Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
Upuuzi wa kocha kutomweka bench Martinelli ndio utatukosha ubingwa Wala so VAR Wala marefa
 
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U nayo inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
[emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U nayo inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
Mm natamani KUONA wakichukua...

Arsenal wana bahati na miaka inayo ishia 3

What's 2003 happened huu itakua mwaka wao this year is for arsenal.....

Arsenal last won the Premier League title in 2003/04, gaining 90 points over the course of 38 games without losing a single match.....


Mm sio shabiki wa arsenal ila nawaombea mema...
 
Kombe tunabeba bila ubishi tena tukiwa na mechi kadhaa mkononi

City anagongwa vizuri tu
 
Kombe tunabeba bila ubishi tena tukiwa na mechi kadhaa mkononi

City anagongwa vizuri tu
 
Back
Top Bottom