Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

Tuambie kwanza we Timu yako ipo nafasi ya ngapi? Pia Google uelewe maana ya ligi.......
 
Kwa mwendo wa mechi 2 zilizopita na ya jana nimenza kukata tamaa,unless kama walikuwa wanazivuta baadhi ya timu ili kuwe na upinzani na ligi ipate pesa ya kutosha,kinyume cha hapo hawataweza kuchukua kombe...
 
Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.

Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U nayo inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!
Tupo mkuu, tutashinda taji la EPL
 
Back
Top Bottom