Bavicha ukiwaambia walete picha kama hizi wanakutukana matusi ya nguoni kabisaSasa unadhani maccm hayajui kama hayapendwi? Unadhani kwanini hayataki tume huru au kura kuhesabiwa hadharani kama yanadhani huyo anayejiita KICHAA ana kura za kutosha!? [emoji15]
Unategemea kuyakuta maccm kwenye kampeni za Chadema? Labda kwa nia ya kufanya UHALIFU.
Mkuu samahani. Hizi picha zilisaidia chochote kweli?Bavicha ukiwaambia walete picha kama hizi wanakutukana matusi ya nguoni kabisa
View attachment 1554643View attachment 1554644
Mkuu unachosema ni kweli kabisa,nyomi ni kwaajiri tu ya kuvuguruga fikra za watu ili mtu aonekane anapendwa.Hii inatumiwa zaidi na CCM kwa sababu ni kibaya kinachojitembeza,wako tayari wawatoe watu Moro,pwani na Lindi ilimradi tu waonekane wanaungwa mkono na wanapendwa sana Dar.pesa na nguvu wanayoitumia kujaza watu hilo kwao si issue,issue ni uwanja ujae waonekane wanapendwa.Mambo ni mabaya zaidi kwa huyu incompetent wao maguHabarini.
Kweli kabisa yaani mgombea akijaza nyomi kwenye mkutano wake wa kampeni kwenye chama fulani cha siasa inaashiria ushindi????
Imani gani hizi. Nimekua nafuatilia sana hapa jukwaani kila mtu anaulizia nyomi vipi huko. Tumeni picha. Sijui tunataka aerial view.
Yaani mmeyasahau yale ya Lowasa kujaza na kuambulia kuanguka.
Watu wanajazana kwa mambo mengi sana
1)kwenda kumuona mgombea live bila chenga
2) Kama kuna wasanii wanatumbuiza baasi kwenda kuburudika
3)Kwenda kupunguza stress za maisha.
4) Mtu hana kazi ya kufanya anaamua akajichanganye tu. Akija ccm anaenda, chadema anaenda. Hili kundi kubwa sana. Ajira ni shida kwa sasa.
5) kazini kwake kapewa ki memo lazima aende asipoenda hatua kali za nidhamu dhidi yake zita hukuliwa.
6)Kampeni ni tukio la historia mtu anataka aende akajionee. Miaka 5 ijayo hajui atakua wapi. Labda akhera.
7)Wachache sana wanaenda kusikiliza sera za mgombea na kuamua nani wa kumpa. Hawa ndio walitakiwa wawe wengi lkn ni kinyume.
8)..........
Kwanza ieleweke wengi wanaoenda kwenye hii mikutano unakuta hata hawatapiga kura kwa kutokua na kadi ya mpiga kura ama kutofikisha umri.
Hivyo wakuu wa vyama vyote hem tuache kujifariji na haya manyomi tusije tukaja kufa kwa pressure buureee.
Dah samahani sana! Yaishe tuendelee na mjadala wetu! Shukrani kwa kusoma michango yangu!Mkuu hapa JF wewe ni mmoja wa watu nasoma sana michango yako mbona unajishusha kwa hii comment. Tulia kaa chini soma between the lines nlichoandika uone kama utakuja na hii conclusion yako.
Nyomi zikiwa Chadema mnatuletea changanuzi mfu? Mbona ya magufuli hamsemi hayo mnayosema kwa TL, Kwa kawaida wingi wa watu ni ishara ya kukubalika. Vyama vya TLP,CUF,NCCR nk umeshawai kushuhudia wakiwa na nyomi la watu?Habarini.
Kweli kabisa yaani mgombea akijaza nyomi kwenye mkutano wake wa kampeni kwenye chama fulani cha siasa inaashiria ushindi????
Imani gani hizi. Nimekua nafuatilia sana hapa jukwaani kila mtu anaulizia nyomi vipi huko. Tumeni picha. Sijui tunataka aerial view.
Yaani mmeyasahau yale ya Lowasa kujaza na kuambulia kuanguka.
Watu wanajazana kwa mambo mengi sana
1)kwenda kumuona mgombea live bila chenga
2) Kama kuna wasanii wanatumbuiza baasi kwenda kuburudika
3)Kwenda kupunguza stress za maisha.
