Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Weeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kombe tunabeba bila ubishi tena tukiwa na mechi kadhaa mkononi
City anagongwa vizuri tu
arsenal ni fungu la kukosa.Nakubaliana nawe kabisa.
Nakubaliana nawe kabisa.
arsenal fungu la kukosaNakubaliana nawe kabisa.
arsenal ni fungu la kukosa.Imeanza kuangalia mpira lini!?..2008 ilikuaje!?
Nakuapia hatarudi tena kujibu.Weeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tupo mkuu, tutashinda taji la EPLKwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare.
Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda kwa kipara ngoto. Naiona Man U nayo inakuja kwa pumzi ya moto.
Hatari sana!