Hivi baada ya balozi wetu kuwakuna Watanzania, sharti la kupima lililegezwa?

Hivi baada ya balozi wetu kuwakuna Watanzania, sharti la kupima lililegezwa?

Kila nchi iwe na namna na utaratibu wake wa kupambana na hili janga la Covid19...

Siyo lazima tufanane...



Cc: mahondaw
 
We zombi la mathare hakuna mtz anaeza kuhamia kunyaland ila nyie mlivo jazana huku sasa ok working permit mtachukua kwa dola af5
Kq mkija qarantine 2wk
Budaa all option are on table

Magari mengi ya tz kenya we ujui maana yake? Logistic wise mko nyuma sana
Hahaa povu heri wakenya wanaokuja huko ni professionals kuliko watanzania wanaokuja huku ni omba omba na hawkers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mtanzania anakamatwa na kuwekwa ndani ati amecheka suti ya St. Jiwe 😂😂😂
Kenyatta anatukanwa Kila siku Mara Mlevi 1, Mara bange 1, Konyagi 1 na memes zinatengenezwa nyiiiiiingi na hamna aliyekamatwa. Huko kwenu kama si nyimbo za misifa kwa Jiwe ni kuwatukana Wakenya Ila najua mnatamani Sana maisha ya Wakenya.
Natamani vipi maisha ambayo Al Shabab wanaweza kuja kuyachukua muda wowote? Na hata jeshi lisijali likawa bize kuiba mikate.
 
Labda ni kwli mkuu...sasa ebu tuwaze nje ya box kenya wanaotutegemea kwa kila kitu kama tunavyodai wanagain nini kutuhujumu mkuu?
We mbulula skizia tu maumivu sirari ishafungwa ujue
tunajua tatizo ni uchumi wenu sasa sie tnausindikizia ukuuko chini

Nakukumbusha tu chakula ndo usalama wa taifa
Hela Kila kitu bro afu tuna Uhuru wa kunua hata Mexico ama pia huko mtaweka vizuizi?
 
Huwa nasema humu Wakenya ndio watu wenye IQ ndogo dunia nzima.

Madereva wakenya wanazurura Tanzania zaidi ya wiki wakipimwa wanakutwa negative, lakini watanzania wanakutwa positive.

Endeleeni kudundana virungu mkilazimishana lock down wasee wa failed state.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ndo unaonesha ulivo zero brain... Utajuaje kama wanachukua tahadhari wasiambukizwe?? Alafu tena nani kakwambia madereva wote wanaotokea Tanzania wanapatikana negative??

Imbecile ukiwaita wengine wajinga hakikikisha wewe mwenyewe si zaidi ya mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani vipi maisha ambayo Al Shabab wanaweza kuja kuyachukua muda wowote? Na hata jeshi lisijali likawa bize kuiba mikate.
Usingekuwa unatamani hungekuwa na hasira hivyo 😂
Tanzania na Somalia tumeziweka kundi moja...hatari kwa maisha ya Wakenya
 
Tuache ushabiki wa kizandiki...watanzania kwa hili tunabugi sana...kama sie tumekubali Corona imeisha kwetu kwa nini tunaogopa kupimwa wakati tunaingia kwa wengine? Kila nchi inanjia yake ya kupambna na hili janga na jiwe alisema tusipangiwe basi na sie tusiwapangie wenzetu jinsi ya kufanya kwenye hili...tunajanzwa ujinga na viongozi wetu then tunareact tu bila kujiongeza? Kenya wana haki ya kulinda watu wao kama tunaona wanatuonea kwa nini tunang'aninia kwenda? Tubaki kwetu wao waje kwetu kufata wanachotaka.
Hii issue ni raisi sana kusolve kama serikali yenu ingekua willing kucooperate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela Kila kitu bro afu tuna Uhuru wa kunua hata Mexico ama pia huko mtaweka vizuizi?
Sijakuelewa mkuu..kenya wanaimport zaidi mazao ambapo sie ndo tunapata hela kutoka kwao mkuu...au unamaana gani?
 
Madereva Watanzania wamekua wakipimwa na majirani zao wote SADC na EAC na kukutwa na corona, kama jinsi hata madereva wetu wanapimwa Uganda na kugunduliwa na corona, ila Watanzania kama ilivyo kawada yao wanalia lia na kufukia vichwa ardhini maana kwao huko wamejiaminisha hawana corona.

Tofauti na kwingine huko ni kwamba sisi tuna uwezo wa kupima wengi kwa mkupuo, na kwamba madereva wengi wa Tanzania huja Kenya, tofauti na majirani zao wengine, hivyo tunapima wengi na kuwagundua na corona, hii inasababisha aibu kwa wakuu wao ambao wamewaaminsha raia wao kwamba corona imeisha na sasa wajiandae Jumapili kupiga makelele ya ushindi dhidi ya corona, ila kila wakithubutu kuingia kwa nchi yoyote jirani namba za waathirika wao zinapandsha.

