Walker Water
JF-Expert Member
- Aug 23, 2022
- 842
- 3,357
- Thread starter
- #21
Sawa,ni wewe tu nakuamini kwako maana wewe ndiye mwenye uwamuzi.Hakuna Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,ni wewe tu nakuamini kwako maana wewe ndiye mwenye uwamuzi.Hakuna Mungu
Mungu cheo.Nitajie jina la Mungu wako nami niungane nawe.
Haaaahaaa,hata mzimu ni mungu sema yupo level ya chini sana sana,anaweza kukusaidia ila si kwa kiwango kikubwa sana.Tunaoamini mizimu tunajua namna ya kuzungumza na Mungu wetu.
Labda mzimu mlaini, Sio mzimu chuma mizimu ni hatari.Haaaahaaa,hata mzimu ni mungu sema yupo level ya chini sana sana,anaweza kukusaidia ila si kwa kiwango kikubwa sana.
Aise!,unaweza kuongea nao?Labda mzimu mlaini, Sio mzimu chuma mizimu ni hatari.
Ukiwa na codes na utukufu tukuka unaongea nao.Aise!,unaweza kuongea nao?
Mimi ukiniona unakimbia kabisa hautaki hata kuongea na mimi.Ukiwa na codes na utukufu tukuka unaongea nao.
Watu wanaotoka koo za kichifu wanayajua haya.Mimi ukiniona unakimbia kabisa hautaki hata kuongea na mimi.
SAYANSI INA UKOMO WAKE,HAIWEZI ANGALAU KINITHIBITISHIA JANA USIKU NDOTO YANGU...NILIOTA NINI?Ni muhimu pia kutambua kuwa wakati watu wanaweza kuamini wanazungumza na Mungu wao, mazungumzo hayo hayawezi kuthibitishwa kisayansi au kuthibitishwa kwa njia ya kawaida. Ni suala la imani ya kibinafsi na uzoefu wa mtu binafsi.
Ni kweli wanayajua sana hayo,hata mimi nilikuwa huko na nikadhani ndiyo kila kitu ila akatokea Mungu mwingine akamzidi nguvu na mimi nikaachana naye maana sita mungu mnyonge bali nataka mkubwa kuliko wote.Watu wanaotoka koo za kichifu wanayajua haya.
Safi sana,ongeza utii utafika mbali sanaKwa mimi ninayeamini kuna Mungu aliyeiumba roho yangu, huyo huwa naongea naye kama namuona mbele yangu.
Amekuwa mwema sana kwangu. Karibu mara zote nazomuomba kitu hutenda. Ananifanya Imani yangu ikue kila siku na kumuamini siku zote.
Safi sana nadhani itakuwa alishakwambia na jina lake pia.Nilidhani hili jambo lipo kwa kila mtu.
Ni kawaida sana kuongea na MUNGU.
Mara nyingine naongea nae mchana kweupe.
Pia ndotoni hunipa maelekezo na tahadhari mbalimbali.
Je?ushawahi kujiuliza yule mtu unaye ongea nae ki moyomoyo ni nani?
N.B. HUyo sio MUNGU.
Vita gani hivyo em tusimulieKwani kwa sasa wewe upo upande upi,maana pale nilipoandika alinishindia vita nimeandika kwa ufupi tu lakini ilikuwa ni vita vya hatari sana.
Nikiviandikia uzi wake nitakutag maana ni vingi sanaVi
Vita gani hivyo em tusimulie
Daaa!,wewe vipi?hongera sana Zumaridi wa kiume
Mungu yeyote ni Mungu tu alimradi anaweza kukidhi yote yatakayomkabili mja awapo hai.Maana siri bora ya uungu ipo katika namna ya ufu.Ni kweli wanayajua sana hayo,hata mimi nilikuwa huko na nikadhani ndiyo kila kitu ila akatokea Mungu mwingine akamzidi nguvu na mimi nikaachana naye maana sita mungu mnyonge bali nataka mkubwa kuliko wote.