo msingekimbilia mkopoMadereva Watanzania wamekua wakipimwa na majirani zao wote SADC na EAC na kukutwa na corona, kama jinsi hata madereva wetu wanapimwa Uganda na kugunduliwa na corona, ila Watanzania kama ilivyo kawada yao wanalia lia na kufukia vichwa ardhini maana kwao huko wamejiaminisha hawana corona.
Tofauti na kwingine huko ni kwamba sisi tuna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo, na kwamba madereva wengi wa Tanzania huja Kenya, tofauti na majirani zao wengine, hivyo tunapima wengi na kuwagundua na corona, hii inasababisha aibu kwa wakuu wao ambao wamewaaminsha raia wao kwamba corona imeisha na sasa wajiandae Jumapili kupiga makelele ya ushindi dhidi ya corona, ila kila wakithubutu kuingia kwa nchi yoyote jirani namba za waathirika wao zinapandsha.
Jamaa wamelia lia mpaka imembidi balozi wetu kuwahutubia na kuwakuna akiwaita ndugu na mazagazaga mengine ambayo hutumika huko kwa watu wa mfumo wa ujamaa, ila swali bado linabaki pale pale; je, dereva Mtanzania akiingia Kenya au kwenye taifa lolote jirani, atapimwa au aachwe aingie na corona yake kisa walikunwa kunwa na balozi wetu.
Sisi hatuna wasiwasi kuhusu wao kuzuia madereva wetu, muhimu sana madereva wetu wazuiwe kuingia kwenye nchi ambayo imejichokea kwenye vita dhidi ya corona kisa umaskini, maana kila wakigeuza wanakuja na corona.
Napenda sana wanachokifanya Uganda, wanapima madereva wetu kiasi kwamba hatuwaogopi wakirudi, lakini wakienda Tanzania au Mkenya yeyote akienda Tanzania akirudi lazima tumpigie ukunga akithubutu kuingia kinyemela. Kila mtu lazima apimwe. Pima, pima, pima, hata iwe nani au hata akilia vipi.
Hahaha dah Mi niwe na hasira na watu wapo gizani kisa umeme? Kasirika wewe balozi wako kupiga magoti TzUsingekuwa unatamani hungekuwa na hasira hivyo 😂
Tanzania na Somalia tumeziweka kundi moja...hatari kwa maisha ya Wakenya
Sisi ndio tunapata hela nyingi kwa kuwauzia bidhaa za Bei ya juu Kama sabuni, chuma, madawa, siagi, pipi, cosmetics etc ilhali tutanunua vitunguu na matunda kutoka Tz au kupitia Tz from Zambia & Malawi.Sijakuelewa mkuu..kenya wanaimport zaidi mazao ambapo sie ndo tunapata hela kutoka kwao mkuu...au unamaana gani?
afya na usalama!! leo namba inagonga 1k[emoji16][emoji16]
kama mnaruhusu wazima pekee,sisi hatuwataki hata hao wazima huku.ndio uone hatuna faida yoyote tunaipata kutokea kwenu.
Madereva Watanzania wamekua wakipimwa na majirani zao wote SADC na EAC na kukutwa na corona,...
Sio kwamba mnauwezo sana sema mkopo mkubwa mliochukua hiyo ndio kazi yake...mngekua na uwezo msingekimbilia mkopo
Sent using Jamii Forums mobile app
endeleeni kupimana.Hata igonge milioni moja, cha msingi tunapima na kuhakikisha kila kajamba wa kutokea nchi jirani lazima apimwe.
Hilo ya nyie kukataa wasije hata wazima ni sheria zenu na tunaziheshimu, kila ukitaka kuingia kwenye nchi ya watu unapitia uhamiaji, wao wanatathmini kama kuna umuhimu wa wewe kuingia, wakikukatalia haupaswi kung'ang'ania, unaheshimu maamuzi yao na kujigeuzia kurudi kwenu.
Kwa hivyo iwe mnawakataa Wakenya kuja huko au la halituhusu, kwa sasa kila mtu kutoka kwenu lazima apimwe tena mara mbili mbili, akigunduliwa kuwa na corona anageuzwa fasta mkaambukizane huko.
mlinzi wa kampuni huyo sometime halali kabisa.View attachment 1454657
Nilikuwa naangalia tu nijue umeamka saa ngapi kuanzisha uzi. It seems like unatamani siku ianze mapema kila siku uanzishe uzi
sasa mtu anakukopesha halafu anakupa masharti,kwani sharti la mkopo si ni uwezo na uhakika wa kulipa!!!!!Ndio umesema nini hapa, kwani mkopo tunapewa bure??? Lazima mpimwe...nasisitiza tena, lazima mpimwe...
ndio mbaki nao wataalamu wenu mpeane mimba huko msimu huu wa lockdown with corona.Hahaa povu heri wakenya wanaokuja huko ni professionals kuliko watanzania wanaokuja huku ni omba omba na hawkers
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1454657
Nilikuwa naangalia tu nijue umeamka saa ngapi kuanzisha uzi. It seems like unatamani siku ianze mapema kila siku uanzishe uzi