Hivi bado kuna watu wanahonga 50,000 per night?

Mkuu elfu 50 pesa ya kawaha na kashata pale m city unasema ni pesa

Kuna viumbe wanapesa bhana hali ya uchumi ni mbaya kwako ila sio kwa wote aaaaaalaaaa
 
Wanao honga 50000 wamepungua kwa 70/%. Na hii imekuja naturally baada ya wazee wazee wa bandari, trip za nje na wezi wengi kupotezwa na Ngosha. Sasahivi ni 10000 up to 20000/=
 
Mm hela hiyo simpi mwanamke sio kwa usawa huu wa magu. Familia iteseke kwa Siku moja na istoshe k yenyewe ukute inamaji wala radha haina puuuuuuuuh
 
Watu bado wanaonga nyumba na magari unashangaa 50,000/=?????
 
Starehe gharama bwana mdogo.kama hautaki gharama tafuta mke.
 
Reactions: lup
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…