Hivi bado hatuoni haja ya kuwafundisha Watoto wetu elimu ya uzazi/viungo vyao vya uzazi tangu utotoni?

Hivi bado hatuoni haja ya kuwafundisha Watoto wetu elimu ya uzazi/viungo vyao vya uzazi tangu utotoni?

Ahsante..Ni kweli ni ngumu..sio siri huwezi ukahakiki maisha ya mwanao 100% ila tujaribu

ndo mana kuna haja ya kumsoma mtoto na kujaribu kucontrol mazingira flani
Aina ya shule,marafiki zake ,mazingira ya nyumbani
Lakini kubwa zaidi ni kumpa elimu ya kupambanua vitu yeye kama yeye ajue jema na baya

hapo elimu ya dini madrasa na makanisani inasaidia pia
Kumpa mtoto vitabu vizuri vya kusoma awe anapata 'exposure' zaidi ya situations na maisha nk
Ila basi pia ni muhimu tuishi na hawa Watoto wetu kwa tahadhari tukijua kuwa kuna wanayoyajua, na tusi relax kwa kufikiri kwa kuwa bado Mtoto basi hajui chochote.
 
Back
Top Bottom