Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,809
Reaction score
11,462
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U nayo inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
 
Kipara ngoto 😂😂😂
👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲👩🏽‍🦲
 
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
Kipara wa man city au kipara wa man u?
 
Kuna mtu alisema ile match vs City, Carabao sijui FA walikuwa pungufu( key players wao hawakuwepo) sasa Tungojee hii. Watapiga kipara kama ngoma 🤣🤣🤣
Kesho wanapigwa nakuambia sikimbii uzi. Akijitahidi chupi mkononi droo
 
Back
Top Bottom