4) Mtu hana kazi ya kufanya anaamua akajichanganye tu. Akija ccm anaenda, chadema anaenda. Hili kundi kubwa sana. Ajira ni shida kwa sasa.
5) kazini kwake kapewa ki memo lazima aende asipoenda hatua kali za nidhamu dhidi yake zita hukuliwa.
6)Kampeni ni tukio la historia mtu anataka aende akajionee. Miaka 5 ijayo hajui atakua wapi. Labda akhera.
7)Wachache sana wanaenda kusikiliza sera za mgombea na kuamua nani wa kumpa. Hawa ndio walitakiwa wawe wengi lkn ni kinyume.
8)..........
Kwanza ieleweke wengi wanaoenda kwenye hii mikutano unakuta hata hawatapiga kura kwa kutokua na kadi ya mpiga kura ama kutofikisha umri.
Hivyo wakuu wa vyama vyote hem tuache kujifariji na haya manyomi tusije tukaja kufa kwa pressure buureee.
Huku kungine tunapewa book tano si haba angalau mtu akirudi home ananunua kauzuKwakipindi hiki cha kutoa faraja kwa baadhii ya wagombea, nimuhimu saana watuwajitokeze kwa wingiiii, bila kufanya hivyokunawatendewa miujizaaa hali itakua mbaya zaidiiiii.
Nimatumiziii tyuuuu. Bora ataizooo buku tano tunakula kuliko kukiki za kufanya miujiza na kujiumiza bureee, ilikutafuta huruma na uraisi uwekifuta machozii.Huku kungine tunapewa book tano si haba angalau mtu akirudi home ananunua kauzu
Mkuu sijakuelewa.hata hivyo mkuu kwangu Mimi katiba mpya ni kila kitu na kwa sababu hiyo Lissu ana kura yangu same way nilivyompa Lowassa.Na ikitokea vurugu za kuitoa ccm kwa nguvu Mimi nitakuwemo humoNimatumiziii tyuuuu. Bora ataizooo buku tano tunakula kuliko kukiki za kufanya miujiza na kujiumiza bureee, ilikutafuta huruma na uraisi uwekifuta machozii.
Hongera saaanaa mfarijiiiii. Tena akiona apamtandaoni umesema utampa kuraa, atatengamaaa zaidiii. Endeleeni kumfarijiii, tena jitokezeni kwa wingiii.Mkuu sijakuelewa.hata hivyo mkuu kwangu Mimi katiba mpya ni kila kitu na kwa sababu hiyo Lissu ana kura yangu same way nilivyompa Lowassa.Na ikitokea vurugu za kuitoa ccm kwa nguvu Mimi nitakuwemo humo
Hata nyomi za ccm hazina tija. Watu wanaenda kuangalia wasanii wakitumbuiza. Au kumuona Raisi. Nani asiependa kumuona Raisi wake. Hata wewe unamchukia Magu ila akija kwako kukusalimia utato meno kama yote.Nyomi zikiwa Chadema mnatuletea changanuzi mfu? Mbona ya magufuli hamsemi hayo mnayosema kwa TL, Kwa kawaida wingi wa watu ni ishara ya kukubalika. Vyama vya TLP,CUF,NCCR nk umeshawai kushuhudia wakiwa na nyomi la watu?
Mkuu umeongea point sana kuliko wachangiaji woote. Ilaaa.... Lau kama nyomi ilikua factor zile kura zetu tulizompa lowasa zisingeenda kiduwanzi. Yule mzee alikua akijaza aisee. Halafu hata kuongea hawezi kachokaaa.Kisiasa, hasa siasa za kampeni nyomi ni propaganda muhimu kuwa nayo.
Nyomi ni dalili za mwanzo za chama kukubalika mbele ya wapiga kura.
Kwa kutambua umuhimu wa nyomi ndiyo maana baadhi ya vyama hukodisha magari ili kusafirisha wafuasi wake kuhudhuria kwa wingi mikutano yao.
Kwahiyo si jambo jema kuwakatisha tamaa wafuasi wanaojazana kwenye mikutano ya vyama vyao
Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa toka Lissu arudi nchini tabia ya mh Jiwe ilibadilika ghafla; akawa mpoleeeeee.Mkuu hii mada inapiga kote kote. Sijasema mimi ni sisiem lkn. Au nimesema? Au hiyo kumtaja lowasa?!