Ahsante..Ni kweli ni ngumu..sio siri huwezi ukahakiki maisha ya mwanao 100% ila tujaribu
ndo mana kuna haja ya kumsoma mtoto na kujaribu kucontrol mazingira flani
Aina ya shule,marafiki zake ,mazingira ya nyumbani
Lakini kubwa zaidi ni kumpa elimu ya kupambanua vitu yeye kama yeye ajue jema na baya
hapo elimu ya dini madrasa na makanisani inasaidia pia
Kumpa mtoto vitabu vizuri vya kusoma awe anapata 'exposure' zaidi ya situations na maisha nk