Jamaa wamelia lia mpaka imembidi balozi wetu kuwahutubia na kuwakuna akiwaita ndugu na mazagazaga mengine ambayo hutumika huko kwa watu wa mfumo wa ujamaa, ila swali bado linabaki pale pale; je, dereva Mtanzania akiingia Kenya au kwenye taifa lolote jirani, atapimwa au aachwe aingie na corona yake kisa walikunwa kunwa na balozi wetu.

Sisi hatuna wasiwasi kuhusu wao kuzuia madereva wetu, muhimu sana madereva wetu wazuiwe kuingia kwenye nchi ambayo imejichokea kwenye vita dhidi ya corona kisa umaskini, maana kila wakigeuza wanakuja na corona.

Napenda sana wanachokifanya Uganda, wanapima madereva wetu kiasi kwamba hatuwaogopi wakirudi, lakini wakienda Tanzania au Mkenya yeyote akienda Tanzania akirudi lazima tumpigie ukunga akithubutu kuingia kinyemela. Kila mtu lazima apimwe. Pima, pima, pima, hata iwe nani au hata akilia vipi.
Sio kwamba mnauwezo sana sema mkopo mkubwa mliochukua hiyo ndio kazi yake...mngekua na uwezo msingekimbilia mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usingekuwa unatamani hungekuwa na hasira hivyo 😂
Tanzania na Somalia tumeziweka kundi moja...hatari kwa maisha ya Wakenya
Hahaha dah Mi niwe na hasira na watu wapo gizani kisa umeme? Kasirika wewe balozi wako kupiga magoti Tz
 
Sijakuelewa mkuu..kenya wanaimport zaidi mazao ambapo sie ndo tunapata hela kutoka kwao mkuu...au unamaana gani?
Sisi ndio tunapata hela nyingi kwa kuwauzia bidhaa za Bei ya juu Kama sabuni, chuma, madawa, siagi, pipi, cosmetics etc ilhali tutanunua vitunguu na matunda kutoka Tz au kupitia Tz from Zambia & Malawi.
 
afya na usalama!! leo namba inagonga 1k[emoji16][emoji16]

kama mnaruhusu wazima pekee,sisi hatuwataki hata hao wazima huku.ndio uone hatuna faida yoyote tunaipata kutokea kwenu.

Hata igonge milioni moja, cha msingi tunapima na kuhakikisha kila kajamba wa kutokea nchi jirani lazima apimwe.
Hilo ya nyie kukataa wasije hata wazima ni sheria zenu na tunaziheshimu, kila ukitaka kuingia kwenye nchi ya watu unapitia uhamiaji, wao wanatathmini kama kuna umuhimu wa wewe kuingia, wakikukatalia haupaswi kung'ang'ania, unaheshimu maamuzi yao na kujigeuzia kurudi kwenu.
Kwa hivyo iwe mnawakataa Wakenya kuja huko au la halituhusu, kwa sasa kila mtu kutoka kwenu lazima apimwe tena mara mbili mbili, akigunduliwa kuwa na corona anageuzwa fasta mkaambukizane huko.
 
Madereva Watanzania wamekua wakipimwa na majirani zao wote SADC na EAC na kukutwa na corona,...

1589952130983.png


Nilikuwa naangalia tu nijue umeamka saa ngapi kuanzisha uzi. It seems like unatamani siku ianze mapema kila siku uanzishe uzi
 
Hata igonge milioni moja, cha msingi tunapima na kuhakikisha kila kajamba wa kutokea nchi jirani lazima apimwe.
Hilo ya nyie kukataa wasije hata wazima ni sheria zenu na tunaziheshimu, kila ukitaka kuingia kwenye nchi ya watu unapitia uhamiaji, wao wanatathmini kama kuna umuhimu wa wewe kuingia, wakikukatalia haupaswi kung'ang'ania, unaheshimu maamuzi yao na kujigeuzia kurudi kwenu.
Kwa hivyo iwe mnawakataa Wakenya kuja huko au la halituhusu, kwa sasa kila mtu kutoka kwenu lazima apimwe tena mara mbili mbili, akigunduliwa kuwa na corona anageuzwa fasta mkaambukizane huko.
endeleeni kupimana.

sisi tumewarahisishia kazi ya kuja huku mbaki mnapimana kwenu.mkija kushtuka mna wagonjwa kibao na hamjui mlikuwa mnapima ili iweje.
 
Ndio umesema nini hapa, kwani mkopo tunapewa bure??? Lazima mpimwe...nasisitiza tena, lazima mpimwe...
sasa mtu anakukopesha halafu anakupa masharti,kwani sharti la mkopo si ni uwezo na uhakika wa kulipa!!!!!

kweli umasikini mbaya sana.
 
View attachment 1454657

Nilikuwa naangalia tu nijue umeamka saa ngapi kuanzisha uzi. It seems like unatamani siku ianze mapema kila siku uanzishe uzi

Nani alikuambia ndio muda nilikua nimeamka, hauwezi kukimbizana na Mkenya likija suala la uzalishaji na matumizi bora ya masaa.
Angalia hii hapa dashboard ya system ambayo huwa natumia kufuatilia uzalishaji wangu, masaa mangapi nimetumia kwenye nini na nini.
Mpaka sasa nimetumia masaa matano na nusu na productivity pulse yangu ni 63%

productivity.jpg
 
Back
Top Bottom