Hivi baada ya balozi wetu kuwakuna Watanzania, sharti la kupima lililegezwa?

Mpaka sasa nimetumia masaa matano na nusu na productivity pulse yangu ni 63%
Inawezekana schedule hizo ukazi-name vyovyote. Mfano hiyo ya software development inawezekana umeeiita hivyo tu, lakini kumbe ndio percentage iliyotumika kuwepa threads na posts humu JF 😁
 
Basi kwa huo mgomo wabaki huko huko....hii ni nchi ya uchumi wa kati hatutaki kuletewa balaa za umaskini na watu waliojichokea wanashindwa kupambana na corona kisa umaskini.
Hiyo mido inkamu yenu huwa inanichekesha sana!!!
 
Ndio umesema nini hapa, kwani mkopo tunapewa bure??? Lazima mpimwe...nasisitiza tena, lazima mpimwe...
Tatizo kidogo mnakimbilia kukopa duh eti mido inkamu?Kupima Ni jambo jema najua maana hata Mimi ni Mganga, Nasemaje kupima ni jambo jema tena sana

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kumhoji Dr. moja kuhusu namna ya kupima ugonjwa wa Corona, alinijulisha kuwa hapa Africa Mashariki hakuna Darubini ambayo inaweza kumwona mdudu wa Corona ila zipo mashine za kupima sample na hizi mashine hutoa reaction Fulani ambayo huonyesha uwepo wa vijidudu vya Corona.
Hii inaweza kuwa sahihi kwa Mh. Rais wa Inchi yetu kusema kuwa matokeo ya vipimo vya corona yaliyokuwa yanafanywa kwenye maabara yetu si sahihi.
Matokeo ya kipimo kinachotokana na reaction huwezi kuyategemea sana na huwezi kumlaumu mpimaji kwa sababu unaweza ukupima sample na ikatoa reaction inayoonyesha kuwa kuna vijidudu vya corona wakati hakuna.
Inashangaza kuambiwa kuwa dereva amepimwa ugonjwa wa corona na kuonekana ameambukizwa wakati yeye yu buheri wa afya na anafanya kazi ngumu ya kuendesha lori masaa mengi.
Kama hali ni hii ya watu kuwa na vijidudu vya corona lakini hawana dalili zozote za ugonjwa, watu waruhusiwe kuendelea na maisha kama kawaida kuliko kufunga shughuli mbali mbali za kibiashara na kuwatesa watu kwa kuogopa ugonjwa ambao tunaishi nao bila kujua na bila kuumwa.
Hakika vijidudu vya corona havitakaa viishe kamwe. Miili yetu itavizoea na kujenga kinga.
Kulikuwa na kaugonjwa Fulani Inchini kanaitwa Dengue, sasa kako wapi?
 
Inawezekana schedule hizo ukazi-name vyovyote. Mfano hiyo ya software development inawezekana umeeiita hivyo tu, lakini kumbe ndio percentage iliyotumika kuwepa threads na posts humu JF 😁

Nifanye hiyo yote kwa faida ya nani wakati sina bosi wa kunifuatilia wala nani, ndio faida za kujiajiri unawajibika mwenyewe na kuhakikisha matumizi bora ya muda.
Mpaka sasa nimefanya kazi masaa sita na JF imechukua 25% ya muda wangu maana mida ya asubuhi ndio huwa napitia mitandao ya kijamii na habari...
So kuanzia 9.30am hadi 13:00 nakua na focus ya hali ya juu maana ndio nitaingia kwenye vikao vya Zoom na Skype, lakini hadi hapo tayari kazi zangu nimekamilisha asilimia kubwa. Aina yangu ya kazi nikiwa na undivided focus ya masaa matatu tu yaani siku imeisha.

 
Basi kwa huo mgomo wabaki huko huko....hii ni nchi ya uchumi wa kati hatutaki kuletewa balaa za umaskini na watu waliojichokea wanashindwa kupambana na corona kisa umaskini.
shangaeni hii nyan'gau ya slam haijachamba wiki nzima maji hakuna umeme hakuna njaa inakuuma apo uhuru park umenin'giza pumbu na wifi ya bure eti unasema tz maskini
 
Sikubaliani na siasa za Magufuli lakini alichokifanya Idris ni utovu wa nidhamu. Kila jamii ina miiko ya tamaduni zake! Licha ya Magufuli ni rais hata kama akiwa na matatizo yake ila ni mtu mzima kwake, tena anaweza akawa ni baba yake. Jamii yetu mtu mzima wa umri wa Magufuli ni rika la mzazi, haijalishi sintofahamu zake lakini tulivyokuzwa kijamii inapaswa tumheshimu.

Tanzania tuna Alama za Taifa. Moja wapo ya ni Nembo ya Taifa. Nembo ya Taifa huwepo katika bendera ya Rais, kwa maana inamuwakilisha yeye. Ipo kwenye gari analopnda Rais, Makamu wa Rais na Ikulu n.k. Hapa Idris amekosea! Tafsiri nyengine ni kwamba amedhihaki moja ya Alama za Taifa.

Kingine ni kuwa mtu mwenye akili hawezi kugongwa na Nyoka mara 2 sehemu moja. Alikamatwa mara ya kwanza kwa kufanya kama alichokifanya. Wakubwa wengine wakaingilia wakamstahi ili kama hajui basi ajue alichokifanya ni utovu wa nidhamu! Akawa huru. Halafu anarudia tena alichokifanya kilekile kama mara ya kwanza. Watakachomfanyia watamkomoa kwa sababu analifanya jambo nje ya wakati wake! Utawala wa Bw. Huyu hauna dogo, watampoteza.

Idris alichokifanya ni makosa na ni ujinga.
 
MK254 with "uchumi wa kati" while most of Kenyans cannot even afford a face mask!
 
 

Hilo neno Watanzania wanalia linanisumbua sana unapolitamka pindi unapotuongelea [emoji34]. Hivi balozi wenu alikuwa anaimba au analia maana hatumtukuma sisi aje atoe maelezo maarefu ambayo yaliishia kwa waandishi wa habari.
Hivi vilio vibaya sana, ni aibu iliyoje kutaka kuongea na waziri anakuambia hana mda wakati balozi mtu muhimu na bado ukajisifu hulii? Mnahangaika wenyewe, mlianza ngoma na mtaonja mdundo[emoji16][emoji16].
 
Kq mkija qarantine 2wk
Budaa all option are on table

Magari mengi ya tz kenya we ujui maana yake? Logistic wise mko nyuma sana
Logistics tuko nyama kivipi na mizigo mingi EAC inapitia Kenya? Unajielewa ama unafungua mdomo usinuke?
 
Uhuni na ubabe mnaofanyia wapinzani ,kwa Kenya mmegonga mwamba big time. Watanzania pimeni bila shuruti ndio muingie nchi za watu.Tuache ujinga.
 
Mngepiga kimya muendelee kupimwa, wala usingemuona anahangaika kuja kuwatuliza, sisi tunapimwa Uganda na kote wala hutaskia tukilialia, tunaheshimu maamuzi ya kila.
Ingekua Wakenya ndio wanalialia wakitaka waingie Tanzania bila kupimwa, hakungekalika huku, mngetusema sana.
 
Hivi ule ushabiki wa kupima umeishia wapi vile maana ckuhiz ckuoni ukiandika pima pima pima hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…